-
Ansarullah: Hakuna hatua iliyochukuliwa kwa ajili ya kusitisha mapigano al Hudaydah
Jan 09, 2019 07:03Afisa Uhusiano wa Nje wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, hakuna hatua yoyote ya kivitendo iliyochukuliwa kwa ajili ya kutekeleza mapatano ya kusitisha mapigano katika mji wa bandari wa al Hudaydah magharibi mwa Yemen na kubadlishana mateka kwa mujibu wa makubaliano yaliyofikiwa mjini Stockholm, Sweden.
-
Ansarullah ya Yemen: Tunaheshimu mazungumzo ya Stockholm
Jan 07, 2019 04:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa harakati ya Ansarullah ya nchini humo inaheshimu na kutekeleza makubaliano ya kusitisha uhasama na mapigano yaliyofikiwa huko Stockholm nchini Sweden.
-
Al Houthi aituhumu WFP kwa kununua chakula kibovu kwa ajili ya watu wa Yemen
Jan 01, 2019 15:10Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amelituhumu Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kuwa limenunua bidhaa za chakula kilichoharibika kwa ajili ya wananchi wa Yemen.
-
Kukiuka Saudi Arabia makubaliano ya Sweden
Dec 18, 2018 11:27Baada ya kupita siku tano tangu kufikiwa makubaliano baina ya makundi ya Yemen, Saudi Arabia imeendelea kukiuka makubaliano hayo.
-
Al Houthi: Tarehe ya kusimamishwa vita al Hudaydah Yemen imeshajulikana
Dec 16, 2018 07:34Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amesema kuwa, mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen ameukabidhi ujumbe wa San'a unaoshiriki kwenye mazungumzo ya amani ya nchi hiyo huko Sweden, tarehe ya kusimamisha vita katika mkoa wa al Hudaydah.
-
Mwakilishi wa Ansarullah: Mazungumzo ya amani Yemen yaidhinishwe na Baraza la Usalama
Dec 07, 2018 07:58Mkuu wa ujumbe wa harakati ya Ansarullah ya Yemen kwenye mazungumzo ya amani yaliyoanza Sweden amesema kuwa matokeo ya mazungumzo hayo yanapasa kupasishwa kama azimio la Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa na kuwa sheria inayopaswa kutekelezwa.
-
Msemaji wa Ansarullah: Tutaigeuza Yemen kuwa 'makaburi' ya wavamizi
Nov 11, 2018 07:55Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, wananchi wa nchi hiyo wamesimama kidete na kwa mara nyingine tena wamethibitisha kwamba, Yemen ni 'makaburi' ya wavamizi.
-
'Njama dhidi ya Yemen zinatekelezwa na Marekani, Saudi Arabia na UAE'
Nov 07, 2018 16:39Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema hujuma ya kijeshi dhidi ya nchi yake imeshika kasi zaidi baada ya utawala wa Rais Donlad Trump wa Marekani kutaka mazungumzo yafanyike kumaliza vita.
-
Ansarullah yakataa usuluhishi wa Marekani katika jitihada za kutatua mgogoro wa Yemen
Oct 31, 2018 15:32Harakati ya Ansarullah ya Yemen imepinga pendekezo la Marekani la kufanya juhudi za upatanishi ili kutatua mgogoro wa Yemen na kusema kuwa Washington ni muhusika mkuu katika uvamizi huo wa kijeshi dhidi ya Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia.
-
Msemaji wa Ansarullah: Vita vya Yemen ni wenzo wa kufanikisha "Muamala wa Karne"
Sep 14, 2018 23:58Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa vita vya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen ni kibiashara inayotumiwa na Marekani ili kuendeleza njama mpya ya Washington na Wazayuni ya "Muamala wa Karne" dhidi ya Palestina.