Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Iran yamuita balozi wa Uswisi kulalamikia madai bandia ya Marekani

    Iran yamuita balozi wa Uswisi kulalamikia madai bandia ya Marekani

    Dec 19, 2017 23:08

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa Uswisi mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko rasmi kufuatia madai ya hivi karibuni ya Marekani kwamba makombora yanayofyatuliwa na vikosi vya Yemen dhidi ya Saudia yametoka Iran.

  • Ansarullah yavurumisha kombora la balestiki kulenga kasri ya Mfalme wa Saudia

    Ansarullah yavurumisha kombora la balestiki kulenga kasri ya Mfalme wa Saudia

    Dec 19, 2017 09:59

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imefyatua kombora la balestiki kuilenga Kasri ya al-Yamamah, makazi rasmi ya Mfalme Salman wa Saudi Arabia katika mji mkuu Riyadh.

  • Ansarullah yasema imezima tishio kuu kwa usalama wa Yemen

    Ansarullah yasema imezima tishio kuu kwa usalama wa Yemen

    Dec 05, 2017 04:28

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema harakati hiyo imefanikiwa kutibua tishio kuu kwa usalama wa nchi hiyo, kwa kuzima njama zilizoliwa na rais wa zamani wa nchi hiyo aliyeuawa hapo jana, Ali Abdullah Saleh na vikosi vitiifu kwake.

  • Iran yatoa wito wa mazungumzo baina ya Wayemen ili kuvunja njama za adui

    Iran yatoa wito wa mazungumzo baina ya Wayemen ili kuvunja njama za adui

    Dec 04, 2017 03:30

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema mazungumzo ni njia bora zaidi kwa makundi mbali mbali ya Yemen kutatua migogoro yao na kuzuia maadui wa kigeni kutumia vibaya mgogoro uliopo nchini humo.

  • Baada ya Abdullah Swaleh kuisaliti Yemen, Answarullah wadhibiti ofisi yake mjini Sana'a

    Baada ya Abdullah Swaleh kuisaliti Yemen, Answarullah wadhibiti ofisi yake mjini Sana'a

    Dec 03, 2017 11:14

    Askari wa usalama nchini Yemen wamedhibiti ofisi ya Ali Abdullah Saleh, rais wa zamani wa Yemen aliyoitumia kutoa taarifa ya usaliti dhidi ya taifa hilo jana Jumamosi.

  • Harakati ya Ansarullah yavionya baadhi ya vyama vinavyovuruga usalama wa Yemen

    Harakati ya Ansarullah yavionya baadhi ya vyama vinavyovuruga usalama wa Yemen

    Dec 02, 2017 01:05

    Harakati yya Ansarullah ya Yemen imetahadharisha kuhusiana na njama za baadhi ya vyama zinazolenga kuvuruga amani na usalama wa nchi hityo inayokabiliwa na hujuma na mashambulio ya kiijeshi ya Saudi Arabia na washirika wake.

  • Yemen yazindua makombora mapya, Ansarullah yawaonya wavamizi

    Yemen yazindua makombora mapya, Ansarullah yawaonya wavamizi

    Nov 07, 2017 10:45

    Maafisa wa ngazi za juu wa Yemen na makamanda wa kijeshi wa harakati ya Ansarullah wamezindua makombora mapya yaliyotengenezwa nchini humo katika maoneyesho yaliyofanyika katika mji wa bandarini wa Hudaydah.

  • Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia ipo katika kambi ya utawala haramu wa Israel

    Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia ipo katika kambi ya utawala haramu wa Israel

    Oct 27, 2017 12:00

    Muhammad Abdul-Salaam, Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Saudi Arabia inataka kuiweka madarakani nchini Yemen serikali kibaraka.

  • Ansarullah ya Yemen: Muungano wa Marekani unaunga mkono ugaidi

    Ansarullah ya Yemen: Muungano wa Marekani unaunga mkono ugaidi

    Oct 13, 2017 00:55

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, muungano wa kimataifa unaoongozwa na Marekani na unaojulikana kama wa kupambana na ugaidi jina lake linapaswa kuwa "Muungano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Ugaidi."

  • Kiongozi wa Ansarullah: Saudia, UAE zatekeleza njama za ubeberu wa Marekani

    Kiongozi wa Ansarullah: Saudia, UAE zatekeleza njama za ubeberu wa Marekani

    Oct 01, 2017 03:34

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema tawala za Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zinaongoza katika kutekeleza njama za ubeberu katika eneo la Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS