Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Baada ya Abdullah Swaleh kuisaliti Yemen, Answarullah wadhibiti ofisi yake mjini Sana'a

    Baada ya Abdullah Swaleh kuisaliti Yemen, Answarullah wadhibiti ofisi yake mjini Sana'a

    Dec 03, 2017 14:44

    Askari wa usalama nchini Yemen wamedhibiti ofisi ya Ali Abdullah Saleh, rais wa zamani wa Yemen aliyoitumia kutoa taarifa ya usaliti dhidi ya taifa hilo jana Jumamosi.

  • Harakati ya Ansarullah yavionya baadhi ya vyama vinavyovuruga usalama wa Yemen

    Harakati ya Ansarullah yavionya baadhi ya vyama vinavyovuruga usalama wa Yemen

    Dec 02, 2017 04:35

    Harakati yya Ansarullah ya Yemen imetahadharisha kuhusiana na njama za baadhi ya vyama zinazolenga kuvuruga amani na usalama wa nchi hityo inayokabiliwa na hujuma na mashambulio ya kiijeshi ya Saudi Arabia na washirika wake.

  • Yemen yazindua makombora mapya, Ansarullah yawaonya wavamizi

    Yemen yazindua makombora mapya, Ansarullah yawaonya wavamizi

    Nov 07, 2017 14:15

    Maafisa wa ngazi za juu wa Yemen na makamanda wa kijeshi wa harakati ya Ansarullah wamezindua makombora mapya yaliyotengenezwa nchini humo katika maoneyesho yaliyofanyika katika mji wa bandarini wa Hudaydah.

  • Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia ipo katika kambi ya utawala haramu wa Israel

    Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia ipo katika kambi ya utawala haramu wa Israel

    Oct 27, 2017 15:30

    Muhammad Abdul-Salaam, Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Saudi Arabia inataka kuiweka madarakani nchini Yemen serikali kibaraka.

  • Ansarullah ya Yemen: Muungano wa Marekani unaunga mkono ugaidi

    Ansarullah ya Yemen: Muungano wa Marekani unaunga mkono ugaidi

    Oct 13, 2017 04:25

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, muungano wa kimataifa unaoongozwa na Marekani na unaojulikana kama wa kupambana na ugaidi jina lake linapaswa kuwa "Muungano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Ugaidi."

  • Kiongozi wa Ansarullah: Saudia, UAE zatekeleza njama za ubeberu wa Marekani

    Kiongozi wa Ansarullah: Saudia, UAE zatekeleza njama za ubeberu wa Marekani

    Oct 01, 2017 07:04

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema tawala za Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zinaongoza katika kutekeleza njama za ubeberu katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Abdul-Malik al-Houthi: Mpango wa Marekani na Israel Mashariki ya Kati umegonga mwamba

    Abdul-Malik al-Houthi: Mpango wa Marekani na Israel Mashariki ya Kati umegonga mwamba

    Sep 15, 2017 04:44

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, mapambano na muqawama wa wananchi huko Syria, Lebanon, Iraq na Yemen umepelekea kushindwa mpango wa Marekani na utawala haramu wa Israel katika Mashariki ya Kati.

  • Ansarullah: Wananchi wa Yemen hawana imani na Umoja wa Mataifa

    Ansarullah: Wananchi wa Yemen hawana imani na Umoja wa Mataifa

    Aug 26, 2017 03:55

    Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameukosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Saud na kusisitiza kuwa wananchi wa Yemen hawana imani na umoja huo.

  • Katibu Mkuu wa Ansarullah: Wayamen wamesimama kidete mbele ya jinai za Saudi Arabia

    Katibu Mkuu wa Ansarullah: Wayamen wamesimama kidete mbele ya jinai za Saudi Arabia

    Aug 24, 2017 07:54

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, wananchi wa nchi hiyo wamesimama imara na kidete kwa moyo madhubuti mbele ya jinai za utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia na kwamba, hawatasalimu amri.

  • Kuwait yakadhibisha madai ya Reuters dhidi ya Iran

    Kuwait yakadhibisha madai ya Reuters dhidi ya Iran

    Aug 03, 2017 02:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Kuwait imetoa taarifa ikikadhibisha madai ya shirika la habari la Reuters kwamba Iran inatumia maji ya Kuwait kutuma silaha kwa harakati ya Ansarullah ya Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS