-
Iran yamuita balozi wa Uswisi kulalamikia madai bandia ya Marekani
Dec 19, 2017 23:08Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa Uswisi mjini Tehran na kumkabidhi malalamiko rasmi kufuatia madai ya hivi karibuni ya Marekani kwamba makombora yanayofyatuliwa na vikosi vya Yemen dhidi ya Saudia yametoka Iran.
-
Ansarullah yavurumisha kombora la balestiki kulenga kasri ya Mfalme wa Saudia
Dec 19, 2017 09:59Harakati ya Ansarullah ya Yemen imefyatua kombora la balestiki kuilenga Kasri ya al-Yamamah, makazi rasmi ya Mfalme Salman wa Saudi Arabia katika mji mkuu Riyadh.
-
Ansarullah yasema imezima tishio kuu kwa usalama wa Yemen
Dec 05, 2017 04:28Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema harakati hiyo imefanikiwa kutibua tishio kuu kwa usalama wa nchi hiyo, kwa kuzima njama zilizoliwa na rais wa zamani wa nchi hiyo aliyeuawa hapo jana, Ali Abdullah Saleh na vikosi vitiifu kwake.
-
Iran yatoa wito wa mazungumzo baina ya Wayemen ili kuvunja njama za adui
Dec 04, 2017 03:30Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema mazungumzo ni njia bora zaidi kwa makundi mbali mbali ya Yemen kutatua migogoro yao na kuzuia maadui wa kigeni kutumia vibaya mgogoro uliopo nchini humo.
-
Baada ya Abdullah Swaleh kuisaliti Yemen, Answarullah wadhibiti ofisi yake mjini Sana'a
Dec 03, 2017 11:14Askari wa usalama nchini Yemen wamedhibiti ofisi ya Ali Abdullah Saleh, rais wa zamani wa Yemen aliyoitumia kutoa taarifa ya usaliti dhidi ya taifa hilo jana Jumamosi.
-
Harakati ya Ansarullah yavionya baadhi ya vyama vinavyovuruga usalama wa Yemen
Dec 02, 2017 01:05Harakati yya Ansarullah ya Yemen imetahadharisha kuhusiana na njama za baadhi ya vyama zinazolenga kuvuruga amani na usalama wa nchi hityo inayokabiliwa na hujuma na mashambulio ya kiijeshi ya Saudi Arabia na washirika wake.
-
Yemen yazindua makombora mapya, Ansarullah yawaonya wavamizi
Nov 07, 2017 10:45Maafisa wa ngazi za juu wa Yemen na makamanda wa kijeshi wa harakati ya Ansarullah wamezindua makombora mapya yaliyotengenezwa nchini humo katika maoneyesho yaliyofanyika katika mji wa bandarini wa Hudaydah.
-
Ansarullah ya Yemen: Saudi Arabia ipo katika kambi ya utawala haramu wa Israel
Oct 27, 2017 12:00Muhammad Abdul-Salaam, Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, Saudi Arabia inataka kuiweka madarakani nchini Yemen serikali kibaraka.
-
Ansarullah ya Yemen: Muungano wa Marekani unaunga mkono ugaidi
Oct 13, 2017 00:55Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, muungano wa kimataifa unaoongozwa na Marekani na unaojulikana kama wa kupambana na ugaidi jina lake linapaswa kuwa "Muungano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Ugaidi."
-
Kiongozi wa Ansarullah: Saudia, UAE zatekeleza njama za ubeberu wa Marekani
Oct 01, 2017 03:34Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema tawala za Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zinaongoza katika kutekeleza njama za ubeberu katika eneo la Mashariki ya Kati.