Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Ansarullah Yemen: Saudia inataka kuwa polisi wa Marekani katika Mashariki ya Kati

    Ansarullah Yemen: Saudia inataka kuwa polisi wa Marekani katika Mashariki ya Kati

    Jun 08, 2017 02:26

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia umekuwa ukifanya kila uwezalo ili uwe polisi ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati na uwe ukizichukulia maamuzi tawala zote za Kiarabu.

  • Marekani ndiye muhusika mkuu wa vita vya Yemen

    Marekani ndiye muhusika mkuu wa vita vya Yemen

    Jun 05, 2017 04:20

    Katibu Mkuu wa harakati ya Answarullah ya nchini Yemen amesisistiza kuwa, Marekani ndiye muhusika mkuu wa mashambulizi na uvamizi wa Yemen ambao unatekelezwa na Saudi Arabia na Imarati.

  • Ansarullah: Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja

    Ansarullah: Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja

    Apr 24, 2017 08:14

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni pande mbili za sarafu moja ambazo kwa pamoja zinaunga mkono kwa hali na mali juhudi za kuibomoa na kuisambaratisha Yemen kupitia uvamizi wa kijeshi ulioanzishwa na Saudi Arabia.

  • Ansarullah: Saudia imeshindwa kufikia malengo yake haramu Yemen

    Ansarullah: Saudia imeshindwa kufikia malengo yake haramu Yemen

    Mar 26, 2017 06:33

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema utawala wa kifalme wa Aal-Saud umeshindwa kupata natija katika mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu na jirani yake.

  • Al-Houthi: Serikali mpya ya Yemen ni kwa maslahi ya Wayemen wote

    Al-Houthi: Serikali mpya ya Yemen ni kwa maslahi ya Wayemen wote

    Nov 30, 2016 14:35

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul Malik al-Houthi amesema kuundwa serikali mpya ya Wokovu wa Kitaifa ni kwa maslahi ya wananchi wote wa nchi hiyo na ni hatua inayopania kuwapa wananchi hao mamlaka ya kujitawala na kujifanyia maamuzi wao wenyewe.

  • Ould Sheikh apinga serikali ya Uokovu wa Kitaifa Yemen

    Ould Sheikh apinga serikali ya Uokovu wa Kitaifa Yemen

    Nov 30, 2016 04:09

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amedai kuwa hatua ya Harakati ya Ansarullah ya kuunda serikali mpya ya Uokovu wa Kitaifa nchini humo haiisaidii chochote nchi hiyo wala kusogeza mbele mchakato wa amani nchini humo.

  • Oman: Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen sio ya kigaidi

    Oman: Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen sio ya kigaidi

    Nov 29, 2016 13:23

    Serikali ya Oman imetangaza upinzani wake dhidi ya pendekezo la Saudi Arabia la kuiweka Harakati ya Kiislamu na ya wananchi ya Answarullah nchini Yemen katika orodha ya pamoja ya wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi kuhusiana na ugaidi.

  • Ansarullah: Umoja wa Mataifa uchunguze ukatili wa Saudia Yemen

    Ansarullah: Umoja wa Mataifa uchunguze ukatili wa Saudia Yemen

    Oct 17, 2016 04:28

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa juu ya mauaji ya kinyama yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia nchini Yemen hivi karibuni.

  • Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi

    Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi

    Sep 29, 2016 13:46

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai yaliyotolewa na Saudi Arabia kuwa Tehran inalifadhili kundi la wanaharakati wa Ansarullah wa Yemen.

  • Saudi Arabia yashadidisha mashambulio dhidi ya shule na makazi ya raia Yemen

    Saudi Arabia yashadidisha mashambulio dhidi ya shule na makazi ya raia Yemen

    Sep 15, 2016 07:38

    Ndege za kivita za Saudi Arabia Jumatano asubuhi ziliendelea kudondosha mabomu katika maeneo ya raia nchini Yemen kwa kushambulia eneo la Aal Aqab katika mji wa Sahar katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS