Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Abdul-Malik al-Houthi: Mpango wa Marekani na Israel Mashariki ya Kati umegonga mwamba

    Abdul-Malik al-Houthi: Mpango wa Marekani na Israel Mashariki ya Kati umegonga mwamba

    Sep 15, 2017 00:14

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, mapambano na muqawama wa wananchi huko Syria, Lebanon, Iraq na Yemen umepelekea kushindwa mpango wa Marekani na utawala haramu wa Israel katika Mashariki ya Kati.

  • Ansarullah: Wananchi wa Yemen hawana imani na Umoja wa Mataifa

    Ansarullah: Wananchi wa Yemen hawana imani na Umoja wa Mataifa

    Aug 25, 2017 23:25

    Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameukosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Saud na kusisitiza kuwa wananchi wa Yemen hawana imani na umoja huo.

  • Katibu Mkuu wa Ansarullah: Wayamen wamesimama kidete mbele ya jinai za Saudi Arabia

    Katibu Mkuu wa Ansarullah: Wayamen wamesimama kidete mbele ya jinai za Saudi Arabia

    Aug 24, 2017 03:24

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, wananchi wa nchi hiyo wamesimama imara na kidete kwa moyo madhubuti mbele ya jinai za utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia na kwamba, hawatasalimu amri.

  • Kuwait yakadhibisha madai ya Reuters dhidi ya Iran

    Kuwait yakadhibisha madai ya Reuters dhidi ya Iran

    Aug 02, 2017 22:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Kuwait imetoa taarifa ikikadhibisha madai ya shirika la habari la Reuters kwamba Iran inatumia maji ya Kuwait kutuma silaha kwa harakati ya Ansarullah ya Yemen.

  • Ansarullah Yemen: Saudia inataka kuwa polisi wa Marekani katika Mashariki ya Kati

    Ansarullah Yemen: Saudia inataka kuwa polisi wa Marekani katika Mashariki ya Kati

    Jun 07, 2017 21:56

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia umekuwa ukifanya kila uwezalo ili uwe polisi ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati na uwe ukizichukulia maamuzi tawala zote za Kiarabu.

  • Marekani ndiye muhusika mkuu wa vita vya Yemen

    Marekani ndiye muhusika mkuu wa vita vya Yemen

    Jun 04, 2017 23:50

    Katibu Mkuu wa harakati ya Answarullah ya nchini Yemen amesisistiza kuwa, Marekani ndiye muhusika mkuu wa mashambulizi na uvamizi wa Yemen ambao unatekelezwa na Saudi Arabia na Imarati.

  • Ansarullah: Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja

    Ansarullah: Marekani na Israel ni pande mbili za sarafu moja

    Apr 24, 2017 03:44

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni pande mbili za sarafu moja ambazo kwa pamoja zinaunga mkono kwa hali na mali juhudi za kuibomoa na kuisambaratisha Yemen kupitia uvamizi wa kijeshi ulioanzishwa na Saudi Arabia.

  • Ansarullah: Saudia imeshindwa kufikia malengo yake haramu Yemen

    Ansarullah: Saudia imeshindwa kufikia malengo yake haramu Yemen

    Mar 26, 2017 02:03

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema utawala wa kifalme wa Aal-Saud umeshindwa kupata natija katika mashambulizi yake ya kinyama dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu na jirani yake.

  • Al-Houthi: Serikali mpya ya Yemen ni kwa maslahi ya Wayemen wote

    Al-Houthi: Serikali mpya ya Yemen ni kwa maslahi ya Wayemen wote

    Nov 30, 2016 11:05

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul Malik al-Houthi amesema kuundwa serikali mpya ya Wokovu wa Kitaifa ni kwa maslahi ya wananchi wote wa nchi hiyo na ni hatua inayopania kuwapa wananchi hao mamlaka ya kujitawala na kujifanyia maamuzi wao wenyewe.

  • Ould Sheikh apinga serikali ya Uokovu wa Kitaifa Yemen

    Ould Sheikh apinga serikali ya Uokovu wa Kitaifa Yemen

    Nov 30, 2016 00:39

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amedai kuwa hatua ya Harakati ya Ansarullah ya kuunda serikali mpya ya Uokovu wa Kitaifa nchini humo haiisaidii chochote nchi hiyo wala kusogeza mbele mchakato wa amani nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS