Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Ansarullah: Umoja wa Mataifa uchunguze ukatili wa Saudia Yemen

    Ansarullah: Umoja wa Mataifa uchunguze ukatili wa Saudia Yemen

    Oct 17, 2016 04:28

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa juu ya mauaji ya kinyama yaliyofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia nchini Yemen hivi karibuni.

  • Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi

    Iran: Madai kuwa Tehran inaipa silaha Ansarullah ya Yemen haya msingi

    Sep 29, 2016 13:46

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai yaliyotolewa na Saudi Arabia kuwa Tehran inalifadhili kundi la wanaharakati wa Ansarullah wa Yemen.

  • Saudi Arabia yashadidisha mashambulio dhidi ya shule na makazi ya raia Yemen

    Saudi Arabia yashadidisha mashambulio dhidi ya shule na makazi ya raia Yemen

    Sep 15, 2016 07:38

    Ndege za kivita za Saudi Arabia Jumatano asubuhi ziliendelea kudondosha mabomu katika maeneo ya raia nchini Yemen kwa kushambulia eneo la Aal Aqab katika mji wa Sahar katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Marekani inaunga mkono hujuma za Saudia dhidi ya Wayemen

    Marekani inaunga mkono hujuma za Saudia dhidi ya Wayemen

    Sep 03, 2016 03:20

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen amelaani vikali Marekani kwa kutoa misaada ya kijeshi na kisiasa kwa Saudi Arabia katika mashambulizi yake ya kudondosha mabomu dhidi ya watu wa Yemen.

  • Marekani, chanzo cha fitina katika Ulimwengu wa Kiislamu

    Marekani, chanzo cha fitina katika Ulimwengu wa Kiislamu

    Jul 29, 2016 16:33

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa chanzo cha fitina zote na migogoro ya hivi karibuni katika Ulimwengu wa Kiislamu ni hatua za wazi na za siri za Marekani na waitifaki wake.

  • Sherehe za Umoja wa Yemen zagubikwa na hujuma za Saudia

    Sherehe za Umoja wa Yemen zagubikwa na hujuma za Saudia

    May 23, 2016 07:29

    Sherehe za mwaka wa 26 wa kuungana Yemen mbili zimefanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo Sana'a huku ndege za kivita zikipita juu ya eneo la sherehe hizo siku ya Jumapili.

  • Ansarullah: Mazungumzo ya Yemen yatafanikiwa iwapo Saudia itasitisha vita

    Ansarullah: Mazungumzo ya Yemen yatafanikiwa iwapo Saudia itasitisha vita

    May 08, 2016 13:32

    Harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah imesema ili mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa Yemen yafanikiwe, sharti utawala wa Saudi Arabia usitishe mashambulizi yake mara moja.

  • Onyo la Ansarullah kwa kutoheshimiwa usitishaji vita nchini Yemen

    Onyo la Ansarullah kwa kutoheshimiwa usitishaji vita nchini Yemen

    Apr 13, 2016 06:56

    Siku chache zikiwa zimepita tangu kutangazwa kusimamishwa vita nchini Yemen, msemaji wa harakati Ansarullah ya nchi hiyo amesema kuwa, iwapo makubaliano hayo hayataheshimiwa, basi fursa za kufanikiswa mazungumzo ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo zitapotea.

  • Kuanza usitishwaji vita Yemen

    Kuanza usitishwaji vita Yemen

    Apr 11, 2016 04:47

    Usitishwaji vita unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa Yemen ulianza jana usiku (Jumapili) kabla ya kuanza mazungumzo ya amani baina ya pande hasimu nchini Kuwait.

  • Kutimia mwaka mmoja wa mashambulio ya kivamizi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen

    Kutimia mwaka mmoja wa mashambulio ya kivamizi ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen

    Mar 27, 2016 08:21

    Jumamosi ya jana tarehe 26 Machi ilisadifiana na kutimia mwaka mmoja tangu Saudi Arabia ilipochukua uamuzi wa kuivamia na kuishambulia kijeshi nchi ya Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS