Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Ansarullah: Makombora yetu ni jinamizi kwa wavamizi wa Yemen

    Ansarullah: Makombora yetu ni jinamizi kwa wavamizi wa Yemen

    Mar 10, 2021 07:15

    Mjumbe mmoja wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, makombora ya balestiki ya nchi hiyo ni jinamizi kwa maadui.

  • Saudia: Aramco na bandari ya mafuta ya Ras Tanura zimeshambuliwa kwa makombora ya Ansarullah

    Saudia: Aramco na bandari ya mafuta ya Ras Tanura zimeshambuliwa kwa makombora ya Ansarullah

    Mar 08, 2021 07:42

    Wizara ya Ulinzi ya Saudi Arabia imethibitisha kuwa vikosi vya ulinzi vya Yemen vimefanya mashambulio makubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Answaarullah: Saudia acheni kuishambulia miji ya Yemen ili nasi tusiishambulie miji yenu

    Answaarullah: Saudia acheni kuishambulia miji ya Yemen ili nasi tusiishambulie miji yenu

    Mar 01, 2021 06:50

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Answarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, harakati hiyo itaendelea kuishambulia miji na maeneo ya Saudi Arabia maadamu uko wa Aal Saud unaendelea kuishambulia miji ya Yemen.

  • Ansarullah: UN haina ujasiri wa kulaani mzingiro wa Saudia na washirika wake dhidi ya Yemen

    Ansarullah: UN haina ujasiri wa kulaani mzingiro wa Saudia na washirika wake dhidi ya Yemen

    Feb 25, 2021 10:23

    Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesisitiza ulazima wa kudumishwa mapambano ya kukabiliana na wavamizi wa nchi hiyo na kusema kuwa, Umoja wa Mataifa hauna hata ujasiri wa kulaani mzingiro wa Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya taifa la Yemen.

  • Ansarullah: Wito wa Biden wa kusitishwa vita Yemen si wa kweli

    Ansarullah: Wito wa Biden wa kusitishwa vita Yemen si wa kweli

    Feb 18, 2021 06:35

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amejibu uvumi unaosambazwa kwamba Marekani inafanya juhudi za kusimamisha mashambulizi dhidi ya Yemen akisema serikali ya Washington ndiyo kinara na kamanda wa mashambulizi yanayofanywa dhidi ya Yemen na sababu kuu ya masaibu ya taifa la nchi hiyo.

  • Ansarullah yatoa indhari kwa mashirika ya ndege kutotumia viwanja vya ndege vya Saudia

    Ansarullah yatoa indhari kwa mashirika ya ndege kutotumia viwanja vya ndege vya Saudia

    Feb 11, 2021 08:03

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Asarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, Utawala wa Aal Saud unatumia viwanja vya ndege vya Saudia kutekeleza mashambulizi dhidi ya Yemen na kuyatahadharisha mashirika ya ndege kutotumia viwanja hivyo.

  • "Siri ya muqawama wa miaka 6 ya wananchi wa Yemen ni kushikamana vilivyo na Uislamu"

    Feb 03, 2021 08:05

    Katibu Mkuu wa harakati ya Answarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, kushikamana vilivyo na Uislamu ndiyo siri iliyolifanya taifa la Yemen kusimama kidete kukabiliana na mashambulizi ya kila upande na makubwa; ya miaka sita sasa kutoka kwa wavamizi wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Harakati ya Ansarullah yataka Umoja wa Mataifa ujadili maafa ya Yemen

    Harakati ya Ansarullah yataka Umoja wa Mataifa ujadili maafa ya Yemen

    Jan 30, 2021 12:32

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa wito kwa wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wajadili hali mbaya ya kibinaadamu nchini Yemen ambayo imetokana na uvamizi wa muungano unaoongozwa na Saudia.

  • Matamshi yenye mgongano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia kuhusu vita vya Yemen

    Matamshi yenye mgongano ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia kuhusu vita vya Yemen

    Jan 24, 2021 09:54

    Katika matamshi yanayoonyesha mgongano wa wazi, Faisal bin Farhan bin Abdullah, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amedai kwamba utawala wa Riyadh unataka kusimamisha vita vyake vya kichokozi dhidi ya Yemen na wakati huo huo kukaribisha hatua ya utawala ulioondoka madarakani wa Marekani ya kuituhumu Ansarullah kuwa ni kundi la kigaidi.

  • Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen

    Jumbe za kimataifa za kupinga tuhuma za ugaidi za Marekani dhidi ya Ansarullah ya Yemen

    Jan 19, 2021 02:35

    Hivi karibuni Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani alitangaza kuwa serikali ya Rais Donald Trump imeijulisha rasmi Congress ya nchi hiyo kuwa imeliweka kundi la mapambano ya Kiislamu la Ansarullah la nchini Yemen katika orodha ya makundi yanayotuhumiwa kuunga mkono ugaidi, uamuzi ambao umekabiliwa na upinzani mkali wa kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS