-
Ansarullah: Hii ndiyo sababu iliyotufanya tuache kuishambulia kijeshi Imarati
Mar 19, 2021 04:34Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya Asarullah ya Yemen amefichua kuwa, barua ya kiongozi wa harakati hiyo, Sayyid Abdul Malik al Houthi kwa Umoja wa Falme za Kiarabu iliyoipelekea Abu Dhabi ikomeshe mashambulio yake nchini Yemen, ndiyo sababu iliyoifanya Ansarullah isimamishe mashambulizi yake ya kulipiza kisasi dhidi ya Imarati.
-
Makumi ya mamluki wa muungano vamizi wa Saudia waangamizwa na kujeruhiwa katika mapigano Taiz, Yemen
Mar 18, 2021 23:17Makumi ya mamluki wa muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano baina yao na jeshi na makundi ya kujitolea ya wananchi wa Yemen katika mkoa wa Taiz nchini humo.
-
Ansarullah: Marekani haitaki amani irejee Yemen
Mar 16, 2021 04:46Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema: Serikali ya Marekani kwa matamshi yake ya upotoshaji na yasiyo ya kimantiki imeonyesha kuwa haitaki kuona amani ikirejea Yemen."
-
Kuacha kushambuliwa na kuzingirwa Yemen, sharti la Ansarullah la kutoipiga kwa makombora Saudia
Mar 13, 2021 23:07Mjumbe wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuwa, jeshi na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa nchi hiyo vitaacha kuipiga kwa makombora Saudi Arabia iwapo tu wavamizi wa nchi yao wataacha kuizingira na kuishambulia Yemen.
-
Ansarullah: Makombora yetu ni jinamizi kwa wavamizi wa Yemen
Mar 10, 2021 03:45Mjumbe mmoja wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, makombora ya balestiki ya nchi hiyo ni jinamizi kwa maadui.
-
Saudia: Aramco na bandari ya mafuta ya Ras Tanura zimeshambuliwa kwa makombora ya Ansarullah
Mar 08, 2021 04:12Wizara ya Ulinzi ya Saudi Arabia imethibitisha kuwa vikosi vya ulinzi vya Yemen vimefanya mashambulio makubwa ya makombora na ndege zisizo na rubani ndani ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Answaarullah: Saudia acheni kuishambulia miji ya Yemen ili nasi tusiishambulie miji yenu
Mar 01, 2021 03:20Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Answarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, harakati hiyo itaendelea kuishambulia miji na maeneo ya Saudi Arabia maadamu uko wa Aal Saud unaendelea kuishambulia miji ya Yemen.
-
Ansarullah: UN haina ujasiri wa kulaani mzingiro wa Saudia na washirika wake dhidi ya Yemen
Feb 25, 2021 06:53Msemaji wa harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah amesisitiza ulazima wa kudumishwa mapambano ya kukabiliana na wavamizi wa nchi hiyo na kusema kuwa, Umoja wa Mataifa hauna hata ujasiri wa kulaani mzingiro wa Saudi Arabia na washirika wake dhidi ya taifa la Yemen.
-
Ansarullah: Wito wa Biden wa kusitishwa vita Yemen si wa kweli
Feb 18, 2021 03:05Mjumbe wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amejibu uvumi unaosambazwa kwamba Marekani inafanya juhudi za kusimamisha mashambulizi dhidi ya Yemen akisema serikali ya Washington ndiyo kinara na kamanda wa mashambulizi yanayofanywa dhidi ya Yemen na sababu kuu ya masaibu ya taifa la nchi hiyo.
-
Ansarullah yatoa indhari kwa mashirika ya ndege kutotumia viwanja vya ndege vya Saudia
Feb 11, 2021 04:33Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Asarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, Utawala wa Aal Saud unatumia viwanja vya ndege vya Saudia kutekeleza mashambulizi dhidi ya Yemen na kuyatahadharisha mashirika ya ndege kutotumia viwanja hivyo.