Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

askari wa Israel

  • Jeshi la Israel lamuua shahidi mwanamke wa Palestina

    Jeshi la Israel lamuua shahidi mwanamke wa Palestina

    Jun 02, 2016 14:51

    Askari wa jeshi katili la utawala haramu wa Israel wamemuua shahidi mwanamke wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan hii leo.

  • Wapalestina waandamana Ukanda wa Gaza kulaani mzingiro wa Israel

    Wapalestina waandamana Ukanda wa Gaza kulaani mzingiro wa Israel

    May 08, 2016 13:07

    Mamia ya wananchi wa Palestina wameingia mabarabarani kufanya maandamano ya kulaani mzingiro wa kibaguzi wa takriban mwongo mmoja uliowekwa na Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Federica Mogherini: Umoja wa Ulaya hautambua umiliki wa Israel kwa miinuko ya Golan ya Syria

    Federica Mogherini: Umoja wa Ulaya hautambua umiliki wa Israel kwa miinuko ya Golan ya Syria

    Apr 20, 2016 14:32

    Mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, umoja huo hauutambui rasmi umiliki na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa miinuko ya Golan ya Syria.

  • Israel yaendeleza ukatili wake, yaua shahidi Wapalestina 2

    Israel yaendeleza ukatili wake, yaua shahidi Wapalestina 2

    Mar 24, 2016 15:06

    Askari wa utawala wa kizayuni wa Israel wameua shahidi Wapestina wawili kwa kuwafyatulia risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Israeli yazidisha hujuma dhidi ya vyombo vya habari Palestina

    Israeli yazidisha hujuma dhidi ya vyombo vya habari Palestina

    Mar 19, 2016 07:50

    Shirika moja la kutetea uhuru wa kujieleza na haki za waandishi wa habari limefichua kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeshadidisha hujuma zake dhidi ya taasisi hiyo muhimu huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Israel yazidisha uchokozi wa kijeshi dhidi ya Lebanon

    Mar 19, 2016 07:37

    Baada ya kufichuka awamu mpya ya ujasusi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon, mbunge mmoja wa nchi hiyo amesema hatua ya Wazayuni kujipenyeza katika laini za mawasiliano ya Lebanon ni hujuma kwa usalama na mamlaka ya kitaifa ya nchi hiyo na ametaka hatua zichukuliwe kukabiliana hali hiyo.

  • Mtoto Mpalestina auawa shahidi Gaza katika hujuma ya Israel

    Mtoto Mpalestina auawa shahidi Gaza katika hujuma ya Israel

    Mar 12, 2016 08:16

    Mtoto Mpalestina aliyekuwa na umri wa miaka 10 ameuawa shahidi katika hujuma mpya ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS