Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ayatullah Khamenei

  • Ayatullah Khamenei: Kizazi cha vijana wenye uwezo wa Iran ni fahari kwa taifa

    Ayatullah Khamenei: Kizazi cha vijana wenye uwezo wa Iran ni fahari kwa taifa

    Sep 03, 2017 13:47

    Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kizazi cha vijana wenye uwezo wa Iran walioko katika sekta na nyanja mbalimbali ni fahari kwa taifa hili la Kiislamu.

  • Trump na vitisho dhidi ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Trump na vitisho dhidi ya Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu

    Jun 19, 2017 12:40

    Ayatullah Sayyed Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Jumapili alikutana mjini Tehran na familia za mashahidi walinzi wa Haram Takatifu na vikosi vya usalama vinavyolinda mipaka ya nchi na kusisitiza umuhimu wa mashahidi katika uhai wa Iran.

  • Mwandishi wa Misri: Ayatullah Khamenei ni Kiongozi wa Waislamu wote

    Mwandishi wa Misri: Ayatullah Khamenei ni Kiongozi wa Waislamu wote

    Mar 05, 2017 07:40

    Mwandishi mmoja wa Misri amesema kuwa, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kiongozi wa Waislamu wote duniani.

  • Kiongozi Muadhamu aongoza Swala ya maiti ya Ayatullah Rafsanjani

    Kiongozi Muadhamu aongoza Swala ya maiti ya Ayatullah Rafsanjani

    Jan 10, 2017 08:20

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhmaa Ali Khamenei ameongoza Swala ya maiti ya marehemu Ayatullah Akbar Hashemi Rafsanjani, rais wa zamani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kiongozi Muadhamu atoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah Hashemi Rafsanjani

    Kiongozi Muadhamu atoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Ayatullah Hashemi Rafsanjani

    Jan 09, 2017 04:19

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kufariki dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani.

  • Kiongozi Muadhamu: Saudia ikubali uchunguzi kuhusu maafa ya Mina

    Kiongozi Muadhamu: Saudia ikubali uchunguzi kuhusu maafa ya Mina

    Sep 07, 2016 13:20

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: "Iwapo utawala wa Saudia haupaswi kulaumiwa kuhusu maafa ya Mina, basi ukubali jopo la Kiislamu-Kimataifa lichunguze kwa karibu maafa hayo na kuweka kila kitu wazi."

  • Kiongozi: Umma ufahamishwe kuhusu hiana ya Marekani katika mapatano ya nyuklia

    Kiongozi: Umma ufahamishwe kuhusu hiana ya Marekani katika mapatano ya nyuklia

    Jun 21, 2016 07:26

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa umma unapaswa kufahamishwa kuhusu hiana inayofanywa na Marekani katika utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Kiongozi Muadhamu aonya kuhusu njama za maadui wa Iran

    Kiongozi Muadhamu aonya kuhusu njama za maadui wa Iran

    Jun 15, 2016 08:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametahadharisha juu ya njama za maadui wanaoazimia kukwamisha maendeleo ya Iran.

  • Kiongozi: Mazungumzo ya nyuklia yamethibitisha Marekani haina mwamana

    Kiongozi: Mazungumzo ya nyuklia yamethibitisha Marekani haina mwamana

    Jun 03, 2016 14:48

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tunapaswa kutumia uzoefu wa mazungumzo ya nyuklia yaliyothibitisha kuwa Marekani haina mwamana na hivyo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ichukue mkondo wake wa ustawi.

  • Kiongozi Muadhamu: Malengo ya Mapinduzi yatafikiwa kwa kutekeleza 'Jihadi Kubwa' ya kutomtii adui

    Kiongozi Muadhamu: Malengo ya Mapinduzi yatafikiwa kwa kutekeleza 'Jihadi Kubwa' ya kutomtii adui

    May 26, 2016 16:37

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema njia pekee ya kuufanya Mfumo wa Kiislamu udumu na kupiga hatua mbele na kufikiwa malengo ya Mapinduzi ni 'nchi kuwa na uwezo halisi' na kutekelezwa 'jihadi kubwa', yaani kutomtii adui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS