-
Rekodi mpya ya utawala wa Al Khalifa wa Bahrain katika kukiuka haki za binadamu
Feb 15, 2018 04:05Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch la Bahrain limetangaza kuwa, kumefanyika vitendo 995 vya ukiukaji wa sheria za kijamii na haki za binadamu nchini humo katika mwezi uliopita wa Januari.
-
Wimbi la pili la maandamano ya wananchi nchini Bahrain laanza kwa mnasaba wa Februari 14
Feb 14, 2018 16:49Wimbi la pili la maandamano na harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Bahrain kwa mnasaba wa mwaka wa saba wa mapinduzi ya tarehe 14 Februari, limeanza jioni ya leo Jumatano katika maeneo tofauti ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Matukio 995 ya ukiukaji haki za binadamu yameripotiwa Bahrain mwezi Januari pekee
Feb 14, 2018 02:51Kituo cha kutetea haki za binadamu cha Bahrain kimeripoti kuwa matukio 995 ya ukiukaji haki za kijamii na za binadamu yamejiri nchini humo ndani ya mwezi mmoja uliopita wa Januari.
-
Utawala wa Bahrain wazuia Ibada ya Swala ya Ijumaa katika eneo la Al Diraz
Feb 10, 2018 01:36Utawala wa kiimla wa Bahrain umetumia wanajeshi wake kuendelea kuzingira eneo la Al Diraz anakoishi mwanazuoni maarufu wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim ambaye kwa wiki ya 82 sasa anazuiwa kufungua msikiti wa Imam Swadiq AS kwa ajili ya Swala ya Ijumaa.
-
Al Wifaq ya Bahrain: Tutaendelea na mapinduzi hadi kuung'oa utawala Aal Khalifa
Feb 09, 2018 07:56Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya Bahrain imetangaza kuwa, itaendeleza mapambano yaliyoanza Februari 14 mwaka 2011 kwa lengo la kuuondoa madarakani utawala wa Aal Khalifa.
-
Mwanamfalme wa Bahrain atembelea Israel, atazamiwa kuhudhuria bunge
Feb 05, 2018 16:37Waziri wa Mawasiliano wa utawala wa Kizayuni wa Israel Ayoub Kara amethibitisha kuwa amekutana na mwanamfalme wa Bahrain Mubarak Aal Khalifa mjini Tel Aviv.
-
HRW: Bahrain imewapokonya uraia watu 8 na kuwapeleka Iraq
Feb 04, 2018 16:31Katika kile kinachoonekana na muendelezo wa sera kandamizi za Bahrain, utawala wa Aal-Khalifa umewapokonya uraia watu wanane na kuwapeleka nchini Iraq.
-
Ukiukwaji wa haki za binadamu Bahrain na kimya cha UN na madola ya Magharibi
Feb 03, 2018 08:06Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kutekeleza sera za ukandamizaji dhidi ya wapinzani ikiwa ni pamoja na kuwanyonga, kuwatesa, kuwapokonya uraia na kuwalazimui kuihama nchi. Hayo yote yanafanyika huku kukiwa na kimya kikubwa cha madola ya Magharibi yanayodai kutetea haki za binadamu na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Muungano wa Saudia, Imarati na Bahrain huko Davos, ni kosa la kistratajia
Jan 27, 2018 07:45Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa ameutaja muungano eti dhidi ya Iran wa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu na Bahrain katika Mkutano wa Kimataifa wa uchumi huko Davos nchini Uswisi kama kosa la kistratajia.
-
Utawala wa Bahrain waendelea kuwakandamiza wapinzani
Jan 23, 2018 14:12Utawala wa kiimla wa Bahrain unaendelea kutumia wanajeshi wake kuwakandamiza wananchi wanaoandamana kwa amani wakitaka utawala wa demokrasia katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.