-
Aal Khalifa wabebeshwa dhima ya mauaji na kutupwa baharini miili ya vijana watatu wanamapinduzi wa Bahrain
Feb 20, 2018 04:44Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Amalul-Islami ya Bahrain amelaani mauaji ya vijana watatu wanamapinduzi wa nchi hiyo ambao baada ya kuuliwa, viwiliwili vyao vilitupwa baharini.
-
Wanamapinduzi wa Bahrain wasisitiza kuhitimishwa enzi za utawala uliooza wa Aal Khalifa
Feb 15, 2018 04:51Kiongozi mmoja wa harakati ya Muungano wa Vijana wa Mapinduzi ya Februari 14 ya Bahrain amesema: Wanamapinduzi watapinga mpango wowote ule utakaolenga kuubakisha madarakani utawala wa Aal Khalifa.
-
Rekodi mpya ya utawala wa Al Khalifa wa Bahrain katika kukiuka haki za binadamu
Feb 15, 2018 00:35Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch la Bahrain limetangaza kuwa, kumefanyika vitendo 995 vya ukiukaji wa sheria za kijamii na haki za binadamu nchini humo katika mwezi uliopita wa Januari.
-
Wimbi la pili la maandamano ya wananchi nchini Bahrain laanza kwa mnasaba wa Februari 14
Feb 14, 2018 13:19Wimbi la pili la maandamano na harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Bahrain kwa mnasaba wa mwaka wa saba wa mapinduzi ya tarehe 14 Februari, limeanza jioni ya leo Jumatano katika maeneo tofauti ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Matukio 995 ya ukiukaji haki za binadamu yameripotiwa Bahrain mwezi Januari pekee
Feb 13, 2018 23:21Kituo cha kutetea haki za binadamu cha Bahrain kimeripoti kuwa matukio 995 ya ukiukaji haki za kijamii na za binadamu yamejiri nchini humo ndani ya mwezi mmoja uliopita wa Januari.
-
Utawala wa Bahrain wazuia Ibada ya Swala ya Ijumaa katika eneo la Al Diraz
Feb 09, 2018 22:06Utawala wa kiimla wa Bahrain umetumia wanajeshi wake kuendelea kuzingira eneo la Al Diraz anakoishi mwanazuoni maarufu wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim ambaye kwa wiki ya 82 sasa anazuiwa kufungua msikiti wa Imam Swadiq AS kwa ajili ya Swala ya Ijumaa.
-
Al Wifaq ya Bahrain: Tutaendelea na mapinduzi hadi kuung'oa utawala Aal Khalifa
Feb 09, 2018 04:26Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya Bahrain imetangaza kuwa, itaendeleza mapambano yaliyoanza Februari 14 mwaka 2011 kwa lengo la kuuondoa madarakani utawala wa Aal Khalifa.
-
Mwanamfalme wa Bahrain atembelea Israel, atazamiwa kuhudhuria bunge
Feb 05, 2018 13:07Waziri wa Mawasiliano wa utawala wa Kizayuni wa Israel Ayoub Kara amethibitisha kuwa amekutana na mwanamfalme wa Bahrain Mubarak Aal Khalifa mjini Tel Aviv.
-
HRW: Bahrain imewapokonya uraia watu 8 na kuwapeleka Iraq
Feb 04, 2018 13:01Katika kile kinachoonekana na muendelezo wa sera kandamizi za Bahrain, utawala wa Aal-Khalifa umewapokonya uraia watu wanane na kuwapeleka nchini Iraq.
-
Ukiukwaji wa haki za binadamu Bahrain na kimya cha UN na madola ya Magharibi
Feb 03, 2018 04:36Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kutekeleza sera za ukandamizaji dhidi ya wapinzani ikiwa ni pamoja na kuwanyonga, kuwatesa, kuwapokonya uraia na kuwalazimui kuihama nchi. Hayo yote yanafanyika huku kukiwa na kimya kikubwa cha madola ya Magharibi yanayodai kutetea haki za binadamu na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.