Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Mfungamano mkubwa baina ya vitendo vya Aal Khalifa na utawala wa Kizayuni katika kukandamiza wapinzani

    Mfungamano mkubwa baina ya vitendo vya Aal Khalifa na utawala wa Kizayuni katika kukandamiza wapinzani

    Jun 07, 2017 06:07

    Serikali ya ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain inafanya jinai kubwa dhidi ya raia wa kawaida, wanaharakati na shakhsia mbalimbali wa nchi hiyo kiasi kwamba vitendo vyake hivyo havina tofauti yoyote na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Qatar: Madai dhidi yetu si ya kweli na hayana msingi

    Jun 05, 2017 07:45

    Baada ya Saudi Arabia, Misri, Imarati na Bahrain kukata uhusiano na Qatar mapema leo Jumatatu, wizara ya mambo ya nje wa Qatar imesema, imesikitishwa na hatua hiyo.

  • Kuongezeka hasira za Wabahrain dhidi ya Marekani

    Kuongezeka hasira za Wabahrain dhidi ya Marekani

    Jun 03, 2017 02:28

    Habari kutoka nchini Bahrain zinaonesha kuongezeka mno hasira za wananchi wa nchi hiyo dhidi ya Marekani kutokana na siasa zake za kuunga mkono ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Aal Khalifa dhidi ya raia hususan kuendelea kuzingirwa nyumba ya Sheikh Isa Qassim kwa baraka kamili za Marekani.

  • Ghasia mpya Bahrain, Sheikh Qassim hajulikani aliko

    Ghasia mpya Bahrain, Sheikh Qassim hajulikani aliko

    May 29, 2017 07:11

    Askari wa utawala wa kiimla wa Bahrain wameendelea kuwashambulia wananchi wanaoandamana kumuunga mkono mwanazuoni wa Kiisalmu Sheikh Isa Qassim ambaye sasa ametoweka na hajulikani aliko.

  • Wasiwasi wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na hali ya Bahrain

    Wasiwasi wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na hali ya Bahrain

    May 28, 2017 07:34

    Umoja wa Ulaya umetoa taarifa ambayo imeelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya Bahrain na kutoa indhari kuhusiana na kuzidi kuwa mbaya hali ya nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Utawala wa Aal-Khalifa wapiga marufuku watu kushiriki mazishi ya watu uliowaua

    Utawala wa Aal-Khalifa wapiga marufuku watu kushiriki mazishi ya watu uliowaua

    May 27, 2017 13:37

    Utawala wa kidikteta wa Aal-Khalifa nchini Bahrain umepiga marufu kujitokeza watu katika mazishi ya mashahidi waliouawa na askari wa utawala huo eneo la Dizar, kaskazini magharibi mwa mkoa wa Pwani wa nchi hiyo.

  • Wabahrain waendeleza maandamano ya kulaani udhalimu wa ufalme wa nchi hiyo

    Wabahrain waendeleza maandamano ya kulaani udhalimu wa ufalme wa nchi hiyo

    May 26, 2017 07:30

    Wananchi wa Bahrain wameendeleza maandamano ya kitaifa ya kulaani udhalimu na umwagaji damu unaoendelezwa na utawala wa Aal Khalifa katika kijiji cha Diraz ambacho ni makao ya mwanazuoni maarufu wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim.

  • Utawala wa Aal Khalifa wapanga kuchukua hatua ya kijeuri ya kumbaidisha Sheikh Isa Qassim

    Utawala wa Aal Khalifa wapanga kuchukua hatua ya kijeuri ya kumbaidisha Sheikh Isa Qassim

    May 25, 2017 07:52

    Utawala wa Aal Khalifa ukiungwa mkono na Saudi Arabia na Marekani umepanga kuchukua uamuzi wa kifidhuli na kijeuri wa kumbaidisha na kumpeleka uhamishoni Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mkubwa wa Waislamu wa madhehebu ya Shia, hatua ambayo endapo itatekelezwa itazidisha maradufu ghadhabu na hasira za wananchi wanamapinduzi wa Bahrain.

  • Hali si shwari Bahrain baada ya kuhujumiwa nyumba ya Sheikh Qassim

    Hali si shwari Bahrain baada ya kuhujumiwa nyumba ya Sheikh Qassim

    May 24, 2017 14:21

    Hali nchini Bahrain leo imeripotiwa kuwa mbaya siku moja baada wanajeshi wa ufalme wa Aal Khalifa kuvamia nyumba ya mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim na kuua wafuasi wake kadhaa.

  • Muqtada Sadr aitisha maandamano nje ya ubalozi wa Bahrain, Baghdad

    Muqtada Sadr aitisha maandamano nje ya ubalozi wa Bahrain, Baghdad

    May 24, 2017 07:53

    Sayyid Muqtada Sadr, Kiongozi wa Harakati ya Sadr ya Iraq amewataka wananchi wa taifa hilo la Kiarabu wakusanyike nje ya ubalozi wa Bahrain mjini Baghdad, kulalamikia ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na viongozi wao nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS