Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Iran: Mauaji ya waandamanaji Bahrain, matokeo ya awali ya safari ya Trump Riyadh

    Iran: Mauaji ya waandamanaji Bahrain, matokeo ya awali ya safari ya Trump Riyadh

    May 24, 2017 03:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushambuliwa na kuuawa wananchi wa Bahrain waliokuwa wakishiriki maandamano ya amani ni matokeo ya kwanza ya safari ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump nchini Saudi Arabia.

  • Askari wa utawala wa kidikteta wa Aal-Khalifa wavamia eneo la Diraz, wajeruhi makumi na kuua

    Askari wa utawala wa kidikteta wa Aal-Khalifa wavamia eneo la Diraz, wajeruhi makumi na kuua

    May 23, 2017 14:38

    Askari wa utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain wamevamia eneo la Diraz na kuwashambulia Waislamu wanaomuunga mkono Sheikh Isa Qassim, kiongozi mkubwa wa kidini wa Waislamu wa Shia.

  • Amir-Abdollahian: Mazungumzo ndio njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Bahrain

    Amir-Abdollahian: Mazungumzo ndio njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Bahrain

    May 21, 2017 13:47

    Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema katika radiamali yake kwa hukumu ya mwaka mmoja iliyotolewa na mahakama ya Bahrain dhidi ya Ayatullah Issa Qassemi mwanazuoni mashuhuri wa nchi hiyo kwamba, hatua hiyo ya ghadhabu ya kimahakama haisaidii chochote katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • Wanazuoni Bahrain: Hukumu dhidi ya Sheikh Qassim ni tangazo la vita

    Wanazuoni Bahrain: Hukumu dhidi ya Sheikh Qassim ni tangazo la vita

    May 21, 2017 13:42

    Wanazuoni wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kumhukumu msomi mtajika nchini humo Sheikh Issa Qassim kifungo cha mwaka mmoja na kusisitiza kuwa hukumu hiyo ni sawa na tangazo la vita.

  • Utawala wa Bahrain waahirisha tena kesi ya Sheikh Isa Qassim, wahofia machafuko

    Utawala wa Bahrain waahirisha tena kesi ya Sheikh Isa Qassim, wahofia machafuko

    May 07, 2017 14:27

    Kwa mara nyingine tena na kama ilivyotarajiwa, utawala wa kidikteta wa Aal-Khalifa nchini Bahrain, umeahirisha tena kesi ya Sheikh Isa Qassim, Kiongozi wa ngazi ya juu wa kidini nchini Bahrain kutokana na hofu ya kushindwa kudhibiti hali ya mambo nchini ikiwa utatoa hukumu dhidi yake.

  • Wabahrain waandamana nchi nzima huku kesi ya Sheikh Qassim ikiskizwa leo

    Wabahrain waandamana nchi nzima huku kesi ya Sheikh Qassim ikiskizwa leo

    May 07, 2017 07:34

    Wananchi wa Bahrain wamejitokeza mabarabarani kushiriki maandamano ya nchi nzima leo Jumapili, siku ya kusikilizwa kesi ya Ayatullah Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kesi ya Ayatollah Qassim ni mfano wa kukandamizwa Waislamu wa Kishia Bahrain

    Kesi ya Ayatollah Qassim ni mfano wa kukandamizwa Waislamu wa Kishia Bahrain

    May 06, 2017 07:28

    Katibu Mkuu wa Chama cha Kiislamu cha Al Wifaq cha Bahrain Sheikh Ali Salman amesema kufikishwa kizimbani Ayatullah Sheikh Isa Qassim ni sawa na utawala wa Aal Khalifa kuwafikisha kizimbani na kuwalenga Waislamu wote wa madhehebu ya Shia nchini Bahrain.

  • UN, US na EU zatakiwa kukomesha jinai za Bahrain dhidi ya Sheikh Qassim

    UN, US na EU zatakiwa kukomesha jinai za Bahrain dhidi ya Sheikh Qassim

    May 05, 2017 13:42

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Bahrain na kimataifa yameziandikia barua Marekani, Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya yakizitaka ziishinikize serikali ya Manama kukomesha jinai zake dhidi ya Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa ngazi ya juu wa nchi hiyo ambaye alivuliwa uraia wa Bahrain Juni 20 mwaka jana 2016.

  • Umoja wa Mataifa na hali ya haki za binadamu nchini Bahrain

    Umoja wa Mataifa na hali ya haki za binadamu nchini Bahrain

    May 03, 2017 03:44

    Duru ya 27 ya kikao cha Umoja wa Mataifa kimeanza mjini Geneva kwa lengo la kuchunguza hali ya haki za binadamu nchini Bahrain.

  • Jinai za ukoo wa Kifalme Bahrain zazidi kulaaniwa

    Jinai za ukoo wa Kifalme Bahrain zazidi kulaaniwa

    May 01, 2017 07:32

    Makundi ya haki za binadamu katika kona mbalimbali za dunia yamelaani jinai za ukoo wa Aal Khalifa dhidi ya wafungwa nchini Bahrain na kuutaka utawala huo kandamizi kuacha kuwanyanyasa wafungwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS