-
Utawala wa Bahrain waendelea kuzuia Sala ya Ijumaa eneo la Diraz
Apr 29, 2017 07:43Askari wa utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain, kwa mwezi wa 10 mfululizo wamezuia Sala ya Ijumaa kusaliwa katika eneo la Diraz nchini humo.
-
HRW: Ni aibu kwa Uingereza, Marekani kunyamazia kimya ukiukwaji haki za binadamu Bahrain
Apr 28, 2017 14:35Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema, kimya cha Uingereza na Marekani mbele ya ukiukwaji haki za binadamu nchini Bahrain ni aibu.
-
Utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa waendelea kutumia silaha ya kuwavua uraia Wabahrain
Apr 24, 2017 15:03Mahakama Kuu ya Bahrain imewavua uraia vijana wawili wanaharakati wa nchi hiyo na kuwahukumu pia kifungo cha miaka kumi jela.
-
Utawala wa Aal Khalifa wawakea marufuku ya kusafiri wanaharakati wa kisiasa wa Bahrain
Apr 24, 2017 02:55Katika kuendeleza ukandamizaji wake dhidi ya wananchi wa Bahrain, Utawala wa Aal KHalifa umewapiga marufuku kusafiri wanaharakati kadhaa wa kisiasa wa nchi hiyo kwa kisingizio cha kuandamana katika eneo la al Deraz nchini humo.
-
Utawala wa Aal Khalifa na hatua zake za kubana zaidi uhuru wa kidini huko Bahrain
Apr 15, 2017 12:34Raia wa Bahrain waliokuwa wamejiandaa kutekeleza ibada ya Sala ya Ijumaa jana kwa mara nyingine tena walilazimika kusali furada kutokana na kizuizi kilichowekwa na askari jeshi wa utawala wa Aal Khalifa baada kupita miezi minane bila ya kufanyika Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Imam Sadiq (a.s) katika eneo la al Diraz nchini humo.
-
Amnesty International yaanzisha kampeni ya kumuungamkono kiongozi wa upinzani Bahrain
Apr 14, 2017 08:16Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limeanzisha kampeni ya umma inayoutaka utawala wa Bahrain kumuachia huru haraka na bila ya masharti Sheikh Ali Salman, mwanazuoni mashuhuri wa nchini humo.
-
Wananchi wa Bahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim
Apr 08, 2017 03:44Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Bahrain wamefanya maandamano jana kumuunga mkono na kuonyesha mshikamano wao kwa Sheikh Issa Qassim mwanazuoni mashuhuri wa ngazi ya juu wa nchi hiyo.
-
Mfalme wa Bahrain aafiki kuhukumiwa raia katika mahakama za kijeshi
Apr 03, 2017 13:57Mfalme wa Bahrain leo Jumatatu amesaini sheria ya kuifanyia marekebisho katiba ili kuzipatia mamlaka mahakama za kijeshi za nchi hiyo kusikiliza kesi za raia wa kawaida nchini humo.
-
Chama cha Sinn Féin chataka Uingereza isiiuzie Saudia silaha
Apr 02, 2017 04:20Chama cha Sinn Féin cha Ireland Kaskazini nchini Uingereza kimetoa taarifa kikitaka serikali ya nchi hiyo isitishe mara moja uuzaji silaha kwa utawala wa Saudi Arabia.
-
Kuendelea ukandamizaji wa utawala wa Aal-Khalifa mwaka 2017 huko Bahrain
Mar 30, 2017 12:25Kutolewa hukumu ya adhabu ya kifo, unyang'aji wa uraia uliofanywa na mahakama na kadhalika kupiga marufuku vikao na majlisi za maombelezo kwa ajili ya vijana wanaouawa shahidi nchini Bahrain ni ishara ya kuendelea siasa za ukandamizaji za utawala wa Aal-Khalifa dhidi ya raia wa nchi hiyo mwaka huu wa 2017.