Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Bahrain yamfunga miaka 10 jela mbunge wa zamani wa al-Wefaq

    Bahrain yamfunga miaka 10 jela mbunge wa zamani wa al-Wefaq

    Mar 29, 2017 13:54

    Vyombo vya mahakama nchini Bahrain vimeendeleza wimbi la hukumu zake zisizo za kiadilifu dhidi ya wanaharakati na wakosoaji wa utawala wa Aal-Khalifa, baada ya kutoa hukumu ya vifo na kifungo jela kwa wanaharakati kadhaa.

  • Mtoto wa miaka 10 apandishwa kizimbani nchini Bahrain kwa tuhuma za uongo

    Mtoto wa miaka 10 apandishwa kizimbani nchini Bahrain kwa tuhuma za uongo

    Mar 28, 2017 03:54

    Vyombo vya usalama nchini Bahrain, vimempandisha kizimbani mtoto mdogo wa miaka 10 katika mahakama ya kimaonyesho na kwa tuhuma za uongo.

  • Wimbi la maandamano ya wananchi latanda nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal-Khalifah

    Wimbi la maandamano ya wananchi latanda nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal-Khalifah

    Mar 26, 2017 02:40

    Maeneo tofauti ya Bahrain yamekumbwa na wimbi la maandamano makubwa ya wananchi wanaopinga hukumu za adhabu ya kifo zilizotolewa na mahakama za kimaonyesho za nchi hiyo na kadhalika kutangaza uungaji mkono wao kwa Mustafa Hamdan, kijana aliyeuawa shahidi na askari wa utawala wa Aal-Khalifah.

  • Kuzidi kukandamizwa Wabahrain chini ya kivuli cha uungaji mkono wa Magharibi kwa utawala wa Aal Khalifa

    Kuzidi kukandamizwa Wabahrain chini ya kivuli cha uungaji mkono wa Magharibi kwa utawala wa Aal Khalifa

    Mar 23, 2017 04:22

    Ripoti kutoka Bahrain zinaeleza kuwa utawala wa Aal Khalifa umeshadidisha sera zake za ukandamizaji dhidi ya raia huku vikosi vya utawala huo vikiendeleza sera hizo kwa kuzidisha vitendo vya ukatili dhidi ya raia hao.

  • Amnesty yaitaka US ikome kuziuzia silaha Saudia na Bahrain

    Amnesty yaitaka US ikome kuziuzia silaha Saudia na Bahrain

    Mar 16, 2017 14:35

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Marekani iache kuziuzia silaha serikali za Saudi Arabia na Bahrain kutokana na nchi hizo kutumia silaha hizo kuvunja haki za raia.

  • UN yakosolewa kunyamazia kimya jinai za utawala wa Bahrain

    UN yakosolewa kunyamazia kimya jinai za utawala wa Bahrain

    Mar 16, 2017 07:20

    Umoja wa Mataifa umekosolewa vikali kwa kunyamazia kimya jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Khalifa dhidi ya wananchi wa Bahrain.

  • Harakati ya Al Wifaq Bahrain: Kesi ya Sheikh Issa Qassim ni ya kimadhehebu

    Harakati ya Al Wifaq Bahrain: Kesi ya Sheikh Issa Qassim ni ya kimadhehebu

    Mar 16, 2017 04:02

    Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya Bahrain amesema kuwa, kesi iliyofunguliwa na utawala wa kifalme wa Aal Khalifa dhidi ya mwanazuoni mashuhuri wa Kishia wa nchi hiyo ni sawa na kupandishwa kizimbani madhehebu nzima ya Kishia yenye watu wengi zaidi nchini humo.

  • Bahrain yaakhirisha tena hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim

    Bahrain yaakhirisha tena hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim

    Mar 14, 2017 14:54

    Kwa mara nyingine tena utawala wa Aal-Khalifa umeakhirisha kutolewa hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain hadi Mei 7 mwaka huu.

  • Maulamaa Bahrain wasema ni wadhifa wa kidini kumtetea Sheikh Issa Qassim

    Maulamaa Bahrain wasema ni wadhifa wa kidini kumtetea Sheikh Issa Qassim

    Mar 14, 2017 04:40

    Maulamaa wa Kiislamu nchini Bahrain wametoa taarifa na kusema, ni wadhifa wa kidini na kitaifa kumtetea Ayatullah Sheikh Issa Qassim, kiongozi wa kimaanawi wa harakati wa mapinduzi ya wananchi.

  • HRW: Watu 133 wamepokonywa uraia nchini Bahrain mwaka jana 2016

    HRW: Watu 133 wamepokonywa uraia nchini Bahrain mwaka jana 2016

    Mar 12, 2017 07:18

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema makumi ya raia wa Bahrain walivuliwa uraia na serikali mwaka uliopita 2016.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS