Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Wabahrain sasa kushtakiwa kwenye mahakama za kijeshi za utawala wa Aal Khalifa

    Wabahrain sasa kushtakiwa kwenye mahakama za kijeshi za utawala wa Aal Khalifa

    Mar 06, 2017 03:59

    Bunge la Bahrain limepitisha mpango uliopendekezwa na mfalme wa nchi hiyo Hamad bin Isa Al Khalifa wa kuifanyia marekebisho katiba kwa madhumuni ya kurahisisha kushtakiwa raia katika mahakama za kijeshi.

  • Maulamaa wa Bahrain wasisitiza kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Maulamaa wa Bahrain wasisitiza kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Feb 26, 2017 08:06

    Maulamaa nchini Bahrain wametoa taarifa na kusisitiza udharura wa kumtetea na kumuunga mkono Ayatullah Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini humo anayekandamizwa na utawala wa ukoo wa Aal Khalifa.

  • Kufanyika kwa mafanikio Mkutano wa Palestina; ni ishara ya kudhoofika siasa za utawala wa Kizayuni katika eneo

    Kufanyika kwa mafanikio Mkutano wa Palestina; ni ishara ya kudhoofika siasa za utawala wa Kizayuni katika eneo

    Feb 22, 2017 08:08

    Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya al Wifaq ya Bahrain amesema kuwa kufanyika kwa mafanikio Mkutano wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina katika mji wa Tehran ni fursa kwa ajili ya kuonyesha udhaifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni katika siasa zao za kichokozi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Amnesty International yatahadharisha kuhusu kushtadi ukandamizaji Bahrain

    Amnesty International yatahadharisha kuhusu kushtadi ukandamizaji Bahrain

    Feb 15, 2017 07:56

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limetahadharisha kuhusu kuendelea kukandamizwa kwa kiasi kikubwa raia huko Bahrain kunakofanywa na utawala wa Aal Khalifa.

  • Kushadidi anga ya ukandamizaji nchini Bahrain na njama za utawala wa Aal Khalifa

    Kushadidi anga ya ukandamizaji nchini Bahrain na njama za utawala wa Aal Khalifa

    Feb 09, 2017 04:05

    Duru za haki za binadamu zimetangaza kuwa, Mahakama ya Rufaa ya Bahrain imetupilia mbali ombi la kuangalia upya hukumu ya kukivunja Chama cha al-Wifaq na kuzuia mali zake zote.

  • Amnesty yaitaka Bahrain iache kuwanyonga wafungwa wa kisiasa

    Amnesty yaitaka Bahrain iache kuwanyonga wafungwa wa kisiasa

    Jan 20, 2017 07:36

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema Bahrain inaelekea kutumbukia katika mgogoro wa haki za binaadamu na inapaswa kusitisha mara moja hukumu ya kunyongwa wafungwa wengine wawili wa kisiasa nchini huo.

  • UN: Kunyongwa vijana wa Bahrain ni dhulma

    UN: Kunyongwa vijana wa Bahrain ni dhulma

    Jan 19, 2017 02:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kitendo cha watawala wa Bahrain cha kuwanyonga vijana watatu wa nchi hiyo si cha kiuadilifu.

  • Utawala wa Bahrain wazidi kukosolewa kwa kuwanyonga wanaharakati

    Utawala wa Bahrain wazidi kukosolewa kwa kuwanyonga wanaharakati

    Jan 17, 2017 07:36

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amelaani hatua ya Bahrain ya kuwanyonga vijana watatu wanaharakati wa nchi hiyo kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la mwaka 2014, huku akikosoa kimya cha jamii ya kimataifa juu ya ukatili huo.

  • Kunyongwa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain

    Kunyongwa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain

    Jan 16, 2017 07:49

    Utawala wa Ukoo wa Aal Khalifa jana Jumapili asubuhi uliwanyonga vijana watatu wapinzani pamoja na kuwa mashirika ya kutetea haki za binadmau yalikuwa yamemuandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa yakitaka vijana walionyongwa kuachiliwa huru mara moja.

  • Iran yalaani mauaji ya wanaharakati Bahrain, upinzani waitisha maandamano nchi nzima

    Iran yalaani mauaji ya wanaharakati Bahrain, upinzani waitisha maandamano nchi nzima

    Jan 16, 2017 03:52

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hatua ya utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati watatu wa nchi hiyo kwa madai bandia ya kuhusika na shambulizi la kigaidi la mwaka 2014.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS