Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bangladesh

  • Waandamanaji wachoma moto nyumba ya mwasisi wa Bangladesh, Sheikh Mujibur Rahman

    Waandamanaji wachoma moto nyumba ya mwasisi wa Bangladesh, Sheikh Mujibur Rahman

    Feb 06, 2025 11:01

    Kundi kubwa la waandamanaji jana liliharibu na kuchoma makazi ya mwasisi wa Bangladesh, Sheikh Mujibur Rahman huko Dhaka, wakati binti yake, Sheikh Hasina waziri mkuu aliyeondolewa madarakani alipokuwa akihutubia kwa njia ya mtandao.

  • Muhammad Yunus ala kiapo cha kuongoza serikali ya mpito ya Bangladesh

    Muhammad Yunus ala kiapo cha kuongoza serikali ya mpito ya Bangladesh

    Aug 09, 2024 10:09

    Mwanauchumi aliyeshinda tuzo ya amani ya Nobel Muhammad Yunus ameapishwa kuwa mkuu wa serikali ya mpito ya Bangladesh, siku tatu baada ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina kulazimika kujiuzulu na kukimbilia nchi jirani ya India.

  • Umoja wa Mataifa wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani nchini Bangladesh

    Umoja wa Mataifa wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani nchini Bangladesh

    Aug 06, 2024 12:56

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kuhamishwa madaraka kwa njia ya amani nchini Bangladesh, akitoa wito wa kuwajibishwa maafisa wa serikali ya nchi hiyo waliohusika na mauaji ya mamia ya watu na kujeruhiwa maelfu ya waandamanaji katika maandamano ya hivi karibuni dhidi ya serikali.

  • UN: Warohingya 45,000 wakimbilia katika maeneo karibu na mpaka wa Bangladesh

    UN: Warohingya 45,000 wakimbilia katika maeneo karibu na mpaka wa Bangladesh

    May 25, 2024 02:05

    Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa jana Ijumaa ilieleza kuwa Waislamu wa Rohngya wasiopungua elfu 45 wamekimbilia katika maeneo karibu na mpaka wa Bangladesha baada ya kuripotiwa mapigano.

  • Kuendelea ushirikiano wa kiuchumi wa kundi la D-8 katika kikao cha Dhaka

    Kuendelea ushirikiano wa kiuchumi wa kundi la D-8 katika kikao cha Dhaka

    Jul 30, 2022 10:51

    Duru nyingne ya mkutano wa kundi la nchi nane za Kiislamu zilizostawi kiuchumi yaani D-8 imefanyika huku Bangladesh ikiwa mwenyeji wa mkutano huo.

  • Kuchomwa moto kambi ya wakimbizi ya Waislamu wa Rohingya

    Kuchomwa moto kambi ya wakimbizi ya Waislamu wa Rohingya

    Jan 12, 2022 02:31

    Polisi ya Bangladesh imetangaza kuwa, moto umetokea katika kambi ya wakimbizi ya Waislamu wa Kirohingya wa Myanmar katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Waislamu Bangladesh waandamana kulaani kuvunjiwa heshima Qurani Hekaluni

    Waislamu Bangladesh waandamana kulaani kuvunjiwa heshima Qurani Hekaluni

    Oct 14, 2021 14:42

    Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu nchini Bangladesh.

  • Mauaji ya kigaidi dhidi ya kiongozi mmoja wa Waislamu wa Rohingya

    Mauaji ya kigaidi dhidi ya kiongozi mmoja wa Waislamu wa Rohingya

    Oct 02, 2021 02:33

    Mohibullah ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh kutoka Myanmar ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.

  • Mamia ya wanaharakati wa Kiislamu wakamatwa Bangladesh kwa kupinga safari ya Modi

    Mamia ya wanaharakati wa Kiislamu wakamatwa Bangladesh kwa kupinga safari ya Modi

    Apr 19, 2021 13:30

    Polisi ya Bangladesh imewatia nguvuni mamia ya wanaharakati wa Kiislamu baada ya mandamano yaliyoandamana na umwagaji damu ya kupinga safari ya Waziri Mkuu wa India nchini humo mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu.

  • Bangladesh yachunguza mkasa wa moto ulioua Waislamu 15 wa Rohingya

    Bangladesh yachunguza mkasa wa moto ulioua Waislamu 15 wa Rohingya

    Mar 24, 2021 02:48

    Serikali ya Dhaka imeanzisha uchunguzi kubaini kiini cha moto mkubwa uliotokea katika kambi ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya katika wilaya ya Cox's Bazar nchini Bangladesh na kuua na kujeruhi mamia ya watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS