Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bangladesh

  • Mahakama ya ICT Bangladesh yamhukumu adhabu ya kifo waziri mkuu wa zamani Hasina

    Mahakama ya ICT Bangladesh yamhukumu adhabu ya kifo waziri mkuu wa zamani Hasina

    Nov 17, 2025 10:48

    Baraza la Mahakama la Jinai za Kimataifa (International Crimes Tribunal), ICT la Bangladesh leo limetoa hukumu ya adhabu ya kifo kwa Waziri Mkuu wa zamani aliyeitoroka nchi Sheikh Hasina, baada ya kumpata na hatia ya kuhusika na jinai dhidi ya binadamu-mbali na makosa mengine-, kwa uhalifu uliofanywa mwaka jana wakati wa maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea ya kupinga serikali yake.

  • Maandamano Bangladesh baada ya ndege ya kijeshi kuangukia skuli na kuua watu 31

    Maandamano Bangladesh baada ya ndege ya kijeshi kuangukia skuli na kuua watu 31

    Jul 22, 2025 18:41

    Mamia ya watu wameandamana nchini Bangladesh kudai uwajibikaji baada ya ndege ya kivita ya jeshi la anga kuangukia skuli moja katika mji mkuu Dhaka na kusababisha vifo vya watu 31 wakiwemo wanafunzi 25.

  • Waandamanaji wachoma moto nyumba ya mwasisi wa Bangladesh, Sheikh Mujibur Rahman

    Waandamanaji wachoma moto nyumba ya mwasisi wa Bangladesh, Sheikh Mujibur Rahman

    Feb 06, 2025 11:01

    Kundi kubwa la waandamanaji jana liliharibu na kuchoma makazi ya mwasisi wa Bangladesh, Sheikh Mujibur Rahman huko Dhaka, wakati binti yake, Sheikh Hasina waziri mkuu aliyeondolewa madarakani alipokuwa akihutubia kwa njia ya mtandao.

  • Muhammad Yunus ala kiapo cha kuongoza serikali ya mpito ya Bangladesh

    Muhammad Yunus ala kiapo cha kuongoza serikali ya mpito ya Bangladesh

    Aug 09, 2024 10:09

    Mwanauchumi aliyeshinda tuzo ya amani ya Nobel Muhammad Yunus ameapishwa kuwa mkuu wa serikali ya mpito ya Bangladesh, siku tatu baada ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina kulazimika kujiuzulu na kukimbilia nchi jirani ya India.

  • Umoja wa Mataifa wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani nchini Bangladesh

    Umoja wa Mataifa wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani nchini Bangladesh

    Aug 06, 2024 12:56

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kuhamishwa madaraka kwa njia ya amani nchini Bangladesh, akitoa wito wa kuwajibishwa maafisa wa serikali ya nchi hiyo waliohusika na mauaji ya mamia ya watu na kujeruhiwa maelfu ya waandamanaji katika maandamano ya hivi karibuni dhidi ya serikali.

  • UN: Warohingya 45,000 wakimbilia katika maeneo karibu na mpaka wa Bangladesh

    UN: Warohingya 45,000 wakimbilia katika maeneo karibu na mpaka wa Bangladesh

    May 25, 2024 02:05

    Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa jana Ijumaa ilieleza kuwa Waislamu wa Rohngya wasiopungua elfu 45 wamekimbilia katika maeneo karibu na mpaka wa Bangladesha baada ya kuripotiwa mapigano.

  • Kuendelea ushirikiano wa kiuchumi wa kundi la D-8 katika kikao cha Dhaka

    Kuendelea ushirikiano wa kiuchumi wa kundi la D-8 katika kikao cha Dhaka

    Jul 30, 2022 10:51

    Duru nyingne ya mkutano wa kundi la nchi nane za Kiislamu zilizostawi kiuchumi yaani D-8 imefanyika huku Bangladesh ikiwa mwenyeji wa mkutano huo.

  • Kuchomwa moto kambi ya wakimbizi ya Waislamu wa Rohingya

    Kuchomwa moto kambi ya wakimbizi ya Waislamu wa Rohingya

    Jan 12, 2022 02:31

    Polisi ya Bangladesh imetangaza kuwa, moto umetokea katika kambi ya wakimbizi ya Waislamu wa Kirohingya wa Myanmar katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Waislamu Bangladesh waandamana kulaani kuvunjiwa heshima Qurani Hekaluni

    Waislamu Bangladesh waandamana kulaani kuvunjiwa heshima Qurani Hekaluni

    Oct 14, 2021 14:42

    Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu nchini Bangladesh.

  • Mauaji ya kigaidi dhidi ya kiongozi mmoja wa Waislamu wa Rohingya

    Mauaji ya kigaidi dhidi ya kiongozi mmoja wa Waislamu wa Rohingya

    Oct 02, 2021 02:33

    Mohibullah ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh kutoka Myanmar ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS