-
Mahakama ya ICT Bangladesh yamhukumu adhabu ya kifo waziri mkuu wa zamani Hasina
Nov 17, 2025 10:48Baraza la Mahakama la Jinai za Kimataifa (International Crimes Tribunal), ICT la Bangladesh leo limetoa hukumu ya adhabu ya kifo kwa Waziri Mkuu wa zamani aliyeitoroka nchi Sheikh Hasina, baada ya kumpata na hatia ya kuhusika na jinai dhidi ya binadamu-mbali na makosa mengine-, kwa uhalifu uliofanywa mwaka jana wakati wa maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea ya kupinga serikali yake.
-
Maandamano Bangladesh baada ya ndege ya kijeshi kuangukia skuli na kuua watu 31
Jul 22, 2025 18:41Mamia ya watu wameandamana nchini Bangladesh kudai uwajibikaji baada ya ndege ya kivita ya jeshi la anga kuangukia skuli moja katika mji mkuu Dhaka na kusababisha vifo vya watu 31 wakiwemo wanafunzi 25.
-
Waandamanaji wachoma moto nyumba ya mwasisi wa Bangladesh, Sheikh Mujibur Rahman
Feb 06, 2025 11:01Kundi kubwa la waandamanaji jana liliharibu na kuchoma makazi ya mwasisi wa Bangladesh, Sheikh Mujibur Rahman huko Dhaka, wakati binti yake, Sheikh Hasina waziri mkuu aliyeondolewa madarakani alipokuwa akihutubia kwa njia ya mtandao.
-
Muhammad Yunus ala kiapo cha kuongoza serikali ya mpito ya Bangladesh
Aug 09, 2024 10:09Mwanauchumi aliyeshinda tuzo ya amani ya Nobel Muhammad Yunus ameapishwa kuwa mkuu wa serikali ya mpito ya Bangladesh, siku tatu baada ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina kulazimika kujiuzulu na kukimbilia nchi jirani ya India.
-
Umoja wa Mataifa wataka kukabidhiwa madaraka kwa amani nchini Bangladesh
Aug 06, 2024 12:56Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kuhamishwa madaraka kwa njia ya amani nchini Bangladesh, akitoa wito wa kuwajibishwa maafisa wa serikali ya nchi hiyo waliohusika na mauaji ya mamia ya watu na kujeruhiwa maelfu ya waandamanaji katika maandamano ya hivi karibuni dhidi ya serikali.
-
UN: Warohingya 45,000 wakimbilia katika maeneo karibu na mpaka wa Bangladesh
May 25, 2024 02:05Ofisi ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa jana Ijumaa ilieleza kuwa Waislamu wa Rohngya wasiopungua elfu 45 wamekimbilia katika maeneo karibu na mpaka wa Bangladesha baada ya kuripotiwa mapigano.
-
Kuendelea ushirikiano wa kiuchumi wa kundi la D-8 katika kikao cha Dhaka
Jul 30, 2022 10:51Duru nyingne ya mkutano wa kundi la nchi nane za Kiislamu zilizostawi kiuchumi yaani D-8 imefanyika huku Bangladesh ikiwa mwenyeji wa mkutano huo.
-
Kuchomwa moto kambi ya wakimbizi ya Waislamu wa Rohingya
Jan 12, 2022 02:31Polisi ya Bangladesh imetangaza kuwa, moto umetokea katika kambi ya wakimbizi ya Waislamu wa Kirohingya wa Myanmar katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Waislamu Bangladesh waandamana kulaani kuvunjiwa heshima Qurani Hekaluni
Oct 14, 2021 14:42Kwa akali watu watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qurani Tukufu nchini Bangladesh.
-
Mauaji ya kigaidi dhidi ya kiongozi mmoja wa Waislamu wa Rohingya
Oct 02, 2021 02:33Mohibullah ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wa jamii ya Waislamu wa Rohingya waliokimbilia Bangladesh kutoka Myanmar ameuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.