Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bashar al Assad

  • Assad: Mashambulizi ya Aleppo yanalenga kuwapa usalama raia

    Assad: Mashambulizi ya Aleppo yanalenga kuwapa usalama raia

    Oct 19, 2016 15:23

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwaangamiza magaidi katika mji wa Aleppo, kaskazini magharibi mwa nchi ndio chagua la pekee na la kisheria la kuwadhaminia usalama raia.

  • Kuridhishwa De Mistura na usitishaji vita; mustakabali wa Assad uko mikononi mwa wananchi wa Syria

    Kuridhishwa De Mistura na usitishaji vita; mustakabali wa Assad uko mikononi mwa wananchi wa Syria

    Sep 16, 2016 14:09

    Staffan de Mistura, mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria amesema lengo la makubaliano baina ya Marekani na Russia ya kusitishwa vita nchini Syria ni kuwezesha kufikishwa na misaada kwa raia wa nchi hiyo.

  • Assad akosoa waungaji mkono wa makundi ya kigaidi

    Assad akosoa waungaji mkono wa makundi ya kigaidi

    Aug 05, 2016 04:20

    Rais wa Syria amesema kuwa uungaji mkono wa baadhi ya nchi kwa suala la ugaidi ndiyo sababu ya machafuko na kuwepo ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati na ulimwenguni kwa ujumla.

  • Assad: Wamagharibi hawawezi kuvumilia uhuru wa Syria

    Assad: Wamagharibi hawawezi kuvumilia uhuru wa Syria

    Jul 27, 2016 07:39

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema nchi za Magharibi zimeshindwa kuvumilia uhuru wa kujitawala Syria na ndiposa zikaanza kuunga mkono harakati za kigaidi nchini humo.

  • Assad: Huenda Erdogan atatumia 'mapinduzi' kuwaondoa maadui serikalini

    Assad: Huenda Erdogan atatumia 'mapinduzi' kuwaondoa maadui serikalini

    Jul 18, 2016 07:35

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema huenda Rais Reccep Teyyip Erdogan wa Uturuki akatumia jaribio la mapinduzi yaliyofeli kuwaadhibu na kuwaondoa serikalini wakosoaji na wapinzani wake.

  • Assad: Nitakumbukwa kama muokozi wa uhuru wa Syria

    Assad: Nitakumbukwa kama muokozi wa uhuru wa Syria

    Jul 14, 2016 15:52

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kwamba, anataraji kuwa historia itamkumbuka kama kiongozi aliyesimama kidete kutetea uhuru wa kujitawala nchi yake mbele ya chokochoko za mabeberu.

  • Assad: Mgororo wa Syria utatatuliwa kwa mazungumzo sambamba na kupambana na ugaidi

    Assad: Mgororo wa Syria utatatuliwa kwa mazungumzo sambamba na kupambana na ugaidi

    Jul 03, 2016 02:26

    Rais Bashar Assad wa Syria amesema kuwa, haiwezekani kupatikana njia ya ufumbuzi halisi wa mgogoro wa nchi hiyo bila ya kuwepo mapambano ya kweli dhidi ya ugaidi.

  • Rais wa Syria:  Magharibi inataka urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia

    Rais wa Syria: Magharibi inataka urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia

    May 19, 2016 15:52

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema inachotaka Magharibi ni kuwa na urafiki na nchi zisizo na uhuru wa kujiamulia wala wa kujitawala.

  • Rais wa Syria aishukuru Iran kwa uungaji mkono wake

    Rais wa Syria aishukuru Iran kwa uungaji mkono wake

    May 07, 2016 16:27

    Rais Bashar al Assad wa Syria ameishukuru serikai na taifa la Iran kwa uungaji mkono wake kwa wananchi na serikali ya nchi yake.

  • Russia yasema hakuna makubaliano iliyofikia na Marekani kuhusu hatima ya Rais wa Syria

    Russia yasema hakuna makubaliano iliyofikia na Marekani kuhusu hatima ya Rais wa Syria

    Apr 01, 2016 04:24

    Russia imekanusha ripoti kuwa imefikia makubaliano na Marekani kuhusu hatima ya Rais Bashar al-Assad wa Syria, kama sehemu ya juhudi za kumaliza mgogoro katika nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS