Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Baytul Muqaddas

  • Maandalizi ya Israel ya kuwafukuza Wapalestina wote katika mji wa Baitul Muqaddas

    Maandalizi ya Israel ya kuwafukuza Wapalestina wote katika mji wa Baitul Muqaddas

    Dec 27, 2017 08:16

    Kutokana na baraka alizotoa Donald Trump kwa utawala wa Kizayuni kuhusiana na mji wa Baitul Muqaddas, bunge la utawala huo haramu limepanga kujadili rasimu ya sheria ya kuwafukuza Wapalestina wote katika mji huo kilipo kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Bunge la Iran lapitisha: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina

    Bunge la Iran lapitisha: Quds ni mji mkuu wa kudumu wa Palestina

    Dec 24, 2017 16:42

    Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran leo wamepitisha mpango wa dharura wa kuunga mkono Mapinduzi ya Kiislamu ya watu wa Palestina na kusisitiza kwamba Baitul Muqaddas utakuwa mji mkuu wa kudumu wa nchi ya Palestina.

  • Ushindi mwingine kwa Palestina, ISESCO yaunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa

    Ushindi mwingine kwa Palestina, ISESCO yaunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa

    Dec 03, 2017 05:52

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Kiislamu (ISESCO) limeunga mkono azimio la siku chache zilizopita la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusiana na mji wa Baytul Muqaddas huko Palestina. Azimio hilo limetangaza rasmi kuwa Israel ni dola vamizi na halina haki yoyote ya kuendesha masuala sheria za kimahakama na kiidara katika mji huo.

  • Sala ya kwanza ya Ijumaa Mwezi wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa

    Sala ya kwanza ya Ijumaa Mwezi wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa

    Jun 02, 2017 14:22

    Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika sala ya Ijumaa ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa kwenye mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel huku ya wanajeshi wa utawala huo wa Kizayuni wakiwa wameweka sheria kali za kuwabana Waislamu.

  • Ghadhabu ya Wapalestina kufuatia uchozezi wa Israel katika Quds Tukufu

    Ghadhabu ya Wapalestina kufuatia uchozezi wa Israel katika Quds Tukufu

    May 30, 2017 07:47

    Wapalestina wameendelea kuonyesha ghadhabu zao kufuatia kitendo cha kichochezi cha utawala haramu wa Israel katika mji wa Quds Tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.

  • Baitul Muqaddas, lengo la uvamizi na sera za kutaka kujitanua za Israel

    Baitul Muqaddas, lengo la uvamizi na sera za kutaka kujitanua za Israel

    Apr 26, 2017 12:50

    Wizara ya Makazi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imepasisha mpango wa ujenzi wa nyumba mpya za walowezi wa Kiyahudi katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu ya kaskazini magharibi mwa Quds tukufu licha ya upinzani mkubwa wa kimataifa.

  • Pakistan yapinga kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Quds

    Pakistan yapinga kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Quds

    Jan 19, 2017 14:25

    Mwakilishi wa Kudumu wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amepinga hatua yoyote ya uhamishaji wa ubalozi wa Marekani kutoka Tel-Aviv, Israel kwenda Baytul-Muqaddas na kwamba, kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Sheikh Sabri: Kuuhamishia ubalozi wa Marekani Quds ni kutangaza vita na Wapalestina

    Sheikh Sabri: Kuuhamishia ubalozi wa Marekani Quds ni kutangaza vita na Wapalestina

    Dec 17, 2016 04:24

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika msikiti mtukufu wa Al-Aqsa, Palestina inayokaliwa kwa mabavu amesema, kuhamishiwa Baitul Muqaddas ubalozi wa Marekani ulioko Tel Aviv na kuitambua rasmi Quds kuwa mji mkuu wa utawala bandia wa Israel ni sawa na kutangaza vita na Wapalestina.

  • Mufti wa Baitul Muqaddas: Kuzuru msikiti wa Al-Aqsa kumekuwa

    Mufti wa Baitul Muqaddas: Kuzuru msikiti wa Al-Aqsa kumekuwa "wajibu" kwa Waislamu na Waarabu

    Nov 29, 2016 03:36

    Mufti wa Baitul Muqaddas Sheikh Muhammad Hussein ametaka zichukuliwe hatua zaidi na Umma wa Kiislamu na Kiarabu za kuuhami msikiti mtukufu wa Al-Aqsa.

  • Radiamali ya Iran kuhusu kupigwa marufuku adhana misikitini huko Quds

    Radiamali ya Iran kuhusu kupigwa marufuku adhana misikitini huko Quds

    Nov 17, 2016 04:24

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezitolea wito jamii ya kimataifa na nchi za Kiislamu kufanya juhudi ili kuzuia kubadilishwa utambulisho wa Kiislamu wa Baitul Muqaddas.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS