-
Makumi ya mateka wakombolewa kutoka mikononi mwa Boko Haram
Feb 16, 2016 11:34Makumi ya watu waliokuwa wanashikiliwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram wamekombolewa nchini Nigeria. Sani Othman, Msemaji wa jeshi la Nigeria ameyasema hayo kupitia ripoti maalumu juu ya mafanikio ya operesheni za jeshi la nchi hiyo na Cameroon na kuongeza kuwa, askari wa nchi hizo mbili wamefanikiwa kukomboa mateka 112 kutoka mikononi mwa kundi hilo kupitia operesheni za pamoja.
-
Nigeria yatahadharisha kuhusu kuzidi kupenya kundi la Boko Haram barani Afrika
Feb 15, 2016 21:37Mkuu wa Kituo cha Upashaji Habari cha Taifa cha Nigeria ametahadharisha kuhusu hatari ya kuzidi kujitanua kundi la Boko Haram barani Afrika.
-
Kofi Annan: Jinai za kundi la kigaidi la Boko Haram barani Afrika ni za kutisha
Feb 14, 2016 23:39Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, jinai za kundi la kigaidi la Boko Haram barani Afrika ni za kutisha.
-
Kofi Annan: Jinai za kundi la kigaidi la Boko Haram barani Afrika ni za kutisha
Feb 14, 2016 23:39Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, jinai za kundi la kigaidi la Boko Haram barani Afrika ni za kutisha.
-
Makumi wauawa Nigeria katika mashambulio ya Boko Haram
Feb 14, 2016 03:38Watu 30 wameuawa katika mashambulio mapya yaliyofanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika vijiji viwili vya kaskazini mwa Nigeria.