Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Brazil

  • Brazil yamuita nyumbani balozi wake wa Israel, mzozo watokota

    Brazil yamuita nyumbani balozi wake wa Israel, mzozo watokota

    Feb 20, 2024 12:52

    Serikali ya Brazil imemrejesha nyumbani balozi wake wa Israel, huku mzozo wa kidiplomasia ukiendelea kutokota baina ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini na Tel Aviv.

  • Rais wa Brazil: Umoja wa Mataifa uwe na ushujaa kuhakikisha nchi ya Palestina inaundwa

    Rais wa Brazil: Umoja wa Mataifa uwe na ushujaa kuhakikisha nchi ya Palestina inaundwa

    Oct 29, 2023 03:00

    Rais Lula da Silva wa Brazil amesema, Umoja wa Mataifa lazima uwe na ushujaa wa kuhakikisha inaundwa nchi ya Palestina.

  • Kikao kisichokuwa na natija cha Baraza la Usalama: Marekani yapinga usitishaji mapigano Gaza

    Kikao kisichokuwa na natija cha Baraza la Usalama: Marekani yapinga usitishaji mapigano Gaza

    Oct 19, 2023 10:50

    Jumatano, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilikataa tena azimio la kusitisha mapigano huko Gaza kufuatia upinzani wa Marekani. Marekani ilipinga azimio lililopendekezwa kwa Baraza la Usalama na Brazil, lililotaka kusitishwa mapigano ili kufikishwa misaada ya kibinadamu Ghaza.

  • Rais wa Brazil atoa mwito tena wa kufanyiwa mageuzi Baraza la Usalama la UN

    Rais wa Brazil atoa mwito tena wa kufanyiwa mageuzi Baraza la Usalama la UN

    Aug 27, 2023 13:12

    Rais Luis Inacio Lula da Silva wa Brazil amerudia tena wito wake wa kufanyiwa mageuzi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa

    Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa

    Aug 05, 2023 03:56

    Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil ametaka kupigwa teke na kuwekwa pembeni matumizi ya sarafu ya dola katika biashara za kimataifa na kutafutwa sarafu nyingine za kuziba nafasi ya sarafu hiyo ya Marekani.

  • Maonyesho ya kuakisi madhila ya Wapalestina yafanyika kwenye barabara za Sao Paulo, Brazil

    Maonyesho ya kuakisi madhila ya Wapalestina yafanyika kwenye barabara za Sao Paulo, Brazil

    Apr 17, 2023 10:29

    Maonesho ya picha za barabarani yamefanyika katika mji wa São Paulo nchini Brazili, kwa mnasaba wa Siku ya Quds Duniani.

  • Rais wa Brazil aitaka Marekani iache kuchochea moto wa vita Ukraine

    Rais wa Brazil aitaka Marekani iache kuchochea moto wa vita Ukraine

    Apr 16, 2023 06:54

    Rais Luiz Inacio Lula da Silva wa Brazil amesema akiwa mjini Beijing, China kwamba Marekani inapaswa iepuke hatua za kuchochea moto wa vita nchini Ukraine.

  • kufutwa sarafu ya dola katika mabadilishano ya kibiashara kati ya Brazil na China

    kufutwa sarafu ya dola katika mabadilishano ya kibiashara kati ya Brazil na China

    Apr 02, 2023 02:23

    Serikali za Brazil na China Jumatano, Machi 29, zilitangaza makubaliano ambapo dola ya Marekani utatupiliwa mbali na kuondolewa katika miamala ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili.

  • Serikali mpya ya Brazil kurejesha uhusiano wake wa kidiplomasia na Venezuela

    Serikali mpya ya Brazil kurejesha uhusiano wake wa kidiplomasia na Venezuela

    Dec 15, 2022 07:09

    Serikali mpya ya Brazil inapanga kurejesha uhusiano wa kidiplomasia wa nchi hiyo na Venezuela, ambao ulivunjwa wakati wa serikali iliyopita ya nchi hiyo.

  • Ushindi wa Lula da Silva nchini Brazil na kupata nguvu wafuasi wa mrengo wa kushoto Amerika ya Latini

    Ushindi wa Lula da Silva nchini Brazil na kupata nguvu wafuasi wa mrengo wa kushoto Amerika ya Latini

    Nov 01, 2022 13:33

    Hatimaye baada ya vuta nikuvute na ushindani wa kisiasa nchini Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva mgombea wa Chama cha Wafanyakazi (The Workers' Party) ameibuka mshindi baada ya kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa Rais.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS