Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Brazil

  • Serikali mpya ya Brazil kurejesha uhusiano wake wa kidiplomasia na Venezuela

    Serikali mpya ya Brazil kurejesha uhusiano wake wa kidiplomasia na Venezuela

    Dec 15, 2022 03:39

    Serikali mpya ya Brazil inapanga kurejesha uhusiano wa kidiplomasia wa nchi hiyo na Venezuela, ambao ulivunjwa wakati wa serikali iliyopita ya nchi hiyo.

  • Ushindi wa Lula da Silva nchini Brazil na kupata nguvu wafuasi wa mrengo wa kushoto Amerika ya Latini

    Ushindi wa Lula da Silva nchini Brazil na kupata nguvu wafuasi wa mrengo wa kushoto Amerika ya Latini

    Nov 01, 2022 10:03

    Hatimaye baada ya vuta nikuvute na ushindani wa kisiasa nchini Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva mgombea wa Chama cha Wafanyakazi (The Workers' Party) ameibuka mshindi baada ya kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa Rais.

  • Uchaguzi wa rais Brazil waingia duru ya pili, Rais Bolsonaro kutoana kijasho na Lula da Silva

    Uchaguzi wa rais Brazil waingia duru ya pili, Rais Bolsonaro kutoana kijasho na Lula da Silva

    Oct 03, 2022 04:12

    Uchaguzi wa rais wa Brazil umeingia duru ya pili baada ya wagombea kushindwa kupata nusu ya kura zote za wananchi katika kinyang'anyiro hicho kilichofanyika jana Jumapili.

  • Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Uhispania, Brazil zaripoti vifo vya kwanza vya Monkeypox nje ya Afrika

    Jul 30, 2022 05:00

    Vifo vya kwanza vilivyotokana na ugonjwa wa Ndui ya Nyani (Monkeypox) nje ya bara la Afrika vimeripotiwa katika nchi za Uhispania na Brazil, huku maambukizi ya ugonjwa huo yakiongezeka kote duniani hususan barani Ulaya.

  • Serikali ya Brazil yakosoa vikwazo vya kiuchumi vya Magharibi dhidi ya Russia

    Serikali ya Brazil yakosoa vikwazo vya kiuchumi vya Magharibi dhidi ya Russia

    Apr 07, 2022 22:15

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Brazil imekosoa vikwazo vya kiuchumi vya nchi za Magharibi dhidi ya Russia.

  • Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117

    Waliofariki dunia kwa mafuriko nchini Brazil waongezeka hadi 117

    Feb 18, 2022 08:10

    Zaidi ya watu 117 wamefariki dunia baada ya siku kadhaa za mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yaliyoharibu barabara na nyumba nchini Brazil.

  • 'Vifo vya corona nchini Brazil ni maafa makubwa kama ya bomu la nyuklia'

    'Vifo vya corona nchini Brazil ni maafa makubwa kama ya bomu la nyuklia'

    Apr 08, 2021 03:02

    Baada ya kuongezeka kupindukia idadi ya watu wanaofariki dunia kila siku kwa COVID-19 nchini Brazil, wataalamu wa afya wa nchi hiyo wamelifananisha janga hilo na maafa ya bomu la nyuklia na wanasema kuwa Brazil sasa hivi imekumbwa na balaa la "Fukushima za Biolojia."

  • Brazil yaweka rekodi mpya ya vifo vya Corona, zaidi ya 4,000 waaga dunia

    Brazil yaweka rekodi mpya ya vifo vya Corona, zaidi ya 4,000 waaga dunia

    Apr 07, 2021 03:05

    Kwa mara ya kwanza tangu janga la Corona liikabili dunia mapema mwaka jana, zaidi ya watu 4,000 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Covid-19 nchini Brazil katika kipindi cha siku moja.

  • Watu karibu milioni moja wameambukizwa corona nchini Brazil

    Watu karibu milioni moja wameambukizwa corona nchini Brazil

    Jun 18, 2020 06:38

    Idadi ya watu waliopatwa na virusi vya corona nchini Brazil imefika milioni moja.

  • Corona: Tanzania iko salama; wananchi watakiwa kuchukua tahadhari zaidi

    Corona: Tanzania iko salama; wananchi watakiwa kuchukua tahadhari zaidi

    Mar 16, 2020 04:38

    Serikali ya Tanzania imetangaza kuwa, tayari imechukua hatua kadhaa za tahadhari ili kukabiliana na maambukizi ya Virusi vya Corona na kwamba kwa sasa nchi iko salama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS