Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Brazil

  • Trump alishauriana na Michel Temer kuivamia kijeshi Venezuela

    Trump alishauriana na Michel Temer kuivamia kijeshi Venezuela

    Nov 28, 2019 10:25

    Rais wa zamani wa Brazil, Michel Temer, amesema kuwa, Rais wa Marekani alimuuliza kuhusu namna ya kuishambulia Venezuela.

  • Mkutano wa BRICS na tahadhari ya Putin kuhusu vikwazo vya Marekani

    Mkutano wa BRICS na tahadhari ya Putin kuhusu vikwazo vya Marekani

    Nov 15, 2019 06:38

    Viongozi wa nchi wanachama katika jumuiya ya BRICS unayojumuisha nchi tano za Russia, Brazil, China, India na Afrika Kusini wamekutana katika mji mkuu wa Brazil, Brasilia. Mkutano huo umefanyika katika siku za tarehe 13 na 14 na ulilenga kupanua zaidi ushirikiano wa masuala ya kifedha na kiuchuni baina ya nchi wanachama na kuleta mabadiliko katika muundo wa sasa wa kimataifa.

  • HAMAS yalaani safari ya Rais wa Brazil katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    HAMAS yalaani safari ya Rais wa Brazil katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Apr 02, 2019 07:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani safari ya Rais Jair Bolsonaro wa Brazil katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel).

  • Safari ya rais wa Brazil Palestina inayokaliwa kwa mabavu, tamaa ya Wazayuni yashindwa kutimia

    Safari ya rais wa Brazil Palestina inayokaliwa kwa mabavu, tamaa ya Wazayuni yashindwa kutimia

    Apr 02, 2019 07:31

    Kuingia madarakani Rais Jair Bolsonaro huko Brazil ambaye alianza kazi yake rasmi mwezi Januari mwaka huu wa 2019 kumepokewa kwa hisia tofauti.

  • Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Dec 19, 2018 07:40

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imepasisha azimio la kulaani hatua ya Brazil na Australia ya kuutambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel kuwa eti ni mji mkuu wa utawala huo pandikizi.

  • Mripuko wa fataki waua watu 8 kanisani nchini Mexico

    Mripuko wa fataki waua watu 8 kanisani nchini Mexico

    Dec 12, 2018 06:49

    Kwa akali watu wanane wamepoteza maisha na wengine wengi wamejeruhiwa baada ya kutokea mripuko wa fataki katika kanisa moja nchini Mexico.

  • Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Dec 11, 2018 07:15

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeitahadharisha Brazil dhidi ya mpango wake wa kuuhamishia ubalozi katika mji wa Quds kutoka Tel Aviv, ikisisitiza kwamba hatua hiyo itakuwa na athari mbaya katika uhusiano wa nchi hiyo na nchi za Kiarabu.

  • Larijani: Kundi la kigaidi la Daesh lilianzishwa na Marekani

    Larijani: Kundi la kigaidi la Daesh lilianzishwa na Marekani

    Nov 11, 2018 12:31

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh lilianzishwa na Marekani na kwamba madai kuwa serikali ya Washington inapambana na ugaidi siyo ya kweli.

  • Misri yafuta safari ya waziri wa Brazil nchini humo kutokana na Quds

    Misri yafuta safari ya waziri wa Brazil nchini humo kutokana na Quds

    Nov 06, 2018 08:04

    Misri imesimamisha safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil aliyetazamiwa kuitembelea nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wiki hii, kulalamikia kitendo cha Rais Mteule wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini kusema kuwa nchi hiyo itauhamishia ubalozi wake ulioko Israel katika mji wa Quds Tukufu.

  • OIC yalaani mpango wa Brazil wa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi hiyo Quds

    OIC yalaani mpango wa Brazil wa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi hiyo Quds

    Nov 04, 2018 02:39

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu OIC imekosoa vikali kauli ya Rais mteule wa Brazil kuwa nchi hiyo inatathmini mpango wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel kutoka Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS