Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Brazil

  • Trump akataa kupimwa Corona baada ya kukutana na afisa wa Brazil aliyepatikana na virusi hivyo

    Trump akataa kupimwa Corona baada ya kukutana na afisa wa Brazil aliyepatikana na virusi hivyo

    Mar 13, 2020 04:30

    Rais Donald Trump wa Marekani anashukiwa kuambukizwa ugonjwa wa COVID-19 maaarufu kama Corona baada ya kukutana na afisa ambaye amepatikana na ugonjwa huo.

  • Arab League yailaani Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara Quds tukufu

    Arab League yailaani Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara Quds tukufu

    Dec 20, 2019 08:12

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeikosoa vikali Brazil kwa kufungua ofisi ya kibiashara katika mji wa Quds huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Trump alishauriana na Michel Temer kuivamia kijeshi Venezuela

    Trump alishauriana na Michel Temer kuivamia kijeshi Venezuela

    Nov 28, 2019 06:55

    Rais wa zamani wa Brazil, Michel Temer, amesema kuwa, Rais wa Marekani alimuuliza kuhusu namna ya kuishambulia Venezuela.

  • Mkutano wa BRICS na tahadhari ya Putin kuhusu vikwazo vya Marekani

    Mkutano wa BRICS na tahadhari ya Putin kuhusu vikwazo vya Marekani

    Nov 15, 2019 03:08

    Viongozi wa nchi wanachama katika jumuiya ya BRICS unayojumuisha nchi tano za Russia, Brazil, China, India na Afrika Kusini wamekutana katika mji mkuu wa Brazil, Brasilia. Mkutano huo umefanyika katika siku za tarehe 13 na 14 na ulilenga kupanua zaidi ushirikiano wa masuala ya kifedha na kiuchuni baina ya nchi wanachama na kuleta mabadiliko katika muundo wa sasa wa kimataifa.

  • HAMAS yalaani safari ya Rais wa Brazil katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    HAMAS yalaani safari ya Rais wa Brazil katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Apr 02, 2019 03:26

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani safari ya Rais Jair Bolsonaro wa Brazil katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel).

  • Safari ya rais wa Brazil Palestina inayokaliwa kwa mabavu, tamaa ya Wazayuni yashindwa kutimia

    Safari ya rais wa Brazil Palestina inayokaliwa kwa mabavu, tamaa ya Wazayuni yashindwa kutimia

    Apr 02, 2019 03:01

    Kuingia madarakani Rais Jair Bolsonaro huko Brazil ambaye alianza kazi yake rasmi mwezi Januari mwaka huu wa 2019 kumepokewa kwa hisia tofauti.

  • Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Dec 19, 2018 04:10

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imepasisha azimio la kulaani hatua ya Brazil na Australia ya kuutambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel kuwa eti ni mji mkuu wa utawala huo pandikizi.

  • Mripuko wa fataki waua watu 8 kanisani nchini Mexico

    Mripuko wa fataki waua watu 8 kanisani nchini Mexico

    Dec 12, 2018 03:19

    Kwa akali watu wanane wamepoteza maisha na wengine wengi wamejeruhiwa baada ya kutokea mripuko wa fataki katika kanisa moja nchini Mexico.

  • Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Dec 11, 2018 03:45

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeitahadharisha Brazil dhidi ya mpango wake wa kuuhamishia ubalozi katika mji wa Quds kutoka Tel Aviv, ikisisitiza kwamba hatua hiyo itakuwa na athari mbaya katika uhusiano wa nchi hiyo na nchi za Kiarabu.

  • Larijani: Kundi la kigaidi la Daesh lilianzishwa na Marekani

    Larijani: Kundi la kigaidi la Daesh lilianzishwa na Marekani

    Nov 11, 2018 09:01

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh lilianzishwa na Marekani na kwamba madai kuwa serikali ya Washington inapambana na ugaidi siyo ya kweli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS