Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Brazil

  • Misri yafuta safari ya waziri wa Brazil nchini humo kutokana na Quds

    Misri yafuta safari ya waziri wa Brazil nchini humo kutokana na Quds

    Nov 06, 2018 04:34

    Misri imesimamisha safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil aliyetazamiwa kuitembelea nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wiki hii, kulalamikia kitendo cha Rais Mteule wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini kusema kuwa nchi hiyo itauhamishia ubalozi wake ulioko Israel katika mji wa Quds Tukufu.

  • OIC yalaani mpango wa Brazil wa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi hiyo Quds

    OIC yalaani mpango wa Brazil wa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi hiyo Quds

    Nov 03, 2018 23:09

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu OIC imekosoa vikali kauli ya Rais mteule wa Brazil kuwa nchi hiyo inatathmini mpango wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel kutoka Tel Aviv.

  • Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Rais mteule wa Brazil akosolewa kwa kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi yake Quds

    Nov 02, 2018 04:34

    Rais mteule wa Brazil amekosolewa vikali ndani na nje ya nchi kwa kusema kuwa nchi hiyo inatathmini mpango wa kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds tukufu inayokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel kutoka Tel Aviv.

  • Watu elfu tatu watiwa mbaroni katika operesheni kubwa ya msako wa wahalifu nchini Brazil

    Watu elfu tatu watiwa mbaroni katika operesheni kubwa ya msako wa wahalifu nchini Brazil

    Aug 26, 2018 22:48

    Polisi ya Brazil imewatia mbaroni watu elfu tatu katika operesheni kubwa ya msako wa watu wanaohusishwa na vitendo mbalimbali vya uhalifu.

  • Zarif awasili Brazil baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Senegal

    Zarif awasili Brazil baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Senegal

    Apr 10, 2018 03:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili nchini Brazil mapema leo Jumanne katika safari yake ya kiduru ya kuzitembelea nchi kadha za Afrika na Amerika ya Latini.

  • Watu tisa wauawa katika ghasia ndani ya gereza Brazil

    Watu tisa wauawa katika ghasia ndani ya gereza Brazil

    Jan 02, 2018 11:40

    Watu wasiopungua tisa wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa katika ghasia zilizotokea jana Jumatatu ndani ya gereza nchini Brazil huku wafungwa zaidi ya 100 wakitoroka.

  • Kikao cha kushukuru mchango wa Waislamu chafanyika nchini Brazil

    Kikao cha kushukuru mchango wa Waislamu chafanyika nchini Brazil

    Jul 07, 2017 03:20

    Kikao cha kuheshimu na kutambua mchango wa jamii ya Waislamu wa Brazil kilifanyika jana katika bunge la nchi hiyo.

  • Brazil yalaani ujenzi mpya wa nyumba za Mayahudi Ukingo wa Magharibi

    Brazil yalaani ujenzi mpya wa nyumba za Mayahudi Ukingo wa Magharibi

    Apr 05, 2017 03:17

    Brazil imelaani uamuzi uliopasishwa hivi karibuni na baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuidhinisha ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Rouhani: Iran inakaribisha kuimarika ushirikiano wake na Brazil

    Rouhani: Iran inakaribisha kuimarika ushirikiano wake na Brazil

    Feb 05, 2017 10:54

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono azma ya Brazil ya kutaka kuimarisha uhusiano na ushirikiano wake na Tehran katika nyuga tofauti.

  • Ndege yaanguka ikiwa na timu ya soka ya Brazil, 81 wahofiwa kuaga dunia

    Ndege yaanguka ikiwa na timu ya soka ya Brazil, 81 wahofiwa kuaga dunia

    Nov 29, 2016 03:55

    Ndege iliyokuwa imebeba watu 81, wakiwemo wachezaji wa timu moja ya mpira ya Brazil, imeanguka nchini Colombia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS