-
Canada yamnyang'anya uraia wa fakhari Aung San Suu Kyi kwa jinai za serikali ya Myanmar
Sep 28, 2018 04:11Wawakilishi wa bunge la Canada baada ya kupita mwaka mmoja tangu kulipozuka jinai za kutisha za serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa Rohingya, hatimaye wamemnyang'anya uraia wa fakhari kiongozi wa chama tawala wa nchi hiyo, Aung San Suu Kyi.
-
Canada yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran na kuondoa utegemezi kwa sarafu ya dola ya Marekani
Sep 03, 2018 22:04Maamuzi ya upande mmoja ya kisiasa na kimabavu ya Marekani katika kipindi cha utawala wa rais Donald Trump yanaendelea kukabiliwa na upinzani kote duniani.
-
Canada yaikosoa tena Saudia kwa kumhukumu kifo mwanaharakati wa haki za binadamu
Aug 23, 2018 03:23Serikali ya Canada imekosoa tena ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Saudi Arabia hususan hatua ya utawala huo wa kifalme ya kumhukumu kifo mwanaharakati mwanamke wa haki za binadamu.
-
Waislamu wa Canada waandamana kupinga hatua ya Saudia ya kuwazuia kwenda kuhiji Makka
Aug 12, 2018 10:18Waislamu nchini Canada wamefanya maandamano wakipinga siasa za utawala wa kifalme wa Saudi Arabia za kuwazuia kwenda kutekeleza ibada ya Hija katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.
-
Saudia yasimamisha safari za ndege kwenda Canada na mabadilishano ya wanafunzi
Aug 07, 2018 03:50Kufuatia hatua ya serikali ya Canada kuukosoa utawala wa Aal-Saudia kutokana na utawala huo kuzidisha kamatakamata dhidi ya wanaharakati wa haki za binadamu nchini humo, shirika la ndege la Saudia limetangaza kusimamisha safari zake kwenda au kutokka Canada.
-
Ansarullah yalaani kufukuzwa balozi wa Canada nchini Saudia, yamkaribisha Yemen
Aug 06, 2018 03:36Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amelaani kitendo cha Saudi Arabia cha kumfukuza balozi wa Canada mjini Riyadh na kuitaka Ottawa kufungua ubalozi wake San'a, mji mkuu wa Yemen.
-
Joto kali laua makumi ya watu mashariki mwa Canada
Jul 06, 2018 22:12Wimbi la joto kali ambalo halijawahi kushuhudiwa limesababisha vifo vya watu 33 katika mkoa wa Quebec mashariki mwa Canada.
-
Iran: Hatua ya Bunge la Canada dhidi yetu ni kosa la kistratijia
Jun 13, 2018 11:11Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bahram Qassemi ametoa radiamali kufuatia muswada wa kutaka kuweka vizingiti kwenye mahusiano ya nchi hii katika Bunge la Canada na kusema kuwa muswada huo ni kosa kubwa la kistratijia.
-
Burundi yalaani kitendo cha serikali ya Canada kuwazuia Warundi kushiriki kura ya maoni
May 17, 2018 23:38Wizara ya Mambo ya Nje ya Burundi imekosoa vikali hatua ya viongozi wa Canada ya kuwazuia Warundi wanaoishi katika nchi hiyo kushiriki katika kura ya maoni ya jana na kusema kuwa, kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Kikao cha G7 na hitilafu za ndani
Apr 24, 2018 01:52Kikao cha siku mbili cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa G7 kimemaliza kazi zake huko Toronto nchini Canada.