• Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani katika kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani katika kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    May 19, 2024 11:25

    Alhamisi Mei 16, Baraza la Wawakilishi la Marekani, Congress, lilikosoa uamuzi wa hivi karibuni wa Rais Joe Biden wa Marekani wa kuzuia kutumwa shehena ya silaha kwa Israel, na kupasisha mswada chini ya anwani "Misaada kwa ajili ya Usalama wa Israel", ambao ulimtaka Biden asizuie tena kutumwa silaha Israeli kwa kisingizio chochote kile.

  • Kuidhinishwa kuanza rasmi uchunguzi wa kumsaili Biden katika Bunge la Wawakilishi la Marekani

    Kuidhinishwa kuanza rasmi uchunguzi wa kumsaili Biden katika Bunge la Wawakilishi la Marekani

    Dec 15, 2023 02:56

    Bunge la wawakilishi la Marekani jana Jumatano lilipasisha azimio kwa kura 221 za ndio mkabala wa 212 za kupinga kuanzisha rasmi uchunguzi wa kumsaili Rais Joe Biden wa nchi hiyo. Kabla ya kura hiyo, Kelly Armstrong, Mwakilishi wa Kongresi ya Marekani kwa niaba ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, alichapisha rasimu ya azimio kwa ajili ya kuendelea uchunguzi huo tajwa kwa lengo la kumuuzulu Rais Joe Biden wa Marekani.

  • Hitilafu kati ya Warepublican and White House kuhusu msaada kwa Israel na Ukraine

    Hitilafu kati ya Warepublican and White House kuhusu msaada kwa Israel na Ukraine

    Nov 05, 2023 02:25

    Katika hali ambayo serikali ya Biden imetangaza kuunga mkono kikamilifu jinai za utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Ghaza na hata kupinga usitishaji vita, lakini suala la msaada wa kifedha kwa Israel ambalo linatiliwa maanani na Warepublican sambamba na mtazamo wa White ambayo inataka kutolewa kwa wakati mmoja misaada ya fedha na silaha kwa Ukraine limezusha hitilafu kubwa kati ya Kongresi na White House.

  • Mgawanyiko mkubwa nchini Marekani juu ya matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    Mgawanyiko mkubwa nchini Marekani juu ya matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu

    Oct 13, 2023 02:35

    Matukio ya hivi karibuni ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu hususan operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, kwa hakika mauaji ya halaiki ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, yameubua migawanyiko kati ya wanasiasa wa Marekani.

  • Kuuzuliwa Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani: Jambo ambalo halijawahi kutokea

    Kuuzuliwa Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani: Jambo ambalo halijawahi kutokea

    Oct 05, 2023 08:18

    Kevin McCarthy, Spika wa Bunge la Wawakilishi la Marekani kutoka chama cha Republican juzi Jumanne aliuzuliwa na wabunge wa bunge hilo katika vuta nikuvute kati ya wabunge wa chama cha Republican wenye siasa kali na wenye msimamo wa wastani.

  • Sherehe za kumvika taji Mfalme Charles wa III  na kupingwa vikali mfumo  wa kifalme huko Uingereza

    Sherehe za kumvika taji Mfalme Charles wa III na kupingwa vikali mfumo wa kifalme huko Uingereza

    May 06, 2023 11:13

    Mwana mkubwa wa kiume wa mwendazake Malkia Elizabeth II wa Uingereza, yaani Charles III kutoka familia ya safu ya utawala wa kifalme wa kurithishana ya Windsor, leo Jumamosi tarehe 6 Mei amevikwa taji la Mfalme wa Uingereza huko Westminster Abbey jijini London . Charles wa Tatu alitambulishwa katika hafla kama mfalme tokea Septemba mwaka jana 2022, kufuatia kifo cha mama yake.

  • Matokeo ya uchaguzi wa katikati ya muhula na mkwamo wa kisiasa nchini Marekani

    Matokeo ya uchaguzi wa katikati ya muhula na mkwamo wa kisiasa nchini Marekani

    Nov 18, 2022 09:32

    Hatimaye, baada ya siku 9 za uchaguzi wa Marekani wa katikati ya muhula, kulingana na matokeo yaliyotangazwa ya uchaguzi wa Bunge la Kongresi, chama cha upinzani cha Republican kimepata wingi wa viti katika Baraza la Wawakilishi, nacho chama tawala cha Democratic kikapata wingi wa viti katika Baraza la Seneti.

  • Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

    Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

    Aug 29, 2022 02:33

    Kufuatia matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Nader Hashemi, Mhadhiri na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Mashariki ya Kati katika Chuo Kikuu cha Denver, kuhusiana na uwezekano wa Israel kuhusika katika shambulio dhidi ya Salman Rushdie, Warepublican katika Congress ya Marekani wameonya kuhusu ushawishi wa Iran katika vyuo vikuu vya nchi hiyo na kutangaza kwamba watachunguza suala hilo katika miezi ijayo.

  • Mkuu wa zamani wa CIA: Republicans ni chama cha siasa hatari zaidi kuliko ISIS, Al Qaeda

    Mkuu wa zamani wa CIA: Republicans ni chama cha siasa hatari zaidi kuliko ISIS, Al Qaeda

    Aug 19, 2022 11:54

    Mkuu wa zamani wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amsema Republicans ni chama hatari zaidi za siasa.

  • Tathmini ya siku 100 za serikali ya Biden kuwa ofisini

    Tathmini ya siku 100 za serikali ya Biden kuwa ofisini

    May 02, 2021 02:22

    Baada ya kupita siku 100 tokea Rais Joe Biden wa chama cha Democrat achukue madaraka ya Marekani, watu wamekuwa wakitathmini utendaji wa serikali yake katika kipindi hiki, kipindi ambacho baadhi ya wataalamu wanasema kwamba licha ya kufanikiwa katika baadhi ya sehemu lakini ameshindwa pakubwa kutekeleza ahadi alizotoa katika kampeni za uchaguzi.