-
Ripota wa UN: HAMAS ni taasisi ya kisiasa iliyochaguliwa kupitia uchaguzi, si genge la wauaji
Aug 19, 2025 03:05Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, amesisitiza kwamba Hamas inapasa itambuliwe kama harakati halali ya kisiasa badala ya kundi la wauaji.
-
Nchi zinazoibukia kiuchumi zimejibu vipi vita vya ushuru vya Trump?
Aug 09, 2025 07:59Mataifa matatu yanayoinukia kiuchumi, Brazil, India na Uchina, yamejibu vikali hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ya kupandisha ushuru wa forodha kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.
-
China: Jaribio la Marekani la kuuvunja ushirikiano baina yetu na Russia litagonga mwamba tu
Aug 08, 2025 07:03Msemaji wa Ubalozi wa China nchini Marekani ametangaza kuwa jaribio la Washington la kuilazimisha Beijing ikate ushirikiano na Russia litagonga mwamba tu.
-
Kwa nini Marekani imeitaka China iache kununua mafuta ya Iran?
Jul 27, 2025 23:03Waziri wa Fedha wa Marekani ametoa wito kwa China kuacha kununua mafuta ya Iran na Russia wakati huu inapokaribia duru mpya ya mazungumzo ya ushuru wa forodha kati ya Marekani na China.
-
Iran yaishukuru China kwa uungaji mkono wake katika vita vya US,Israel
Jul 16, 2025 04:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza hatua ya China ya kulaani vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Israel na Marekani dhidi ya ardhi na mamlaka ya kujitawala Iran, huku akisisitiza utayarifu wa Tehran wa kuimarisha zaidi uhusiano huo wa kirafiki na Beijing.
-
China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Israel
May 19, 2025 03:55China imewapa tahadhari raia wake dhidi ya kusafiri kwenda katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni na kupachikwa jina bandia la Israel kutokana na kile inachokitaja kuwa sababu za kiusalama.
-
Katibu Mkuu wa UN: Akili Mnemba ni upanga wenye makali pande mbili, ina manufaa na madhara
May 03, 2025 03:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, waandishi wa habari wanakabiliwa na hatari kila uchao na kwamba teknolojia mpya ya akili mnemba au AI inayotumika katika tasnia hiyo licha ya kuwa na manufaa inaibua hatari mpya pia kwenye uhuru wa kujieleza.
-
China: Kusalimu amri kutachochea zaidi uchu wa Marekani
Apr 29, 2025 23:00Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi amesema kusalimu amri na kufikia makubaliano na Marekani katika vita vya kibiashara vya Washington hakutakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuchochea zaidi uchu na uroho wa Marekani.
-
Uganda yatangaza kumalizika mripuko wa karibuni wa ugonjwa wa Ebola
Apr 26, 2025 23:02Uganda imetangaza kumalizika mripuko uliozuka karibuni zaidi wa ugonjwa wa Ebola miezi mitatu baada ya mamlaka husika kuthibitisha kesi za maambukizo ya ugonjwa huo katika mji mkuu Kampala.
-
China: Hatuogopi kupigana vita vya kibiashara na Marekani
Apr 16, 2025 22:59China imeonya kwamba "haiogopi" kupigana vita vya kibiashara na Marekani, ikikariri wito wa mazungumzo baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kusema kwamba Beijing lazima ichukue hatua ya kwenda kwenye meza ya mazungumzo.