Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  •  China yaituhumu Marekani kuwa inatekeleza  'Ugaidi wa Kiuchumi'

    China yaituhumu Marekani kuwa inatekeleza 'Ugaidi wa Kiuchumi'

    May 30, 2019 07:10

    China imeituhumu Marekani kuwa inachochea kwa makusudi mizozo ya kibiashara ambayo ni sawa na 'ugaidi wa wazi wa kiuchumi.'

  • China na Russia kususia mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina, Bahrain

    China na Russia kususia mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina, Bahrain

    May 29, 2019 03:30

    Serikali za China na Russia zimetangaza kuwa hazitashiriki mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain.

  • Meli za kivita za Marekani zafika mipaka ya China, hali ya taharuki yaendelea

    Meli za kivita za Marekani zafika mipaka ya China, hali ya taharuki yaendelea

    May 20, 2019 06:12

    Jeshi la Marekani limetuma meli zake za kivita ambazo zimefika karibu na visiwa vya China katika Bahari ya Kusini ya China katika hatua ambayo imewakasirisha wakuu wa Beijing na hivyo kupelekea hali ya taharuki kuendelea baina ya nchi hizo mbili ambazo tayari ziko katika vita vya kibiashara.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini China; mazungumzo ya kisiasa na kiuchumi

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini China; mazungumzo ya kisiasa na kiuchumi

    May 18, 2019 02:55

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif katika bara Asia iliendelea kwa kuutembelea mji mkuu wa China na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo na hivyo kufungua ukurasa mpya wa udiplimasia wa kieneo wa Iran.

  • Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na China

    Mazungumzo ya Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na China

    May 17, 2019 08:59

    Waziri wa Mashauri ya Kiigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye leo aliwasili Beijingi mji mkuu wa China amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Wang Yi.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awasili China akitokea Japan

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awasili China akitokea Japan

    May 17, 2019 03:01

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Beijing, mji mkuu wa China mapema leo Ijumaa katika safari yake ya kidiplomasia ya kuzitembelea nchi kadhaa za bara Asia.

  • Dikrii mpya ya Trump; makabiliano ya kiteknolojia kati ya Washington na Beijing

    Dikrii mpya ya Trump; makabiliano ya kiteknolojia kati ya Washington na Beijing

    May 17, 2019 00:30

    Hitilafu kati ya Marekani na China zinasababisha taathira mbalimbali za kisaisa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kistratejia. Washington si tu kuwa haina nia ya kufikia muafaka na Beijing bali inataka kuzuia maendeleo ya China na ustawi wa teknolojia ya nchi hiyo.

  • Huawei na mashirika yake mengine 70 yawekwa katika orodha nyeusi ya Marekani

    Huawei na mashirika yake mengine 70 yawekwa katika orodha nyeusi ya Marekani

    May 16, 2019 05:39

    Wizara ya Biashara ya Marekani imetangaza kuliweka Shirika la Huawei pamoja na mashirika mengine yapatayo 70 yanayofungamana nalo katika orodha yake nyeusi.

  • Indhari ya Katibu Mkuu wa UN kuhusu kushtadi mivutano ya kibiashara duniani

    Indhari ya Katibu Mkuu wa UN kuhusu kushtadi mivutano ya kibiashara duniani

    May 11, 2019 06:40

    Rais Donald Trump wa Marekani kivitendo ameamua kuingia katika vita vya kibiashara na aghalabu ya nchi zilizo na uchumi unaonawiri duniani kwa kutekeleza siasa za kiuchumi za uchukuaji maamuzi ya upande mmoja na kuongeza ushuru wa forodha kwa bidhaa zinazoingia Marekani.

  • China, Russia, Ufaransa na Ujerumani zatoa radiamali zao kufuatia tangazo la Iran

    China, Russia, Ufaransa na Ujerumani zatoa radiamali zao kufuatia tangazo la Iran

    May 08, 2019 09:20

    Russia, China, Ufaransa na Ujerumani ambazo ni katika nchi tano zilizosalia katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA zimetoa radimali kufuatia uamuzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kusimamisha kwa muda utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake kuhusu mapatano hayo, ikiwa ni mwaka mmoja baada ya Marekani kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo muhimu ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS