-
Kharrazi: Aghalabu ya nchi duniani zinapinga sera za Marekani dhidi ya Iran
Sep 11, 2018 03:02Mkuu wa Baraza la Stratejia za Uhusiano wa Nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Marekani inatekeleza sera zake dhidi ya Iran kwa kutumia mabavu, ubabe na vitisho.
-
Mazungumzo ya Waziri wa Ulinzi wa Iran nchini China na sisitizo la ushirikiano zaidi wa kijeshi na kiuchumi
Sep 09, 2018 03:00Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Amir Hatami ametembelea China kufuatia mwaliko wa waziri mwenzake wa nchi hiyo kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kijeshi na kiuchumi baina ya China na Iran.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Marekani inauvutia mfumo wa kimataifa kuelekea kwenye mizozo
Sep 08, 2018 02:52Brigedia Jenerali Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa, Marekani inauvutia mfumo wa kimataifa katika mzozo, ambapo katika kufikia malengo yake, inatumia nyenzo zote yakiwemo makundi ya kigaidi.
-
Sisitizo la Rais wa China la kustawisha uhusiano na bara la Afrika
Sep 04, 2018 06:13Rais wa China amesisitiza udharura wa kustawishwa ushirikiano wa pande zote kati ya Beijing na bara la Afrika.
-
Rais wa China alipatia bara la Afrika mabilioni ya dola; asema zisitumike katika miradi ya kifisadi
Sep 03, 2018 22:09Rais Xi Jinping wa China jana Jumatatu aliipatia Afrika kitita kingine cha dola bilioni 60 na kusema kuwa makampuni ya Kichina yatahimizwa kuwekeza kiasi kisichopungua chini ya dola bilioni 10 katika kipindi cha miaka mitatu ijayo.
-
Rais Xi Jinping wa China asisitiza kupanua ushirikiano wa nchi yake na bara la Afrika
Sep 03, 2018 09:16Rais Xi Jinping wa China amesisitiza kupanua ushirikiano wa nchi yake na nchi za bara la Afrika.
-
Marekani yatoa vitisho tena kwa wanunuzi wa mafuta ya Iran
Aug 17, 2018 23:44Serikali ya Marekani imezitishia tena kuziwekea vikwazo nchi zinazonunua mafuta kutoka Iran ikiwemo China.
-
Pentagon: China inajitayarisha kuishambulia Marekani
Aug 17, 2018 00:11Ripoti iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon imesema kuwa jeshi la China limepanua operesheni za ndege zake za kivita katika miaka ya hivi karibuni na kwamba kuna uwezekano kwamba zinafanya mazoezi ya kufanya mashambulizi dhidi ya Marekani na waitifaki wake.
-
Jeshi la China laionya Marekani kutokana na siasa zake za kupenda uhasama
Aug 15, 2018 03:05Jeshi la China sambamba na kutuma malalamiko yake kwa Marekani kutokana na siasa za Washington katika kuimarisha uhusiano wa kijeshi na eneo la Taiwan, limeionya nchi hiyo juu ya ukiukaji wake msingi wa China Moja.
-
China: Hatutasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani kuihusu Iran
Aug 14, 2018 10:31Mkuu wa Shirikisho la Sekta ya Mafuta na Bidhaa za Kemikali nchini China amesema kuwa, Beijing haina nia ya kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani kwa ajili ya kutekeleza vikwazo vya upande mmoja vya Washington dhidi ya Iran.