Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Mar 29, 2018 05:03

    Kwa mara ya kwanza tangu ingie madarakani Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing ambapo pande mbili zimezungumzia masuala ya uhusiano wa nchi mbili na kadhalika mabadiliko ya eneo la Korea.

  • Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Kukutana kiongozi wa Korea Kaskazini na Rais Xi Jinping wa China

    Mar 29, 2018 02:32

    Kwa mara ya kwanza tangu ingie madarakani Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amekutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing ambapo pande mbili zimezungumzia masuala ya uhusiano wa nchi mbili na kadhalika mabadiliko ya eneo la Korea.

  • Kiongozi wa Korea Kaskazini afanya safari ya kinyemela China?

    Kiongozi wa Korea Kaskazini afanya safari ya kinyemela China?

    Mar 27, 2018 02:59

    Duru za habari zimefichua kuwa, yumkini kiongozi wa Korea Kaskazini amefanya safari ya kificho nchini China.

  • Wasi wasi wa Wamarekani kuhusiana na vita vya kibiashara kati ya nchi yao na China

    Wasi wasi wa Wamarekani kuhusiana na vita vya kibiashara kati ya nchi yao na China

    Mar 26, 2018 00:10

    Suala la Rais Donald Trump wa Marekani kutia saini dikrii ya kupandishwa ushuru wa forodha wa biadhaa za China, limeibua tofauti kubwa za kibiashara kati ya Marekani na China.

  • Vitisho vipya vya Marekani dhidi ya Russia na China

    Vitisho vipya vya Marekani dhidi ya Russia na China

    Mar 11, 2018 23:01

    Jenerali John E. Hyten Mkuu wa Kamandi ya Kistratijia ya Marekani (United States Strategic Command) sambamba na kubainisha kwamba China na Russia hazifahamu mahala zilipo nyambizi za nyuklia za Marekani, amesisitiza kuwa, nchi yake ina uwezo wa kuzisababishia hasara kubwa nchi hizo kwa kutumia makombora ya kutoka bara hadi bara yaliyomo kwenye nyambizi hizo.

  • Rais Xi Jinping wa China amtaka Trump kuanzisha mazungumzo na Kim Jong-un mapema zaidi

    Rais Xi Jinping wa China amtaka Trump kuanzisha mazungumzo na Kim Jong-un mapema zaidi

    Mar 10, 2018 11:39

    Rais Xi Jinping wa China amezungumza na Rais Donald Trump wa Marekani na kumtaka aanzishe mazungumzo na Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini katika kipindi kifupi zaidi.

  • Kuongezeka bajeti ya kijeshi ya China katika mwaka 2018

    Kuongezeka bajeti ya kijeshi ya China katika mwaka 2018

    Mar 05, 2018 22:55

    Serikali ya China imetangaza kuongeza bajeti yake ya kijeshi katika mwaka huu wa 2018.

  • Trump ataka Marekani iwe na 'rais wa maisha kama China'

    Trump ataka Marekani iwe na 'rais wa maisha kama China'

    Mar 04, 2018 04:42

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa matamshi yanayoashiria kuwa angependa kuiona nchi hiyo ikiwa na rais wa kudumu maisha.

  • China yazionya nchi zinazofuata sera za kibiashara za Marekani

    China yazionya nchi zinazofuata sera za kibiashara za Marekani

    Mar 03, 2018 01:11

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema kuwa, ufuataji sera za kibiashara za Marekani unaofanywa na baadhi ya nchi katika uga wa kibiashara, utasababisha madhara kwa biashara ya kimataifa.

  • China yauonya Umoja wa Ulaya kwa hatua yake mbaya dhidi ya biashara zake

    China yauonya Umoja wa Ulaya kwa hatua yake mbaya dhidi ya biashara zake

    Feb 11, 2018 03:57

    Serikali ya China imeuonya Umoja wa Ulaya kutokana na siasa mbaya za umoja huo dhidi ya Beijing na kusisitiza kwamba mienendo hiyo inaweza kuvuruga mahusiano ya kiuchumi kati ya nchi hiyo na umoja huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS