Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Onyo kali la China kwa Marekani kuhusu kuanzisha vita dhidi ya Korea Kaskazini

    Onyo kali la China kwa Marekani kuhusu kuanzisha vita dhidi ya Korea Kaskazini

    Apr 30, 2017 02:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China Wang Yi ameionya Marekani kutochukua hatua yoyote ya ya kichokozi dhidi ya Korea Kaskazini.

  • Indhari ya Korea Kaskazini kwa China kuhusiana na vikwazo vya kiuchumi dhidi yake

    Indhari ya Korea Kaskazini kwa China kuhusiana na vikwazo vya kiuchumi dhidi yake

    Apr 23, 2017 08:13

    Serikali ya Korea Kaskazini imeionya China kwamba, ikiwa itaendeleza vikwazo vya kiuchumi dhidi yake, basi uhusiano wa nchi hizo mbili utapata madhara makubwa.

  • Russia na China zatuma meli zao za kijeshi karibu na eneo zilipo meli za US, Korea

    Russia na China zatuma meli zao za kijeshi karibu na eneo zilipo meli za US, Korea

    Apr 17, 2017 23:36

    Russia na China zimetuma meli zao za kijeshi katika eneo zilipo meli za Marekani karibu na pwani ya Korea Kaskazini kwa lengo la kufuatilia nyendo za meli za Marekani katika eneo hilo.

  • Takwa la China kwa Marekani kuhusu ngao ya makombora ya THAD katika ardhi ya Korea Kusini

    Takwa la China kwa Marekani kuhusu ngao ya makombora ya THAD katika ardhi ya Korea Kusini

    Apr 03, 2017 02:58

    Katika hali ambayo siku ya Alkhamisi ya wiki hii, Rais Donald Trump wa Marekani atakuwa mwenyeji wa Rais Xi Jinping wa China huko Florida, tofauti za nchi mbili juu ya masuala mbalimbali ya kiusalama na kibiashara zimeendelea kuongezeka.

  • Waislamu China marufuku kuwa na ndevu ndefu, niqab

    Waislamu China marufuku kuwa na ndevu ndefu, niqab

    Apr 01, 2017 23:36

    Serikali ya China imepiga marufuku wanaume Waislamu kufuga ndevu ndefu na wanawake Waislamu kuvaa niqabu katika eneo la Xinjiang lenye Waislamu karibu milioni 10 wa kabila la Uigur.

  • Korea Kusini yaishtaki China Shirika la Biashara Duniani

    Korea Kusini yaishtaki China Shirika la Biashara Duniani

    Mar 21, 2017 03:23

    Waziri wa Biashara wa Korea Kusini Joo Hyung-hwan ametangaza kuwa nchi yake imewasilisha mashtaka dhidi ya China katika Shirika la Biashara Duniani (WTO) kutokana na vizuizi ilivyowekewa na Beijing katika sekta za biashara na utalii kulalamikia uwekaji mfumo wa makombora wa Marekani THAAD katika ardhi ya Korea Kusini.

  • China: Beijing iko tayari kushiriki katika juhudi za kurejesha amani CAR

    China: Beijing iko tayari kushiriki katika juhudi za kurejesha amani CAR

    Mar 17, 2017 12:10

    Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa nchi yake iko tayari kushiriki katika juhudi za kurejesha amani na utulivu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • China yaionya Uingereza iache kuingilia masuala ya ndani ya mji wa Hong Kong

    China yaionya Uingereza iache kuingilia masuala ya ndani ya mji wa Hong Kong

    Feb 26, 2017 01:01

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetoa indhari kwa serikali ya Uingereza ikiitaka kuacha mara moja kuingilia masuala ya ndani ya mji wa Hong Kong.

  • Mahakama kuu ya China: Trump ni adui wa utawala wa sheria duniani

    Mahakama kuu ya China: Trump ni adui wa utawala wa sheria duniani

    Feb 08, 2017 04:29

    Mahakama Kuu ya China imemtaja Rais Donald Trump wa Marekani kuwa adui wa utawala wa sheria duniani.

  • Mwanadiplomasia wa Saudia apatikana na hatia ya kubaka, kulawiti

    Mwanadiplomasia wa Saudia apatikana na hatia ya kubaka, kulawiti

    Feb 02, 2017 04:39

    Mahakama moja nchini Singapore imempata mwanadiplomasia wa Saudi Arabia, na hatia ya kubaka na kulawiti mhudumu mmoja wa hoteli kusini mwa nchi hiyo ya bara Asia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS