Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China: Tahadhari ya kutokea vita na Marekani sio maneno tu bali ni ukweli halisi

    China: Tahadhari ya kutokea vita na Marekani sio maneno tu bali ni ukweli halisi

    Jan 31, 2017 00:57

    Viongozi wa China wamesema kuwa, indhari ya kutokea vita kati ya nchi hiyo na Marekani katika kipindi cha Rais Donald Trump, sio madai pekee, bali ni ukweli halisi.

  • China na Russia zajiandaa kukabiliana na mfumo wa makombora wa Marekani wa THAD

    China na Russia zajiandaa kukabiliana na mfumo wa makombora wa Marekani wa THAD

    Jan 14, 2017 00:26

    Serikali za Uchina na Russia zimeimarisha mahusiano yao kwa ajili ya kukabiliana na mpango wa uwekaji wa mfumo wa makombora wa Marekani THAD, ambao umepangwa kuwekwa nchini Korea Kusini mwaka huu wa 2017.

  • Zarif: Kipindi cha ubeberu wa Marekani Mashariki ya Kati kimepita

    Zarif: Kipindi cha ubeberu wa Marekani Mashariki ya Kati kimepita

    Dec 06, 2016 03:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, zama za ubeberu wa nchi za Magharibi hususan Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati, zimepita na kuyoyoma.

  • Dakta Zarif: Tunataka kuufikisha uhusiano wa Iran na China katika kiwango cha kiistratejia

    Dakta Zarif: Tunataka kuufikisha uhusiano wa Iran na China katika kiwango cha kiistratejia

    Dec 05, 2016 03:14

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kupanuliwa ushirikiano wa kiistratejia baina ya Iran na China.

  • Hasira za China kwa uchokozi mpya wa Donald Trump

    Hasira za China kwa uchokozi mpya wa Donald Trump

    Dec 04, 2016 08:14

    Rais mteule wa Marekani, Donald Trump ameikasirisha mno China kwa kitendo chake kisicho cha kidiplomasia cha kuzungumza kwa simu na rais wa kisiwa cha Taiwan ambacho China inakihesabu kuwa ni sehemu isiyotenganishika na nchi hiyo.

  • China yaonya kuhusu makubaliano ya kijeshi kati ya Japan na Korea Kusini

    China yaonya kuhusu makubaliano ya kijeshi kati ya Japan na Korea Kusini

    Nov 25, 2016 01:26

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imetoa tahadhari juu ya makubaliano ya kijeshi baina ya Japan na Korea Kusini.

  • Iran kuimarisha uhusiano wa kijeshi na China

    Iran kuimarisha uhusiano wa kijeshi na China

    Nov 15, 2016 23:28

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii inakaribisha kuimarishwa uhusiano na China katika nyanja zote ikiwemo sekta ya ulinzi.

  • China yakosoa chokochoko za kijeshi za Marekani barani Asia

    China yakosoa chokochoko za kijeshi za Marekani barani Asia

    Oct 12, 2016 04:20

    Waziri wa Ulinzi wa China, Chang Wanquan, amekosoa vikali chokochoko za kijeshi za Marekani katika eneo la bara Asia

  • 100 wapoteza maisha kutokana na mafuriko China

    100 wapoteza maisha kutokana na mafuriko China

    Jul 21, 2016 09:46

    Watu zaidi ya 100 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kaskazini mwa China.

  • China na Marekani zatunishiana misuli juu ya Bahari ya China Kusini

    China na Marekani zatunishiana misuli juu ya Bahari ya China Kusini

    Jul 13, 2016 23:38

    China imeionya Marekani na waitifaki wake katika eneo dhidi ya kugeuza kadhia ya Bahari ya China Kusini kuchochea taharuki na vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS