Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • 112 wapoteza maisha katika mafuriko nchini China

    112 wapoteza maisha katika mafuriko nchini China

    Jul 05, 2016 08:58

    Kwa akali watu 112 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na vimbunga vilivyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katikati na kusini mwa China.

  • Watu 100 wapoteza maisha nchini China kwa kimbunga

    Watu 100 wapoteza maisha nchini China kwa kimbunga

    Jun 24, 2016 09:50

    Watu 100 wameripotiwa kupoteza maisha yao katika ajali ya upepo mkali ulioyakumba maeneo ya mashariki mwa China.

  • China yawazuia tena Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum ya Ramadhani

    China yawazuia tena Waislamu wa Xinjiang kufunga Saum ya Ramadhani

    Jun 07, 2016 23:29

    Serikali ya China, kwa mara nyingine, imewaamuru wanafunzi, wafanya kazi wa umma na hata wakaazi wa kawaida katika eneo lenye Waislamu wengi la Xinjiang kutofunga Saum ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Nchi za Afrika zaiunga mkono China katika mzozo na Marekani

    Nchi za Afrika zaiunga mkono China katika mzozo na Marekani

    Jun 03, 2016 10:03

    Naibu mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU) Erastus Mwencha ameunga mkono msimamo wa China katika suala la bahari ya kusini ya China na kutoa wito kwa nchi husika kutoa fursa ya kuanza mazungumzo kwa ajili ya kutatua suala hilo.

  • Iran: Dunia iungane katika vita dhidi ya ugaidi

    Iran: Dunia iungane katika vita dhidi ya ugaidi

    Apr 29, 2016 23:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeonya kuhusu kuenea ugaidi na misimamo mikali duniani na kusema jamii ya kimataifa inapasa kushirikiana kukabiliana na uovu huo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS