Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Chokoraa, watoto wa mitaani

  • Utafiti wafichua: Wanawake Kenya wanageuzwa tasa mahospitalini bila idhini yao

    Utafiti wafichua: Wanawake Kenya wanageuzwa tasa mahospitalini bila idhini yao

    Apr 09, 2024 11:12

    Ripoti mpya iliyotolewa nchini Kenya imebaini kuwa wanawake wanaotafuta huduma za matibabu ya uzazi nchini humo wanafanyiwa ukaguzi wa sehemu za siri, kukatizwa uwezo wa kupata mimba na kufanyiwa upasuaji usiohitajika wanapojifungua, bila idhini yao.

  • COP28:

    COP28: "Mustakabali wa watoto uko hatarini"

    Dec 07, 2023 14:07

    Watoto kutoka nchi za Kiafrika na Amerika Kusini jana Jumatano walizungumza katika mkutano wa kilele wa hali ya hewa, COP28 unaofanyika huko Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu, wakitahadharisha kuhusu mustakbali wa watoto kote duniani.

  • Ripoti: Mamilioni ya watoto wanatumikishwa duniani, hasa Afrika

    Ripoti: Mamilioni ya watoto wanatumikishwa duniani, hasa Afrika

    Jun 12, 2023 11:18

    Shirika la Kazi Duniani (ILO) limesema mamilioni ya watoto hasa katika nchi maskini dunia wanatumikishwa, huku likitahadharisha kuhusu kuongezeka utumwa mamboleo duniani.

  • Watoto milioni 449 wanaishi katika maeneo ya migogoro

    Watoto milioni 449 wanaishi katika maeneo ya migogoro

    Jun 04, 2023 11:12

    Shirika la Save the Children limesema mamia ya mamilioni ya watoto wanaishi katika maeneo yenye migogoro ya kivita na wanakabiliwa na hatari ya kifo.

  • UN: Janga la corona linarudisha nyuma juhudi za kukomesha ndoa za watoto na ukeketaji

    UN: Janga la corona linarudisha nyuma juhudi za kukomesha ndoa za watoto na ukeketaji

    Jun 30, 2020 08:12

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, janga la corona linarudisha nyuma maendeleo yaliyopatikana katika jitihada za kukomesha ndoa za watoto na ukeketaji wa uke (FGM), suala ambalo linahatarisha hatma ya mamilioni ya wasichana katika pembe mbalimbali duniani.

  • UN: Watoto bado wanatumiwa vitani duniani na haki zao zinakiukwa

    UN: Watoto bado wanatumiwa vitani duniani na haki zao zinakiukwa

    Jun 17, 2020 02:44

    Umoja wa Mataifa umesema janga la wavulana na wasicha kutumiwa na kufanyiwa ukatili kwenye mizozo ya silaha limeendelea kwa mwaka mzima wa 2019.

  • UN: Watoto bado wanatumiwa vitani na haki zao kukiukwa

    UN: Watoto bado wanatumiwa vitani na haki zao kukiukwa

    Jun 17, 2020 01:01

    Umoja wa Mataifa umesema jangaa la wavulana na wasichana kutumiwa vibaya na kufanyiwa ukatili kwenye mizozo ya silaha liliendelea kwa mwaka mzima wa 2019.

  • Corona yawakatizia watoto milioni 80 chanjo za polio, surua na kipindupindu

    Corona yawakatizia watoto milioni 80 chanjo za polio, surua na kipindupindu

    May 23, 2020 07:59

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa janga la corona limevuruga mpango wa utoaji wa chanjo za magonjwa ya kupooza (polio), surua na kipindupindu kwa makumi ya mamilioni ya watoto duniani.

  • Mgogoro wa elimu waishtua UN, watoto milioni 258 hawaendi shule

    Mgogoro wa elimu waishtua UN, watoto milioni 258 hawaendi shule

    Jan 25, 2020 07:38

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuna mgogoro mkubwa wa elimu duniani hivi sasa, na kwamba watoto zaidi ya milioni 258 walio chini ya umri wa miaka 17 hawaendi shule.

  • Oxfam: Ndoa za utotoni Sudan Kusini zinazuia asilimia 70 ya wasichana kupata elimu

    Oxfam: Ndoa za utotoni Sudan Kusini zinazuia asilimia 70 ya wasichana kupata elimu

    Feb 19, 2019 15:53

    Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limetangaza kuwa, ndoa za utotoni katika nchi ya Sudan Kusini zinazuia asilimia 70 ya wasichana wa nchi hiyo kupata elimu na kwenda shule.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS