Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Cuba

  • Vikwazo vya Marekani; uchokozi wa wazi dhidi ya nchi nyingine

    Vikwazo vya Marekani; uchokozi wa wazi dhidi ya nchi nyingine

    Oct 06, 2019 07:42

    Mashinikizo ya Marekani dhidi ya Cuba na Venezuela yanazidi kushtadi, huku nchi hizo zikiwa zinaendelea kushikamana na malengo yao na kusisitizia juu ya kuimarishwa ushikamano wao.

  • Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine

    Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine

    Sep 28, 2019 04:29

    Marekani ina rekodi kubwa zaidi ya kutumia aina mbali mbali za vikwazo dhidi ya nchi zingine kwa ajili ya kufikia malengo ya siasa zake za nje. Ushadidishaji vikwazo unaofanywa na Washington katika kipindi cha urais wa Donald Trump umekuwa ukipingwa na kulaaniwa kimataifa. Pamoja na hayo kinachoendelea kushuhudiwa kila uchao ni kutangazwa vikwazo vingine vipya vya Marekani dhidi ya nchi zingine duniani.

  • Safari ya Mogherini mjini Havana; sisitizo la ustawishaji uhusiano na Cuba

    Safari ya Mogherini mjini Havana; sisitizo la ustawishaji uhusiano na Cuba

    Sep 09, 2019 22:05

    Umoja wa Ulaya daima umekuwa ukisisitiza kuhusu kuimarisha uhusiano na Cuba, msimamo ambao unakinzana na sera za Marekani. Katika fremu hiyo Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya Federica Mogherini Jumapili aliwasili Havana, mji mkuu wa Cuba kwa lengo la kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Bruno Eduardo Rodríguez pamoja na maafisa wengine wa ngazi za juu nchini humo.

  • Zarif: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani walenga watu wa kawaida

    Zarif: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani walenga watu wa kawaida

    Sep 06, 2019 07:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya nchi huru unalenga kuwadhuru watu wa kawaida."

  • Viongozi wa Venezuela, Cuba wajadili njia za kukabiliana na Marekani

    Viongozi wa Venezuela, Cuba wajadili njia za kukabiliana na Marekani

    Jun 08, 2019 07:21

    Makamo wa Rais wa chama tawala cha Venezuela Diosdado Cabello amekutana na kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha Cuba, Raul Castro kwa lengo la kujadili njia za kukabiliana na uhasama wa Marekani dhidi ya nchi zao.

  • Uingiliaji wa Marekani ni chanzo za vurugu na ukosefu wa usalama katika eneo

    Uingiliaji wa Marekani ni chanzo za vurugu na ukosefu wa usalama katika eneo

    May 13, 2019 23:48

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesisitiza kuhusu ulazima wa kusimama kidete kukabiliana na utumiaji mabavu na sera za maamuzi ya upande mmoja za Marekani duniani.

  • Iran yailaani Marekani kwa kutumia njia zilizo kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru

    Iran yailaani Marekani kwa kutumia njia zilizo kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru

    May 09, 2019 07:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani uhasama wa Marekani dhidi ya Cuba hasa wa kuondoa marufuku ya muda ya utekelezwaji wa Kipengee cha Tatu cha Sheria Helms-Burton na kusema: "Kwa hatua yake hiyo, Washington kwa mara nyingine imeonyesha kuwa, inatumia kila wenzo ulio kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru."

  • 'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya

    'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya

    Apr 12, 2019 10:30

    Watu waliojizatiti kwa silaha wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wamewateka nyara madaktari wawili wa Cuba katika mpaka wa Kenya na Somalia.

  • Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi

    Mar 14, 2019 11:00

    Rais Miguel Díaz-Canel wa Cuba amekosoa vikali uingiliaji wa kivamizi wa Marekani nchini Venezuela na kusema kuwa, vitendo hivyo vimetoka kwa Manazi wa Ujerumani.

  •  Amir-Abdollahian: Marekani inataka kuzusha machafuko nchini Venezuela

    Amir-Abdollahian: Marekani inataka kuzusha machafuko nchini Venezuela

    Feb 25, 2019 23:07

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amelaani hatua ya Marekani ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, Washington inataka kuiondoa madarakani serikali halali na kuitumbukiza nchi hiyo katika vurugu na machafuko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS