-
Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust
Jul 08, 2017 02:52Wito uliotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha Shirika la Elimu, Syansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kunyamaza kimya dakika moja ili kuonesha heshima kwa eti wahanga wa mauaji ya Holocaust umekabiliwa na upinzani mkali wa mwakilishi wa Cuba katika kikao hicho.
-
Trump na maonyesho ya kusimama kidete mbele ya Cuba
Jun 18, 2017 03:50Rais Donald Trump wa Marekani amefuta sehemu ya mapatano yaliyofikiwa kati ya Washington na Havana wakati wa utawala wa Rais Barack Obama ikiwa ni katika juhudi za kutekeleza ahadi alizotoa wakati wa uchaguzi.
-
Iran yaomboleza kifo cha Fidel Castro
Nov 26, 2016 15:59Rais Hassan Rouhani wa Iran ametuma salamu za rambirambi kwa taifa na serikali ya Cuba kufuatia kuaga dunia Fidel Castro, Kiongozi wa Mapinduzi ya nchi hiyo ya Amerika ya Latini.