-
Vikwazo vya Marekani; uchokozi wa wazi dhidi ya nchi nyingine
Oct 06, 2019 07:42Mashinikizo ya Marekani dhidi ya Cuba na Venezuela yanazidi kushtadi, huku nchi hizo zikiwa zinaendelea kushikamana na malengo yao na kusisitizia juu ya kuimarishwa ushikamano wao.
-
Duru mpya ya hujuma za vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi zingine
Sep 28, 2019 04:29Marekani ina rekodi kubwa zaidi ya kutumia aina mbali mbali za vikwazo dhidi ya nchi zingine kwa ajili ya kufikia malengo ya siasa zake za nje. Ushadidishaji vikwazo unaofanywa na Washington katika kipindi cha urais wa Donald Trump umekuwa ukipingwa na kulaaniwa kimataifa. Pamoja na hayo kinachoendelea kushuhudiwa kila uchao ni kutangazwa vikwazo vingine vipya vya Marekani dhidi ya nchi zingine duniani.
-
Safari ya Mogherini mjini Havana; sisitizo la ustawishaji uhusiano na Cuba
Sep 09, 2019 22:05Umoja wa Ulaya daima umekuwa ukisisitiza kuhusu kuimarisha uhusiano na Cuba, msimamo ambao unakinzana na sera za Marekani. Katika fremu hiyo Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya Federica Mogherini Jumapili aliwasili Havana, mji mkuu wa Cuba kwa lengo la kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Bruno Eduardo Rodríguez pamoja na maafisa wengine wa ngazi za juu nchini humo.
-
Zarif: Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani walenga watu wa kawaida
Sep 06, 2019 07:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Ugaidi wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya nchi huru unalenga kuwadhuru watu wa kawaida."
-
Viongozi wa Venezuela, Cuba wajadili njia za kukabiliana na Marekani
Jun 08, 2019 07:21Makamo wa Rais wa chama tawala cha Venezuela Diosdado Cabello amekutana na kiongozi wa Chama cha Kikomunisti cha Cuba, Raul Castro kwa lengo la kujadili njia za kukabiliana na uhasama wa Marekani dhidi ya nchi zao.
-
Uingiliaji wa Marekani ni chanzo za vurugu na ukosefu wa usalama katika eneo
May 13, 2019 23:48Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesisitiza kuhusu ulazima wa kusimama kidete kukabiliana na utumiaji mabavu na sera za maamuzi ya upande mmoja za Marekani duniani.
-
Iran yailaani Marekani kwa kutumia njia zilizo kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru
May 09, 2019 07:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani uhasama wa Marekani dhidi ya Cuba hasa wa kuondoa marufuku ya muda ya utekelezwaji wa Kipengee cha Tatu cha Sheria Helms-Burton na kusema: "Kwa hatua yake hiyo, Washington kwa mara nyingine imeonyesha kuwa, inatumia kila wenzo ulio kinyume cha sheria kuzishinikiza nchi huru."
-
'Al-Shabaab' yawateka nyara madaktari 2 wa Cuba nchini Kenya
Apr 12, 2019 10:30Watu waliojizatiti kwa silaha wanaosadikiwa kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wamewateka nyara madaktari wawili wa Cuba katika mpaka wa Kenya na Somalia.
-
Cuba: Miamala ya Marekani dhidi ya Venezuela imetoka kwa Manazi
Mar 14, 2019 11:00Rais Miguel Díaz-Canel wa Cuba amekosoa vikali uingiliaji wa kivamizi wa Marekani nchini Venezuela na kusema kuwa, vitendo hivyo vimetoka kwa Manazi wa Ujerumani.
-
Amir-Abdollahian: Marekani inataka kuzusha machafuko nchini Venezuela
Feb 25, 2019 23:07Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amelaani hatua ya Marekani ya kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela na kusema kuwa, Washington inataka kuiondoa madarakani serikali halali na kuitumbukiza nchi hiyo katika vurugu na machafuko.