-
Kuwarejesha wanachama wa Daesh raia wa Ulaya; wenzo wa mashinikizo mapya wa Uturuki
Nov 17, 2019 02:35Wizara ya Mambo ya Ndani ya Uturuki imewafukuza Istanbul raia saba wa nchi za nje wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.
-
Makumi ya magaidi wa genge la Daesh (ISIS) wajisalimisha kwa jeshi la Afghanistan
Nov 12, 2019 02:58Duru za habari nchini Afghanistan zimearifu kwamba wanachama 38 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wamejisalimisha kwa maafisa usalama wa serikali ya nchi hiyo, katika jimbo la Nangarhar, mashariki mwa nchi.
-
Uturuki yamrejesha mwanachama wa ISIS nchini Marekani
Nov 11, 2019 11:24Uturuki imesema imemrejesha mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi yake ya Marekani, huku Ankara ikianza kuwarejesha makwao magaidi wa genge hilo la ukufurishaji iliowakamata.
-
Russia yaonya kuhusu hatari ya ISIS nchini Afghanistan na uungaji mkono wa Marekani kwa kundi hilo
Nov 10, 2019 07:20Russia imeonya mara kadhaa kuhusu kuenea harakati za kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) nchini Afghanistan na kuongeza kuwa magaidi hao wakufurishaji wanaungwa mkono na Marekani.
-
Juhudi za Ulaya za kujipapatua kutoka kwenye kinamasi cha shari za "Madaesh" wake
Nov 06, 2019 08:51Nchi kubwa za barani Ulaya kama vile Uingereza na Ufaransa zina mchango mkubwa wa kuundwa na kupata nguvu magenge mbalimbali ya kigaidi kama vile Daesh (ISIS) na lengo lao kubwa lilikuwa ni kuwatumia magaidi hao kuipindua serikali halali ya Syria. Hata hivyo nchi hizo zimefeli vibaya.
-
London na Brussels zataka Madaesh raia wa nchi za Ulaya wahukumiwe Iraq na Syria
Nov 05, 2019 12:11Uingereza na Ubelgiji zimetoa wito wa kuhukumiwa raia wa nchi hizo mbili wanachama wa Daesh katika nchi za Iraq na Syria.
-
Raisi: Marekani ifunguliwe mashtaka kutokana na jinai zilizofanywa na Daesh
Nov 04, 2019 03:13Mkuu wa Idara ya Mahakama za Iran amesema kuwa, Wamarekani wamekiri rasmi kwamba ndio walioanzisha kundi la kigaidi la Daesh, kwa msingi huo wanapaswa kufunguliwa mashtaka kutokana na jinai zilizofanywa na kundi hilo.
-
Raisi: Marekani ifikishwe kizimbani kwa kuasisi kundi la kigaidi la ISIS
Nov 03, 2019 12:35Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Marekani imekiri rasmi kuwa ilianzisha kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) na kwa msingi huo inapaswa kufikishwa kizimbani kujibu mashtaka kuhusu jinai za kundi hilo."
-
Sisitizo la Lavrov juu ya mchango wa Marekani katika kudhihiri al Baghdadi na Daesh
Nov 03, 2019 02:32Baada ya kuanza mgogoro wa Syria hapo mwaka 2011 na vita vilivyosababishwa na mgogoro huo, Marekani ilikuwa na nafasi muhimu na kuu katika kuundwa na kujitokeza makundi ya kigaidi nchini humo hususan kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh; suala ambalo Washington imefanya jitihada kubwa za klificha kwa kuanzisha kile ilichodai ni muungano wa kupambana na Daesh.
-
DAESH (ISIS) lathibitisha kuuawa Abu Bakr al-Baghdadi, latangaza kiongozi wake mpya
Nov 01, 2019 02:52Kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) limethibitisha na kukiri kuwa kiongozi wa kundi hilo Abu Bakr al- Baghdadi ameuliwa.