-
Marekani yadai imeitupa baharini maiti ya Abu Bakr al Baghdadi
Oct 29, 2019 16:36Mkuu wa majeshi ya Marekani amedai kuwa mwili wa aliyekuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr al Baghdadi umetupwa bahaini baada ya kuthibitishwa kuwa wake kupitia kipimo cha vinasaba (DNA).
-
Abu Bakr al Baghdadi, Daesh na maafa yaliyosababishwa na kundi hilo
Oct 29, 2019 02:53Hatimaye kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr al Baghdadi ameangamizwa, na Abdullah Qardash aliyekuwa afisa wa jeshi la Saddam Hussein nchini Iraq ameteuliwa na kundi hilo kuwa kiongozi mpya wa Daesh.
-
Mousavi: Iraq na Syria ziliisambaratisha kitambo ISIS kwa msaada wa Iran
Oct 28, 2019 12:21Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) lilisambaratishwa na Iraq na Syria muda mrefu umepita, kwa msaada wa kilojistiki wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Ripoti: Al-Baghdadi aliponzwa na taarifa muhimu zilizotolewa na msaidizi wake wa karibu
Oct 28, 2019 08:03Ismael al-Ethawi, mmoja wa wasaidizi wa karibu wa kiranja wa kundi la kigaidi la DAESH (ISIS) Abubakar al-Baghdadi alivipatia vyombo vya intelijensia vya Iraq taarifa mnamo mwezi Februari mwaka 2018 kuhusu namna mpangaji huyo wa mashambulio kadhaa ya kigaidi alivyofanikiwa kukwepa kutiwa nguvuni kwa muda wa miaka kadhaa.
-
Kuangamizwa al Baghdadi na njama za Marekani za kujifanya inapambana na Daesh
Oct 28, 2019 05:59Marekani pamoja na waitifaki wake wa Kiarabu na Kimagharibi ndio waliolianzisha, kulitia nguvu na kuliunga mkono kwa kila namna na hali na mali; genge la kigaidi na la ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa shabaha ya kuiangusha serikali halali ya Syria.
-
Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa Daesh auawa
Oct 27, 2019 07:38Afisa mmoja wa Pentagon nchini Marekani amesema kuwa Abubakr al-Baghdadi, kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh ameuawa katika operesheni ya siri iliyotekelezwa kaskazini magharibi mwa Syria.
-
Mauaji ya kigaidi yaongezeka Iraq baada ya Marekani kuwahamishia nchini humo magaidi wa ISIS
Oct 25, 2019 07:12Mauaji ya kigaidi yameongezeka dhidi ya maafisa wa serikali ya Iraq baada ya Marekani kuwahamishia nchini humo magaidi wa Daesh (ISIS) kutoka kaskazini mwa Syria kufuatia kushadidi mashambulizi ya Uturuki huko Syria.
-
Trump na misimamo ya undumakuwili kuhusu magaidi wa Daesh (ISIS)
Oct 15, 2019 08:10Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kutoa onyo kuhusiana na kuibukka upya shughuli za kundi la kigaidi la Daesh (ISIS), kitendo cha kuondoa askari wa Kimarekani katika maeneo yanayoshambuliwa na Uturuki huko kaskazini mwa Syria, kimeandaa uwanja wa kufufuka upya kundi hilo la ukufurishaji ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Indhari kuhusu kujiunga viongozi wa Taliban na kundi la Daesh huko Afghanistan
Oct 06, 2019 08:01Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Afghanistan ametahadharisha kuhusu kujiunga viongozi wa kundi la Taliban na kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.
-
DAESH (ISIS) laua askari 14 katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria
Sep 26, 2019 07:35Kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) limetangaza kuwa, limewaua askari 14 wa jeshi la Nigeria katika shambulio lililofanya hapo jana katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.