-
Lebanon yasambaratisha njama ya Daesh ya kuweka sumu katika maji ya kunywa
Sep 28, 2018 07:56Vyombo vya usalama vya Lebanon vimetangaza habari ya kusambaratishwa njama ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) ambalo lilitaka kuweka sumu ndani ya maji ya kunywa ya wanajeshi wa nchi hiyo.
-
Makundi ya kigaidi ya DAESH (ISIS) na Al-Ahvaziyyah yameshirikiana katika jinai ya Ahvaz
Sep 24, 2018 03:49Baada ya kupita siku moja tu tangu lilipotokea shambulio la kigaidi katika mji wa Ahvaz kusini magharibi mwa Iran zimepatikana taarifa mpya kuhusiana na shambulio hilo.
-
Mahakama Iraq yawafunga maisha jela magaidi wa ISIS
Sep 03, 2018 02:42Mahakama nchini Iraq imewafunga kifungo cha maisha gerezani watu wanne ambao wamepatikana na hatia ya kujiunga na kundi la magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh.
-
Magaidi wa DAESH (ISIS) wamenyonga zaidi ya watu elfu tano nchini Syria
Aug 30, 2018 07:54Kituo kiitwacho Uangalizi wa Haki za Binadamu nchini Syria kimeripoti kuwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh limeua kwa kuwanyonga watu zaidi ya elfu tano nchini humo.
-
Uingereza yatahadharisha juu ya kubadilika genge la Daesh kuwa mtandao wa siri
Aug 26, 2018 02:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), limegeuka na kuwa mtandao wa siri.
-
Amoli Larijani: Marekani kuunda ISIS ni mfano wa ukiukwaji haki za binadamu + Video
Aug 05, 2018 15:39Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Mbinu ambazo Marekani na Wamagharibi wanazitumia hazina maana nyingine zaidi ya ukiukwaji haki za binadamu."
-
Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh
Aug 01, 2018 15:16Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.
-
Filamu ya Iran "Paradise" yaingia fainali tamasha la filamu la Out Of The Can, Uingereza
Jul 25, 2018 01:19Filamu ya Paradise iliyotengenezwa na Muirani, Ali Atshani imefanikiwa kuingia fainali ya Tamasha la Pili la Kimataifa la Filamu la Out Of The Can nchini Uingereza.
-
Wanachama 300 wa Daesh na Teleban wauawa Afghanistan
Jul 21, 2018 14:29Msemaji wa Gavana wa Mkowa wa Jowzjan, kaskazini mwa Afghanistan amesema kuwa karibu watu 300 wameuawa katika mapigano yaliyoibuka hivi karibuni kati ya wanachama wa kundi la Taleban na Daesh, mkoani hapo.
-
Iran yawakamata magaidi wengine wa Daesh kusini mwa nchi
Jul 17, 2018 07:13Maafisa usalama wa Jamhuri ya Kiislamu wa Iran wamefanikiwa kuwatia mbaroni wanachama kadhaa wa genge la kigaidi lenye mfungamano na kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) kusini magharibi mwa nchi.