Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Assad: Syria yaanzisha mkakati wa ujenzi mpya baada ya magaidi kutimuliwa

    Assad: Syria yaanzisha mkakati wa ujenzi mpya baada ya magaidi kutimuliwa

    Jul 10, 2018 13:47

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kipaumbele chake ni ujenzi mpya wa nchi hiyo baada ya kutimuliwa magaidi walioanzisah vita nchini humo mwaka 2011 kwa uungaji mkono wa kigeni.

  • Iran yawakamata magaidi 32 wa ISIS wakiwa wanapanga njama

    Iran yawakamata magaidi 32 wa ISIS wakiwa wanapanga njama

    Jul 08, 2018 12:47

    Mwendesha Mashtaka wa Tehran amesema magaidi wasiopungua 32 wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh wamekamatwa nchini Iran hivi karibuni.

  • Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jul 07, 2018 03:20

    Jeshi la Syria limewatimua magaidi na kukomboa kikamilifu vijiji kadhaa katika mkoa wa kusini magharibi wa Daraa karibu na mpaka wa Jordan kwa lengo la kufungua kituo cha kistratijia cha Nasib.

  • Iran kuwanyonga magaidi 8 wa ISIS waliohusika na hujuma za kigaidi mjini Tehran

    Iran kuwanyonga magaidi 8 wa ISIS waliohusika na hujuma za kigaidi mjini Tehran

    Jul 07, 2018 02:39

    Mahakama nchini Iran imepitisha hukumu ya kuwanyonga magaidi wanane wa kundi la kigaidi la Daesh ambao walihusika katika hujuma dhidi ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, na Haram Takatifu ya Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini MA, mwaka 2017 mjini Tehran.

  • Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza magaidi 30 wa Daesh, Salahuddin

    Ndege za kijeshi za Iraq zaangamiza magaidi 30 wa Daesh, Salahuddin

    Jul 04, 2018 03:51

    Ndege za kijeshi za Iraq zimefanya mashambulizi ya anga na kufanikiwa kuangamiza wanachama wasiopungua 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, katika mkoa wa Salahuddin.

  • Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Ndege za kivita za Marekani zawasaidia makamanda wa Daesh Syria

    Jun 26, 2018 04:21

    Ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani zimewasafarisha makamanda wawili wa kundi la kigaidi la Daesh kutoka eneo a Tuimin hadi katika kituo cha Marekani kilichoko katika mji wa al Shaddadah mkoani Hasakah nchini Syria.

  • Taleban: Helikopta za Marekani zinawasaidia wanachama wa Daesh dhidi yetu

    Taleban: Helikopta za Marekani zinawasaidia wanachama wa Daesh dhidi yetu

    Jun 23, 2018 02:23

    Kundi la kigaidi la Taleban nchini Afghanistan limesema kwamba helikopta za kijeshi za Marekani zimekuwa zikiwasaidia wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) katika uwanja wa vita kati ya wanachama wa makundi hayo sambamba na kushambulia ngome za Taleban katika mkoa wa Nangarhar, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Harakati ya Nujabaa: Daesh ni mradi wa Marekani kwa ajili ya kufikia malengo yake

    Harakati ya Nujabaa: Daesh ni mradi wa Marekani kwa ajili ya kufikia malengo yake

    Jun 10, 2018 16:48

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Nujaba ya nchini Iraq amesema kuwa, kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ni njia nzuri ya Marekani kwa ajili ya kufikia malengo yake ya kikoloni na kiuchumi kupitia kisingizio cha kupambana na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Vitisho vya DAESH vyasababisha skuli zote za wasichana kufungwa katika jimbo la Nangarhar, Afghanistan

    Vitisho vya DAESH vyasababisha skuli zote za wasichana kufungwa katika jimbo la Nangarhar, Afghanistan

    Jun 05, 2018 13:51

    Idara ya Elimu na Mafunzo ya jimbo la Nangarhar mashariki mwa Afghanistan imetangaza kuwa skuli za wasichana jimboni humo zinafungwa kuanzia leo kufuatia vitisho vya mashambulio ya kigaidi vilivyotolewa na kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS).

  • Gaidi wa Daesh anayehusika na utegaji mabomu anaswa nchini Iraq

    Gaidi wa Daesh anayehusika na utegaji mabomu anaswa nchini Iraq

    Jun 02, 2018 13:29

    Kituo cha Uchunguzi cha Harakati ya Muqawama wa Kiislamu Nujaba, kimetangaza habari ya kutiwa mbaroni gaidi wa ngazi ya juu katika genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) akiwa pamoja na watu wengine watano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS