Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Magaidi Madaesh 87 wahojiwa Iraq ili kupata fununu kuhusu Abubakar Al-Baghdadi

    Magaidi Madaesh 87 wahojiwa Iraq ili kupata fununu kuhusu Abubakar Al-Baghdadi

    Jul 26, 2017 03:08

    Wizara ya Ulinzi ya Iraq imetangaza kuwa magaidi 87 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, raia wa nchi 17 tofauti wanasailiwa kwenye jela za usalama za nchi hiyo ili kupata fununu na taarifa kuhusu kinara wa kundi hilo la kitakfiri Abubakar Al-Baghdadi.

  • Mamia ya maiti za wanachama wa Daesh (ISIS) zimerundikana Libya

    Mamia ya maiti za wanachama wa Daesh (ISIS) zimerundikana Libya

    Jul 24, 2017 03:47

    Serikali ya Libya imesema mamia ya maiti za wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) raia wa kigeni zimerundikana nchini humo, miezi kadhaa baada ya wapiganaji hao kushindwa na vikosi vya serikali katika mji wa Pwani wa nchi hiyo wa Sirte.

  • Shirika la Ujasusi la Ujerumani: Mamia ya raia wa nchi hiyo ni wanachama wa Daesh

    Shirika la Ujasusi la Ujerumani: Mamia ya raia wa nchi hiyo ni wanachama wa Daesh

    Jul 23, 2017 13:54

    Shirika la Ujasusi la Ujerumani limesema kuwa raia wa nchi hiyo 930 ni wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh.

  • Syria yaitaka Marekani na washirika wake walipe fidia ya uharibifu

    Syria yaitaka Marekani na washirika wake walipe fidia ya uharibifu

    Jul 23, 2017 02:49

    Serikali ya Syria imeliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikiitaka Marekani na muungano wake usio halali kuilipa fidia serikali ya Damascus kutokana na uharibifu unaotokana na mashambulizi ya muungano huo yanayolenga na kuharibu miundombinu ya nchi huyo.

  • Nouri al-Maliki: Iraq haitakuwa pamoja na nchi za Kiarabu dhidi ya Iran

    Nouri al-Maliki: Iraq haitakuwa pamoja na nchi za Kiarabu dhidi ya Iran

    Jul 22, 2017 02:29

    Nouri al-Maliki, Makamu wa Rais wa Iraq amesema kuwa, nchi yake haitakuwa pamoja na nchi za Kiarabu kwa ajili ya kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kubainisha kwamba, jambo hilo halitawezekana.

  • Jeshi la Iraq: Daesh wanawaua kwa umati watu wa familia za wapiganaji wake

    Jeshi la Iraq: Daesh wanawaua kwa umati watu wa familia za wapiganaji wake

    Jul 18, 2017 15:26

    Duru za kiusalama nchini Iraq zimefichua kuwa, kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) limefanya mauaji ya umati dhidi ya watu wa familia za wanachama wake kufuatia fatwa iliyotolewa na mashekhe wa kundi hilo katika mji wa Tal Afar magharibi mwa mkoa wa Nainawa (Nineveh) nchini Iraq.

  • Jasusi mkubwa wa kike wa genge la Daesh ambaye pia ni kamanda, anaswa mjini Mosul

    Jasusi mkubwa wa kike wa genge la Daesh ambaye pia ni kamanda, anaswa mjini Mosul

    Jul 17, 2017 14:20

    Jeshi la Iraq limefanikiwa kumtia mbaroni jasusi mkubwa wa kike aliyekuwa akitumika na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) mjini Mosul.

  • Al Abadi: Kukombolewa Mosul ni mwanzo wa kumalizika Daesh

    Al Abadi: Kukombolewa Mosul ni mwanzo wa kumalizika Daesh

    Jul 17, 2017 07:22

    Waziri Mkuu wa Iraq amesema kuwa kushindwa magaidi katika mji wa Mosul kaskazini mwa nchi hiyo ni mwanzo wa kusambaratika kundi la kitakfiri la Daesh.

  • Iraq: Kiongozi wa Daesh, Abu Bakar al Baghdadi, bado yuko hai

    Iraq: Kiongozi wa Daesh, Abu Bakar al Baghdadi, bado yuko hai

    Jul 16, 2017 15:12

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imekanusha habari za kuuawa kiongozi wa kundi la kigaidi na la wakufurishaji la Daesh (ISIS) na kusema kuwa Abu Bakar al Baghdadi bado yuko hai na amejificha nchini Syria.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran asema ISIS haina uhusiano wowote na Uislamu

    Waziri wa Ulinzi wa Iran asema ISIS haina uhusiano wowote na Uislamu

    Jul 13, 2017 02:35

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh halina uhusiano wowote na Uislamu na ni tishio kwa dunia nzima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS