-
Tahadhari kuhusu kubadilika Libya na kuwa tishio kwa Afrika
Feb 04, 2016 23:36Rais wa Nigeria ametahadharisha kuhusu athari za ukosefu wa amani huko Libya na kubadilika suala hilo kuwa tishio kwa usalama wa bara la Afrika.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran mjini London
Feb 04, 2016 08:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif leo yuko mjini London, kufuatia mwaliko rasmi wa mwenzake wa Uingereza Phillip Hammond, kushiriki katika kikao cha kimataifa cha kuisaidia Syria na Mashariki ya Kati.
-
Daesh inafanya biashara ya kuuza figo za binadamu
Feb 04, 2016 03:29Katika kuendeleza jinai zake dhidi ya binadamu, kundi la kigaidi la Daesh linafanya biashara ya kuuza figo za binadamu katika maeneo inayoyadhibiti.
-
Ahadi za kundi la kitakfiri la Daesh katika kuwavutia vijana masikini wa Kiafrika kujiunga nalo
Feb 03, 2016 23:59Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh limekuwa likiahidi kuwapatia vijana masikini wa Kiafrika kitita kikubwa cha pesa ili wakubali kujiunga nalo. Kwa mujibu wa kanali ya Kiarabu ya al-Mayadin, kundi hilo maarufu kwa kutenda jinai dhidi ya binaadamu, limekuwa likitumia siasa za kuwavutia vijana masikini katika mji wa mwambao wa bahari wa Sirte kaskazini mwa Libya ili wakubali kujiunga nalo.
-
Lavrov: Mashambulizi ya anga Syria yataendelea hadi kushindwa kikamilifu magaidi
Feb 03, 2016 23:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa Moscow itaendeleza mashambulizi yake ya anga huko Syria hadi pale makundi ya kigaidi yatakaposhindwa kikamilifu.