Apr 29, 2020 00:50
Katibu wa Idara ya Kupambana na Dawa za Kulevya katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema pamoja na kuwepo vikwazo, Iran inaongoza katika kunasa idadi kubwa zaidi ya dawa za kulevya duniani; ambapo katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita imeweza kunasa tani 950 za aina kadhaa za dawa za kulevya.