-
Iran: Marekani ikijitoa katika JCPOA, tutaanzisha tena shughuli za nyuklia kwa kiwango cha kisasa zaidi
Apr 23, 2018 00:09Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, chaguo kuu la Iran endapo Marekani itajitoa katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA ni kuanzisha tena shughuli za nyuklia za taifa hili zenye malengo ya amani lakini kwa kiwango cha juu na cha kisasa zaidi.
-
Trump athibitisha mkuu wa CIA amekutana kwa siri na kiongozi wa Korea Kaskazini
Apr 18, 2018 11:42Rais Donald Trump wa Marekani amethibitisha kuwa mkuu wa shirika la ujasusi la nchi hiyo CIA amekutana na kufanya mazungumzo ya siri na kiongozi wa Korea Kaskazini na kueleza kwamba hilo ni jambo zuri na hakuna tatizo lolote kufanya hivyo.
-
Trump: Mimi ni jasusi zaidi ya gaidi wa US anayezuiliwa Uturuki
Apr 18, 2018 03:12Rais Donald Trump amejitokeza na kumkingia kifua Padri mmoja raia wa Marekani aliyepandishwa kizimbani nchini Uturuki hivi karibuni kwa tuhuma za kujihusisha na harakati za kigaidi ndani ya taifa hilo.
-
Mogherini asisitiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran huku undumakuwili wa EU ukiendelea
Apr 17, 2018 03:48Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesistiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.
-
Waziri wa Ulinzi wa Marekani amuonya Trump asijaribu kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Iran
Apr 16, 2018 09:52Waziri wa Ulinzi nchini Marekani, James N. Mattis amemuonya Rais Donald Trump wa nchi hiyo juu ya kuchukua aina yoyote ya hatua ya vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Trump akosolewa kwa kuishambulia Syria bila idhini ya Kongresi
Apr 14, 2018 23:29Wabunge wa vyama vya Republican na Democrat nchini Marekani kwa pamoja wametoa radiamali wakimkosoa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa kuishambulia Syria bila ya kupata idhini ya Kongresi.
-
Jeshi la Syria lachukua udhibiti wa Ghouta Mashariki licha ya makelele ya Trump
Apr 13, 2018 09:27Hatimaye jeshi na vikosi vya mapambano ya wananchi wa Syria vimechukua udhibiti kamili wa eneo la kistratijia la Ghouta Mashariki karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Damsacus, baada ya kujiri mapigano makali ya wiki kadhaa na magenge ya magaidi yanayoungwa mkono na nchi za Magharibi na Kiarabu.
-
Trump aelekeza vita vya kibiashara Afrika, Rwanda yajibu mapigo
Apr 12, 2018 10:18Baada ya kuanzisha vita vya kibiashara dhidi ya nchi za Asia na Ulaya na kupata jibu kali, sasa Rais wa Marekani Donald Trump anaonekena kueelekeza vita hivyo kwa nchi za Afrika.
-
Weledi wa kisiasa: Huwenda Rais Trump akakumbwa na hatma ya Richard Nixon
Apr 02, 2018 10:30Kuendelea kufichuliwa kashfa mbalimbali zinazomuhusu rais wa Marekani, Donald Trump kumetajwa na weledi wa masuala ya kisiasa nchini humo kuwa kutapelekea rais huyo kujiuzulu kabla ya kumaliza muda wake.
-
Trump adai askari wa Marekani wataondoka Syria hivi karibuni
Mar 29, 2018 22:31Rais Donald Trump wa Marekani amedai kuwa askari wa nchi hiyo wataondoka katika ardhi ya Syria hivi karibuni.