Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump aunga mkono tena sheria ya kumiliki bunduki kiholela nchini Marekani

    Trump aunga mkono tena sheria ya kumiliki bunduki kiholela nchini Marekani

    Mar 28, 2018 11:31

    Kwa mara nyingine tena rais wa Marekani, Donald Trump ameunga mkono sheria inayoruhusu kuuzwa na kumiliki bunduki kiholela nchini humo.

  • Trump awafukuza wanadiplomasia 60 wa Russia, Putin asema atalipiza kisasi

    Trump awafukuza wanadiplomasia 60 wa Russia, Putin asema atalipiza kisasi

    Mar 26, 2018 11:21

    Rais Donald Trump wa Marekani amewafukuza makumi ya wanadiplomasia wa Russia walioko nchini Marekani kufuatia kwa kusingizio cha kupewa sumu jasusi wa zamani wa Russia nchini Uingereza.

  • Mcheza filamu za ngono atishiwa usalama wake kwa kumsakama Donald Trump

    Mcheza filamu za ngono atishiwa usalama wake kwa kumsakama Donald Trump

    Mar 26, 2018 03:20

    Mcheza filamu chafu za ngono ambaye amepata umaarufu kwa kufichua kwamba aliwahi kutembea kimwili kwa miezi kadhaa na rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa amepokea vitisho kutoka kwa watu wasiojulikana wakimtaka aache kumsakama Trump.

  • Netanyahu afurahishwa na hatua ya Trump ya kuikatia misaada Mamlaka ya Ndani ya Palestina

    Netanyahu afurahishwa na hatua ya Trump ya kuikatia misaada Mamlaka ya Ndani ya Palestina

    Mar 26, 2018 03:08

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameelezea kufurahishwa sana na hatua ya rais wa Marekani na Baraza la Congress la nchi hiyo ya kupasisha sheria inayojulikana kwa jina la Taylor Force ambayo inaamrisha kukatwa misaada ya Marekani kwa Mamlaka ya Ndani ya Palestina inayoongozwa na Mahmoud Abbas.

  • Trump apanga kumpiga kalamu nyekundu mkuu wa watumishi wa Ikulu ya White House

    Trump apanga kumpiga kalamu nyekundu mkuu wa watumishi wa Ikulu ya White House

    Mar 24, 2018 10:36

    Katika kuendeleza panguapangua iliyoshika kasi ndani ya Ikulu ya Marekani White House, habari za karibuni kabisa zinaeleza kuwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo, ana nia ya kumpiga kalamu nyekundu mkuu wa wafanyakazi katika ikulu hiyo.

  • Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 23, 2018 03:27

    Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa walikutana jana Alkhamisi pambizoni mwa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia suala la makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).

  • Trump aendeleza bwabwaja zake dhidi ya Iran

    Trump aendeleza bwabwaja zake dhidi ya Iran

    Mar 21, 2018 00:36

    Rais Donald Trump wa Marekani jana Jumanne alikutana na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia katika Ikulu ya White House na kukariri tena madai yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Czech kuuhamishia ubalozi wake Quds chini ya mashinikizo ya Israel

    Czech kuuhamishia ubalozi wake Quds chini ya mashinikizo ya Israel

    Mar 18, 2018 23:47

    Jamhuri ya Czech ipo chini ya mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuitaka ihamishie ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) kama ilivyofanya Marekani.

  • Rais wa Botswana asema Trump anashajiisha ujangili, magendo ya vipusa

    Rais wa Botswana asema Trump anashajiisha ujangili, magendo ya vipusa

    Mar 18, 2018 13:01

    Rais Ian Khama wa Botswana amesema Rais Donald Trump wa Marekani anaunga mkono na kushajiisha ujangili barani Afrika, kufuatia hatua yake ya hivi karibuni ya kuangalia upya marufuku ya vipusa na bidhaa nyingine zilizotengenezwa kwa pembe za ndovu.

  • Mwakilishi wa Democrat: Trump ni tishio kubwa kwa usalama wa Marekani; wakati wa kumuondoa umefika

    Mwakilishi wa Democrat: Trump ni tishio kubwa kwa usalama wa Marekani; wakati wa kumuondoa umefika

    Mar 17, 2018 12:14

    Mwakilishi wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema rais Donald Trump ni tishio kubwa sana kwa usalama wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS