-
Trump aunga mkono tena sheria ya kumiliki bunduki kiholela nchini Marekani
Mar 28, 2018 11:31Kwa mara nyingine tena rais wa Marekani, Donald Trump ameunga mkono sheria inayoruhusu kuuzwa na kumiliki bunduki kiholela nchini humo.
-
Trump awafukuza wanadiplomasia 60 wa Russia, Putin asema atalipiza kisasi
Mar 26, 2018 11:21Rais Donald Trump wa Marekani amewafukuza makumi ya wanadiplomasia wa Russia walioko nchini Marekani kufuatia kwa kusingizio cha kupewa sumu jasusi wa zamani wa Russia nchini Uingereza.
-
Mcheza filamu za ngono atishiwa usalama wake kwa kumsakama Donald Trump
Mar 26, 2018 03:20Mcheza filamu chafu za ngono ambaye amepata umaarufu kwa kufichua kwamba aliwahi kutembea kimwili kwa miezi kadhaa na rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa amepokea vitisho kutoka kwa watu wasiojulikana wakimtaka aache kumsakama Trump.
-
Netanyahu afurahishwa na hatua ya Trump ya kuikatia misaada Mamlaka ya Ndani ya Palestina
Mar 26, 2018 03:08Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameelezea kufurahishwa sana na hatua ya rais wa Marekani na Baraza la Congress la nchi hiyo ya kupasisha sheria inayojulikana kwa jina la Taylor Force ambayo inaamrisha kukatwa misaada ya Marekani kwa Mamlaka ya Ndani ya Palestina inayoongozwa na Mahmoud Abbas.
-
Trump apanga kumpiga kalamu nyekundu mkuu wa watumishi wa Ikulu ya White House
Mar 24, 2018 10:36Katika kuendeleza panguapangua iliyoshika kasi ndani ya Ikulu ya Marekani White House, habari za karibuni kabisa zinaeleza kuwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo, ana nia ya kumpiga kalamu nyekundu mkuu wa wafanyakazi katika ikulu hiyo.
-
Sisitizo la viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa la kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Mar 23, 2018 03:27Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa walikutana jana Alkhamisi pambizoni mwa mkutano wa viongozi wa Umoja wa Ulaya mjini Brussels Ubelgiji ambapo pamoja na mambo mengine walizungumzia suala la makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Trump aendeleza bwabwaja zake dhidi ya Iran
Mar 21, 2018 00:36Rais Donald Trump wa Marekani jana Jumanne alikutana na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia katika Ikulu ya White House na kukariri tena madai yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
-
Czech kuuhamishia ubalozi wake Quds chini ya mashinikizo ya Israel
Mar 18, 2018 23:47Jamhuri ya Czech ipo chini ya mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuitaka ihamishie ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu (Jerusalem) kama ilivyofanya Marekani.
-
Rais wa Botswana asema Trump anashajiisha ujangili, magendo ya vipusa
Mar 18, 2018 13:01Rais Ian Khama wa Botswana amesema Rais Donald Trump wa Marekani anaunga mkono na kushajiisha ujangili barani Afrika, kufuatia hatua yake ya hivi karibuni ya kuangalia upya marufuku ya vipusa na bidhaa nyingine zilizotengenezwa kwa pembe za ndovu.
-
Mwakilishi wa Democrat: Trump ni tishio kubwa kwa usalama wa Marekani; wakati wa kumuondoa umefika
Mar 17, 2018 12:14Mwakilishi wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema rais Donald Trump ni tishio kubwa sana kwa usalama wa nchi hiyo.