-
Kupigwa kalamu nyekundu Tillerson; mtingishiko ndani ya serikali ya Trump
Mar 14, 2018 04:50Hatimaye Rex Tillerson amepigwa kalamu nyekundu na kuuzuliwa wadhifa wa uwaziri wa mambo ya nje wa Marekani. Rais Donald Trump wa Marekani ametoa ujumbe kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Twitter wa kutangaza moja ya mabadiliko makubwa ya baraza la mawaziri katika kipindi cha urais wake.
-
Rais Trump aingia katika vita vya maneno na gavana wa jimbo la California
Mar 14, 2018 04:12Rais Donald Trump wa Marekani ameanzisha vita vipya vya maneno na Jerry Brown, gavana wa jimbo la California nchini humo.
-
Trump amfuta Waziri wa Mambo ya Nje Tillerson, mkuu wa CIA achukua nafasi hiyo
Mar 13, 2018 12:31Rais Donald Trump wa Marekani amemfuta kazi Waziri wake wa Mambo ya Nje, Rex Tillerson na kumteua Mkurugenzi wa Shirika Kuu la Ujasusi, CIA, Mike Pompeo kuchukua nafasi hiyo.
-
Mawakili wa Marekani, Palestina na Jordan kupinga uamuzi wa Trump kuhusu Quds
Mar 13, 2018 12:24Wanasheria na mawakili kadhaa wa Marekani, Palestina na Jordan wametangaza kuwa wako tayari kufungua mashtaka mahakamani dhidi ya uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu wa kuitambua Quds tukufu (Jerusalem) kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel na kutaka kuhamishia ubalozi wa Marekani katika mji huo.
-
Kashfa za ngono zaendelea kumwandama Rais wa Marekani
Mar 09, 2018 21:56Vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa, kashfa ya mahusiano haramu ya ngono inayomwandama Rais Donald Trump wa nchi hiyo inazidi kupamba moto na kwamba kiongozi huyo ameamua kumwajiri wakili mashuhuri kwa ajili ya kujinasua katika kinamasi hicho.
-
Uamuzi wa Trump kuhusu Quds waendelea kupingwa
Mar 09, 2018 12:34Wimbi jipya la upinzani dhidi ya maamuzi ya viongozi wa Marekani wanaotaka kutambuliwa Quds (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, limechukua mkondo wake.
-
Uzembe wa nchi za Kiarabu umeongeza uadui Marekani dhidi ya Quds Tukufu
Mar 09, 2018 03:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Riyadh Al-Maliki amesema, uzembe na upuuzaji wa nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita ndicho chanzo cha kuongezeka uadui na jeuri za Marekani dhidi ya Quds Tukufu.
-
Trump alegeza msimamo na kukubali kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini
Mar 09, 2018 03:06Rais Donald Trump wa Marekani amelegeza msimamo na kukubali kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jon-un mwezi Mei mwaka huu.
-
Rais wa Ufaransa ampinga Trump, ataka Beitul-Muqaddas itambuliwe kuwa mji mkuu wa Palestina
Mar 08, 2018 01:03Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa, umewadia wakati sasa wa Beitul-Muqaddas kutambuliwa kuwa mji mkuu wa Palestina.
-
Muigizaji wa filamu za ngono wa Marekani ampeleke mahakamani Trump
Mar 07, 2018 22:11Muigizaji wa filamu za ngono ambaye anadai kwamba aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Donald Trump amemshitaki rais huyo wa Marekani, kwa kile alichokitaja kuwa ukiukaji wa makubaliano.