Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Rouhani: Wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Trump na utawala wa Kizayuni

    Rouhani: Wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Trump na utawala wa Kizayuni

    May 06, 2018 03:27

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa wananchi wa Iran wako pamoja dhidi ya Rais wa Marekani na utawala wa Kizayuni na kutilia mkazo kuwa wananchi wa Iran hawapendi vita, lakini wanajilinda na kujitetea kwa dhati.

  • Indhari ya Russia kuhusu kufutwa makubaliano ya JCPOA na taathira zake mbaya

    Indhari ya Russia kuhusu kufutwa makubaliano ya JCPOA na taathira zake mbaya

    May 05, 2018 07:39

    Serikali ya Russia imetoa taarifa ikisisitiza kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni utaratibu ulio na mlingano weenye manufaa ya pande zote na kutahadharisha kuwa kuvunjwa makubaliano hayo kutakuwa kwa madhara. Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya Russia, kuvurugwa mlingano unaolegalega wa kimaslahi ndani ya makubaliano ya JCPOA kutakuwa na taathira kuu kwa usalama wa kimataifa na muundo unaopiga marufuku uenezaji wa silaha za nyuklia.

  • Kuna uwezekano wa Trump kufikishwa mahakamani ili kusailiwa

    Kuna uwezekano wa Trump kufikishwa mahakamani ili kusailiwa

    May 02, 2018 03:14

    Gazeti la Washington Post linalochapishwa nchini Marekani limeandika kuwa kuna uwezekano rais wa nchi hiyo Donald Trump akatakiwa afike mahakamani ili kusailiwa kuhusiana na kadhia ya kuingilia Russia mchakato wa uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwaka 2016.

  • Kupuuza Mogherini na Putin mchezo wa kitoto wa Benjamin Netanyahu

    Kupuuza Mogherini na Putin mchezo wa kitoto wa Benjamin Netanyahu

    May 01, 2018 07:37

    Ikulu ya Russia Kremlin imetangaza kuwa, Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Benjamin Netanyahuu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Meya wa London: Trump inabidi aombe radhi rasmi

    Meya wa London: Trump inabidi aombe radhi rasmi

    Apr 29, 2018 23:36

    Meya wa jiji la London Sadiq Khan amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani atoe tamko rasmi la kuomba radhi.

  • Saeb Erekat: Hatutoshiriki katika mpango wa mapatano utakaopendekezwa na Trump

    Saeb Erekat: Hatutoshiriki katika mpango wa mapatano utakaopendekezwa na Trump

    Apr 29, 2018 22:10

    Katibu wa kamati ya utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) ametangaza kuwa, Wapalestina hawatashiriki katika mpango wowote ule wa mapatano utakaopendekezwa na rais wa Marekani, Donald Trump.

  • Rais wa Romania amtaka Waziri Mkuu ajiuzulu baada ya kutembelea Israel kwa siri

    Rais wa Romania amtaka Waziri Mkuu ajiuzulu baada ya kutembelea Israel kwa siri

    Apr 27, 2018 23:27

    Rais Klaus Iohannis wa Romania amemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Viorica Dancila ajiuzulu kutokana na safari yake ya siri katika utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Trump awaonya waitifaki wa Marekani watakaounga mkono kampeni ya Morocco ya Kombe la Dunia

    Trump awaonya waitifaki wa Marekani watakaounga mkono kampeni ya Morocco ya Kombe la Dunia

    Apr 27, 2018 08:54

    Rais Donald Trump wa Marekani amezionya  nchi waitifaki ambazo zitaunga mkono kampeni ya Morocco ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Soka Duniani mwaka 2026.

  • Wananchi wa Uingereza: Tutaandamana dhidi ya Trump

    Wananchi wa Uingereza: Tutaandamana dhidi ya Trump

    Apr 27, 2018 03:34

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wametangaza kuwa wapo tayari kushiriki katika maandamano dhidi ya ziara ya Rais Donald Trump wa Mareani mjini London.

  • Mchango wa Trump katika mauaji ya Wapalestina

    Mchango wa Trump katika mauaji ya Wapalestina

    Apr 27, 2018 01:44

    Wapalestina wasiopungua 94 wameuawa kwa kupigwa risasi na askari wa utawala ghasibu wa Israel tangu Rais Donald Trump wa Marekani alipoutambua rasmi mji mtakatifu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu kuwa ni mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS