Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Uingereza yakosoa vitisho vya Trump vya kuanzisha vita vya kibiashara na EU

    Uingereza yakosoa vitisho vya Trump vya kuanzisha vita vya kibiashara na EU

    Mar 05, 2018 04:36

    David Lidington, Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May amekosoa vikali vitisho vya Rais Donald Trump wa Marekani vya kuanzisha vita vya kibiashara na Umoja wa Ulaya.

  • Marais  Donald Trump na Abdel Fattah el-Sisi waijadili Iran

    Marais Donald Trump na Abdel Fattah el-Sisi waijadili Iran

    Mar 05, 2018 04:26

    Ikulu ya Marekani imetangaza kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo asubuhi ya leo amefanya mazungumzo ya simu na Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri kuihusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Trump ataka Marekani iwe na 'rais wa maisha kama China'

    Trump ataka Marekani iwe na 'rais wa maisha kama China'

    Mar 04, 2018 04:42

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa matamshi yanayoashiria kuwa angependa kuiona nchi hiyo ikiwa na rais wa kudumu maisha.

  • Wapalestina 35 wameuawa shahidi tangu Trump aitangaze Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa Israel

    Wapalestina 35 wameuawa shahidi tangu Trump aitangaze Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa Israel

    Mar 01, 2018 04:07

    Wapalestina 35 wameuawa shahidi na wanajeshi wa utawala dhalimu wa Israel tangu Rais Donald Trump wa Marekani aitangaze Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel Disemba mwaka jana.

  • Makundi tofauti ya Palestina yamuonya Trump juu ya kuhamishia ubalozi wa US mjini Quds

    Makundi tofauti ya Palestina yamuonya Trump juu ya kuhamishia ubalozi wa US mjini Quds

    Feb 24, 2018 04:28

    Shakhsia na viongozi wa makundi tofauti ya Palestina yamemuonya Rais Donald Trump wa Marekani juu ya kuzidisha mgogoro wa eneo la Mashariki ya Kati kufuatia hatua yake ya kutaka kuuhamishia ubalozi wa nchi hiyo kutoka Tel Aviv kwenda mji wa Quds ambayo imepangwa kutekelezwa sawa na siku ya Nakba (inayokumbushia uvamizi wa Israel dhidi ya ardhi za Wapalestina.)

  • Wauzaji wa silaha za moto Marekani wapongeza msimamo hasi wa Trump

    Wauzaji wa silaha za moto Marekani wapongeza msimamo hasi wa Trump

    Feb 23, 2018 04:08

    Chama cha Wauzaji Bunduki Marekani NRA kimepongeza pendekezo lililotolewa na Rais Donald Trump la kutaka kupewa silaha za moto walimu wa shule za nchi hiyo kwa ajili ya kuzuia msururu wa mashambulizi ya silaha za moto katika shule za nchi hiyo.

  • Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) zimeongezeka Marekani tangu Trump aingie madarakani

    Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) zimeongezeka Marekani tangu Trump aingie madarakani

    Feb 22, 2018 13:17

    Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kuwa tokea Donald Trump alipoingia madarakani, idadi ya makundi yenye chuki na Uislamu na ukubwa wa harakati zao vimeongezeka nchini humo.

  • Trump: Njia ya kuzuia mashambulizi ya shuleni US ni kuwapa silaha za moto walimu

    Trump: Njia ya kuzuia mashambulizi ya shuleni US ni kuwapa silaha za moto walimu

    Feb 22, 2018 01:06

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa pendekezo kwa ajili ya kuzuia msururu wa mashambulizi ya silaha za moto katika shule za nchi hiyo akisema kuwa, njia pekee ya kuzuia suala hilo ni kuwapatia silaha za moto walimu.

  • Trump angalau ona aibu; mwanafunzi aliyebaki hai Stoneman Douglas amwambia rais wa Marekani

    Trump angalau ona aibu; mwanafunzi aliyebaki hai Stoneman Douglas amwambia rais wa Marekani

    Feb 18, 2018 23:34

    Mwanafunzi wa skuli ya sekondari ya Stoneman Douglas huko Parkland, katika jimbo la Florida nchini Marekani ambayo hivi karibuni ilishuhudia bahari ya damu baada ya kijana wa miaka 19 kuivamia skuli hiyo na kufanya mauaji ya kutisha, amemtaka rais wa Marekani, Donald Trump, aone haya na ajiheshimu.

  • Gazeti lafichua: Trump alikuwa na uhusiano haramu na mwanamitindo wa jarida la picha za ngono

    Gazeti lafichua: Trump alikuwa na uhusiano haramu na mwanamitindo wa jarida la picha za ngono

    Feb 17, 2018 23:42

    Gazeti la New Yorker la nchini Marekani limefichua kuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump aliwahi kuwa na uhusiano haramu wa kingono kwa muda wa miezi tisa na mwanamke mmoja mwanamtindo wa jarida la picha za ngono.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS