-
Wamarekani wenye hasira waandamana kuwapinga Clinton, Trump
Nov 06, 2016 12:07Wananchi wenye hasira wa Marekani wamefanya maandamano katika mitaa ya Washington DC kuwapinga wagombea wawili wa uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Trump: Ukweli, Marekani inachukiwa sana duniani
Oct 22, 2016 12:27Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais Marekani utakaofanyika nchini humo siku chache zijazo, amesema, nchi hiyo inachukiwa sana duniani.
-
Mdahalo wa mwisho wa Trump na Clinton, mbio za uchaguzi wa rais Marekani
Oct 20, 2016 23:02Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa televisheni wa wagombea uchaguzi wa rais Marekani kwa mara nyingine tena umegubikwa na utata huku mada kuu zikiwa ni kufichuliwa nyaraka za WikiLeaks zinazomhusu mgombea wa chama cha Democrat Hillary Clinton, wahamiaji, sera za kigeni na kashfa za kimaadli za Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican.
-
UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa
Oct 12, 2016 12:24Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, iwapo Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican atashinda katika uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani, jambo hilo litakuwa hatari kubwa kwa dunia nzima.
-
Wamarekani wengi wahofia wizi wa kura katika uchaguzi wa rais
Oct 03, 2016 00:31Wamarekani waliowengi wana hofu kuwa kutajiri wizi wa kura katika uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika tarehe 8 mwezi ujao wa Novemba.
-
UN yawakosoa wanasiasa wanaohujumu Uislamu
Sep 06, 2016 11:54Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amewashambulia wanasiasa wanaohujumu Uislamu kama Donald Trump na mwenzake wa Uholanzi, Geert Wilders akisema kuwa ni walaghai na vidhabadhabina vya kisiasa.
-
Trump: Obama na Hillary Clinton waliunda kundi la kigaidi la Daesh
Aug 11, 2016 03:27Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump amesema kuwa, Rais Barack Obama na waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo Hillary Clinton ndio walioanzisha kundi la kigaidi la Daesh.
-
Chama cha Kinazi Marekani: Trump ni 'fursa halisi'
Aug 08, 2016 10:13Kiongozi mmoja wa chama cha Kinazi nchini Marekani amesema kuwepo Donald Trump, mgombea urais wa nchi hiyo kwa tiketi ya chama cha Republicans ni "fursa halisi" katika uchaguzi huo kwa waungaji mkono wa fikra ya ubora wa kizazi cha watu weupe.
-
Trump ataka kuchunguzwa ustahiki wa raia wa Ufaransa na Ujerumani
Jul 24, 2016 08:49Donald Trump mgombea wa kiti cha urais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani ametaka kuchunguzwa ustahiki wa raia wa Ufaransa na Ujerumani.
-
IOM yakosoa matamshi ya Trump dhidi ya wageni
Jul 23, 2016 22:22Shirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limeeleza wasiwasi wake kuhusu matamshi yaliyotolewa na mgombea kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Ttrump kuhusu raia wa kigeni na kusema matamshi hayo yanachochea chuki dhidi ya wageni.