• Donald Trump asifu jinai za dikteta Saddam Hussein

    Donald Trump asifu jinai za dikteta Saddam Hussein

    Jul 06, 2016 23:52

    Mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump amesifia jinai zilizofanywa na dikteta wa zamani wa zamani wa Iraq Saddam Hussein na kudai kuwa, kiongozi huyo aliweza kukabiliana vyema na magaidi.

  • Ripoti ya Congress ya Marekani Kuhusu Tukio la Benghazi, Libya

    Ripoti ya Congress ya Marekani Kuhusu Tukio la Benghazi, Libya

    Jun 30, 2016 02:50

    Baada ya kukamilika mchakato wa vyama viwili vikuu vya Marekani vya Democrat na Republican kuwateua wagombe wao ambao watawania kiti cha urais yaani Hilary Clinton na Donald Trump kwa utaratibu, pande mbili sasa zimeanza kuchafuana katika kampeni.

  • Hillary Clinton aunga mkono makubaliano ya nyuklia, amkosoa Trump

    Hillary Clinton aunga mkono makubaliano ya nyuklia, amkosoa Trump

    Jun 03, 2016 02:53

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats, Hillary Clinton ameunga mkono makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya madola makubwa ya dunia na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Trump ajikosha, asaka kura za Waislamu wa Marekani kwa udi na uvumba

    Trump ajikosha, asaka kura za Waislamu wa Marekani kwa udi na uvumba

    May 23, 2016 02:57

    Donald Trump, anayewania kuteuliwa na chama chake cha Republican kugombea urais wa Marekani na ambaye ni maarufu kwa maneno ya chuki dhidi ya Waislamu, hivi sasa anaonekana kuhaha kutafuta kura za Waislamu.

  • Trump: Wakimbizi wa Syria wanapanga shambulizi kama la Septemba 11

    Trump: Wakimbizi wa Syria wanapanga shambulizi kama la Septemba 11

    May 16, 2016 02:24

    Donald Trump, mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Republican nchini Marekani kwa mara nyingine tena ametoa matamshi yanayodhihirisha misimamo yake ya chuki na ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na wageni. Trump amedai kuwa wakimbizi wa Syria nchini Marekani wanapanga njama ya kufanya shambulizi la kigaidi kama la Septemba 11.

  • Obama: Mienendo na rekodi ya Trump ichunguzwe

    Obama: Mienendo na rekodi ya Trump ichunguzwe

    May 07, 2016 02:56

    Rais Barack Obama wa Marekani ametoa wito wa kutathminiwa na kuchunguzwa mienendo ya sasa na ya huko nyuma ya Donald Trump, mwanasiasa anayetaka kuchaguliwa kuwania urais nchini humo kupitia chama cha Republican.

  • Trump: Israel iendeleze ujenzi wa vitongoji Palestina

    Trump: Israel iendeleze ujenzi wa vitongoji Palestina

    May 04, 2016 09:56

    Donald Trump, mwanasiasa wa chama cha Republican anayewania kuteuliwa kugombea urais nchini Marekani kupitia chama hicho ameutaka utawala haramu wa Israel uendeleze ujenzi haramu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Donald Trump: Siasa za kigeni za Marekani ni msiba

    Donald Trump: Siasa za kigeni za Marekani ni msiba

    Apr 28, 2016 02:51

    Donald Trump, mgombea wa nafasi ya urais wa chama cha Republican nchini Marekani amezitaja siasa za kigeni za nchi hiyo kuwa ni msiba mkubwa na zilizokosa mwelekeo au mwanga wa stratijia.

  • Matamshi ya Trump kuhusu uavyaji mimba wazua utata Marekani

    Matamshi ya Trump kuhusu uavyaji mimba wazua utata Marekani

    Mar 31, 2016 23:56

    Matamshi ya mgombea anayeoongoza wa chama cha Republican katika mashindano ya kuwania kiti cha rais wa Marekani kuhusiana na uavyaji mimba yamezua mjadala na utata nchini humo. Akizungumza hivi karibuni na televisheni ya MSNBC Donald Trump amesema kuwa wanawake wanaoavya mimba kinyume cha sheria za nchi hiyo wanapasa kuadhibiwa.