Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Je, tishio la ushuru la Trump ni ishara ya nguvu au kukiri kushindwa?

    Je, tishio la ushuru la Trump ni ishara ya nguvu au kukiri kushindwa?

    Jan 14, 2026 02:38

    Katika matamshi yake mapya ya vitisho, Rais wa Marekani amezililenga nchi zinazofanya biashara na Iran.

  • Araghchi atoa onyo baada ya vitisho vya Trump: Iran iko tayari kwa vita ikiwa Marekani inataka 'kuvijaribu'

    Araghchi atoa onyo baada ya vitisho vya Trump: Iran iko tayari kwa vita ikiwa Marekani inataka 'kuvijaribu'

    Jan 13, 2026 10:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi ameionya Marekani kwamba, Tehran "iko tayari kwa machaguo yote" baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutishia kuchukua hatua za kijeshi sambamba na Iran kukabiliwa na machafuko hivi karibuni yaliyochochewa na kuungwa mkono na maadui wa nje ya nchi.

  • China: Tunapinga vitisho vya ushuru vilivyotolewa na Trump dhidi ya washirika wa kibiashara wa Iran

    China: Tunapinga vitisho vya ushuru vilivyotolewa na Trump dhidi ya washirika wa kibiashara wa Iran

    Jan 13, 2026 10:30

    Serikali ya China imetangaza kuwa inapinga vitisho vya ushuru vilivyotolewa na Rais wa Marekani dhidi ya nchi zinazoshirikiana kibiashara na Iran.

  • Seneta Warner: Serikali ya Trump inachangia kueneza chuki dhidi ya Uislamu na Waarabu ndani ya Marekani

    Seneta Warner: Serikali ya Trump inachangia kueneza chuki dhidi ya Uislamu na Waarabu ndani ya Marekani

    Jan 13, 2026 10:30

    Seneta wa Marekani Mark Warner amesema, nchi hiyo inakabiliwa na ongezeko la ubaguzi wa kidini na misimamo ya kufurutu mpaka inayochochewa na chuki, akiishutumu serikali ya Trump kwa kuchangia kuongezeka kwa hisia za uenezaji hofu na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na hisia za kupiga vita Waarabu.

  • Medvedev 'amdhihaki' Trump: Usipoharakisha, Greenland itapiga kura ya kujiunga na Russia

    Medvedev 'amdhihaki' Trump: Usipoharakisha, Greenland itapiga kura ya kujiunga na Russia

    Jan 13, 2026 10:29

    Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Russia Dmitry Medvedev amesema, Wagreenland wanaweza kupiga kura ya maoni ya kujiunga na Russia ikiwa Rais wa Marekani Donald Trump hatachukua hatua haraka kukinyakua kisiwa hicho cha ncha ya kaskazini, Aktiki.

  • Uingiliaji kati wa Marekani nchini Iran; mfano wazi wa kuyumbisha usalama na kuhimiza vurugu

    Uingiliaji kati wa Marekani nchini Iran; mfano wazi wa kuyumbisha usalama na kuhimiza vurugu

    Jan 12, 2026 12:51

    Iran imeeleza malalamiko yake makali dhidi ya kauli za Marekani za uingiliaji kati katika barua yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Denmark na mashinikizo ya Marekani yanayozidi kuongezeka ya kutaka kuinyakua Greenland

    Denmark na mashinikizo ya Marekani yanayozidi kuongezeka ya kutaka kuinyakua Greenland

    Jan 11, 2026 09:24

    Sasa hivi kuliko wakati mwingine wowote Denmark inaandamwa na mashinikizo makali ya Marekani ya kutaka kuinyang'anya nchi hiyo kisiwa cha Greenland.

  • Marekani inahusika katika kugeuza maandamano ya amani kuwa machafuko nchini Iran

    Marekani inahusika katika kugeuza maandamano ya amani kuwa machafuko nchini Iran

    Jan 10, 2026 09:22

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Bw. Amir-Saeid Iravani katika Umoja wa Mataifa ameliandikia barua Baraza la Usalama la umoja huo akisema Marekani imeyageuza malalamiko na maandamano ya amani ya wananchi wa Iran kuwa ghasia na machafuko.

  • Wazimu wa kijeshi wa Marekani; Bajeti ya kijeshi ya dola trilioni 1.5 kwa mwaka 2027

    Wazimu wa kijeshi wa Marekani; Bajeti ya kijeshi ya dola trilioni 1.5 kwa mwaka 2027

    Jan 10, 2026 02:32

    Rais Donald Trump ametangaza kwamba anakusudia kuongeza bajeti ya kijeshi ya Marekani hadi dola trilioni 1.5 ifikapo mwaka 2027.

  • Marekani ina ndoto gani kuhusu mafuta ya Venezuela?

    Marekani ina ndoto gani kuhusu mafuta ya Venezuela?

    Jan 09, 2026 14:22

    Kufuatia operesheni ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela, swali muhimu limeibuka: Washington ina mipango gani kwa ajili ya mafuta ya nchi hiyo?

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS