Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Gharama kubwa za safari za familia ya Trump zaathiri wananchi wa Marekani

    Gharama kubwa za safari za familia ya Trump zaathiri wananchi wa Marekani

    Apr 12, 2020 03:22

    Duru za habari zimefichua utumiaji mkubwa wa siri wa vyombo vya usalama vya Marekani kwa lengo kuwasindikiza watu wa familia ya Trump katika safari zao.

  • Katibu Mkuu wa UN asisitiza kuiunga mkono WHO baada ya matamshi ya Trump

    Katibu Mkuu wa UN asisitiza kuiunga mkono WHO baada ya matamshi ya Trump

    Apr 09, 2020 06:49

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema Shirika la Afya Duniani, WHO, ambalo ni taasisi ya umoja huo, linapasa kuungwa mkono duniani kote, akisema kuwa chombo hicho kimekuwa muhimu sana kikichukua msimamo wa kimataifa kukabiliana na mlipuko wa janga la ugonjwa wa COVID-19 au corona.

  • Kissinger: Virusi vya corona vitabadili mfumo wa dunia, serikali ya Trump haina mwelekeo wala sifa

    Kissinger: Virusi vya corona vitabadili mfumo wa dunia, serikali ya Trump haina mwelekeo wala sifa

    Apr 05, 2020 07:19

    Waziri wa zamani wa Marekani, Henry Kissinger, amesema katika makala yake iliyochapishwa kwenye gazeti la The Wall Street Journal kwamba, mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona utabadilisha mfumo wa dunia milele.

  • Trump awataka Wamarekani wajiandae kwa 'vifo vingi' vya corona

    Trump awataka Wamarekani wajiandae kwa 'vifo vingi' vya corona

    Apr 05, 2020 03:33

    Rais Donald Trump wa Marekani ameonya kuwa, taifa hilo litashuhudia vifo vingi vya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona ndani ya wiki mbili zijazo, huku nchi hiyo ikiendelea kuongoza kwa idadi ya watu walioambukizwa virusi hivyo duniani.

  • Maambukizi ya corona na kutoweka kwa maadili ya kibinadamu katika nchi za Magharibi

    Maambukizi ya corona na kutoweka kwa maadili ya kibinadamu katika nchi za Magharibi

    Apr 04, 2020 06:56

    Baada ya mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona katika pembe mbalimbali za dunia hivi sasa Magharibi hususan nchi za Ulaya na Marekani zimekuwa kitovu kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo.

  • Joe Biden akosoa uamuzi wa Trump wa kumfuta kazi kapteni wa jeshi la Marekani

    Joe Biden akosoa uamuzi wa Trump wa kumfuta kazi kapteni wa jeshi la Marekani

    Apr 04, 2020 00:09

    Mgombea wa uchaguzi wa rais wa 2020 nchini Marekani ametoa radiamali kufuatia hatua ya kufutwa kazi kapteni wa manowari moja ya nchi hiyo na kusema kuwa: "Trump amechukua uamuzi usio sahihi kuhusu jambo hilo."

  • Madai ya uongo ya Trump kuwa eti Iran haijaomba kupunguziwa vikwazo

    Madai ya uongo ya Trump kuwa eti Iran haijaomba kupunguziwa vikwazo

    Apr 03, 2020 23:43

    Baada ya kujitoa bila ya sababu katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 serikali ya Donald Trump huko Marekani iliirejeshea Iran vikwazo vyote vilivyokuwa vimeondolewa baada ya kufikiwa makubaliano hayo, bali iiiwekea Tehran vikwazo vya kiwango cha juu kabisa kama anavyojitapa mara kwa mara Donald Trump.

  • Uafriti wa Trump wa kuanzisha chokochoko na mivutano katika eneo kwa kuzusha tuhuma dhidi ya Iran

    Uafriti wa Trump wa kuanzisha chokochoko na mivutano katika eneo kwa kuzusha tuhuma dhidi ya Iran

    Apr 03, 2020 02:27

    Licha ya hali ya dharura na isiyo ya kawaida iliyopo kimataifa kutokana na mripuko wa janga la corona lililoikumba dunia nzima, Marekani ingali inaendelea kufuata muelekeo wa utumizi wa nguvu za kijeshi na kushikilia kuchukua hatua za kijeshi katika siasa zake za nje.

  • Zarif: Iran itawatia adabu wachocheao vita

    Zarif: Iran itawatia adabu wachocheao vita

    Apr 02, 2020 04:46

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amemwambia Rais Donald Trump wa Marekani kwamba Iran haitaanzisha vita lakini itawatia adabu wanaochechea vita.

  • Trump akariri tena ombi lake la kufanya mazungumzo na Iran

    Trump akariri tena ombi lake la kufanya mazungumzo na Iran

    Apr 02, 2020 10:23

    Rais Donald Trump wa Marekani amedai kwamba, 'Marekani haitaki uadui na Iran na kwamba italazimika kufanya nayo mazungumzo.'

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS