-
Larijani: Trump anafananisha medani ya siasa na ukumbi wa michezo ya kuigiza
Aug 20, 2019 22:45Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amekosea kufananisha medani ya siasa za uwanja wa michezo ya kuigiza na hatua hii inatoa pigo kwa hadhi ya taifa la Marekani.
-
Wakongwe wa jeshi la Marekani wajiunga na kampeni ya kutaka Trump atimuliwe
Aug 19, 2019 22:05Kundi la askari wakongwe wa jeshi la Marekani limejiunga na kampeni inayoitaka Kongresi ya nchi hiyo iharakishe mwenendo wa kumtimua kazi Rais Donald Trump wa nchi hiyo kupitia njia ya kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.
-
Maduro akosoa hatua za Trump dhidi ya Venezuela
Aug 19, 2019 22:03Kufuatia kuendelea vitisho na mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela, Rais Nicolas Maduro wa nchi hiyo amekosoa hatua za Rais Donald Trump dhidi ya nchi yake na kusema: "Hatua ambazo Rais wa Marekani anachukua dhidi ya Venezuela ni sawa na zile ambazo kiongozi wa Wanazi alichukua katika Vita Vikuu vya Pili vya Dunia."
-
Aliyekuwa mshauri mwandamizi: Trump atajiengua kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa urais wa 2020
Aug 18, 2019 22:13Rais Donald Trump wa Marekani atajitoa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais wa Marekani katika uchaguzi wa mwaka 2020 na wala hatopigania kuchaguliwa tena kushika wadhifa huo. Hayo yameelezwa na aliyekuwa mshauri mwandamizi wa kiongozi huyo.
-
Sanders: Trump ni mbaguzi wa rangi na anapiga vita Uislamu
Aug 16, 2019 23:12Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic amesema kuwa Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ni mbaguzi wa rangi na anapiga vita dini ya Uislamu.
-
Marekani yaanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha bilionea Epstein akiwa jela
Aug 12, 2019 22:59Mwanasheria Mkuu wa Marekani amesema kuwa umeanzishwa uchunguzi kuhusu kifo cha kutatanisha cha bilionea aliyekuwa mfadhili na rafiki mkubwa wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo akiwa ndani ya jela ya nchi hiyo.
-
Iran: Ni kupoteza wakati kwa Washington kusubiri kufanya mazungumzo na Iran
Aug 11, 2019 22:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ni bure na upuuuzi kwa Washington kuwa na matarajio kwamba, viongozi wa Marekani watafanya mazungumzo ya simu na wa Iran.
-
Pentagon yakadhibisha madai ya Trump, yasema Daesh bado inaendesha shughuli zake Iraq na Syria
Aug 07, 2019 23:31Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 19 Disemba 2018 alitangaza kuwa, askari wa Marekani wataondoka nchini Syria. Trump alidai kuwa, sababu ya uamuzi huo ni kushindwa kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria.
-
Tahadhari ya kuenea ugaidi wa ndani nchini Marekani
Aug 05, 2019 22:30Hata kama kufuatia mashambulio ya Septemba 11, 2001 Marekani ilijitangaza kuwa mbeba bendera wa mapambano dhidi ya ugaidi ulimwenguni na kufanya uvamizi wa kijeshi katika nchi kadhaa kwa kisingizio hicho, lakini kuongezeka kwa kesi za mashambulio ya silaha nchini humo na hasa katika siku chache zilizopita, kumepelekea kutolewa tahadhari kali juu ya kuongezeka ugaidi wa ndani katika nchi hiyo ya Magharibi.
-
Dakta Zarif: Nimewekewa vikwazo baada ya kukataa pendekezo la kukutana na Trump
Aug 05, 2019 07:20Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria safari yake ya mwezi uliopita huko New York na kusema kuwa, "niliambiwa nitawekewa vikwazo katika kipindi cha wiki mbili zijazo isipokuwa kama nitakubali kukutana na Rais Donald Trump wa Marekani."