-
Wamarekani wengi wanaamini kwamba, Donald Trump ni mbaguzi wa rangi
Aug 05, 2019 03:47Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kuwa, zaidi ya nusu ya wananchi wa nchi hiyo wanaamini kwamba, Rais wa nchi hiyo Donald Trump ni mtu mbaguzi.
-
Trump atishia kuwaachilia magaidi wa Daesh warejee katika nchi za Ulaya
Aug 02, 2019 07:27Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kubuni na kueneza shughuli za makundi ya kigaidi likiweo la Daesh katika mgogoro wa Syria kwa lengo la kuindoa madarakani serikali halali ya nchi hiyo.
-
Kujiuzulu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Taifa wa Marekani
Jul 30, 2019 02:17Tangu Donald Trump aliposhika hatamu za kuongoza Marekkani alianza kutekeleza sera ya kuwafukuza kazi na hata kuwalazimisha maafisa wa ikulu ya White House wajiengue wenyewe.
-
Mgombea uchaguzi wa Marekani: Trump ni mbaguzi wa rangi
Jul 29, 2019 08:11Mgombea mmoja wa uchaguzi wa rais wa Marekani amekosoa vikali utendaji wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo na kumtaja kuwa mbaguzi mkubwa wa rangi.
-
Mshauri wa Trump alipewa rushwa ya mabilioni ya dola na Saudia na Imarati
Jul 29, 2019 08:01Wapelelezi wa serikali kuu ya Marekani wanachunguza madai ya mshauri wa uchaguzi wa Rais Dolad Trump wa nchi hiyo kupewa rushwa ya mabilioni ya dola na saudia na Imarati.
-
Washington Post: Trump ni jinamizi baya zaidi kwa demokrasia
Jul 29, 2019 03:37Gazeti la Washington Post limemtaja rais wa Marekani Donald Trump kuwa ni jinamizi baya zaidi linaloitambalia demokrasia ya nchi hiyo.
-
Afisa wa zamani wa CIA: Trump amebomoa muungano wa nchi za Magharibi
Jul 28, 2019 23:50Afisa wa zamani wa shirika la ujasusi la Marekani CIA amesema kuwa rais wa nchi hiyo amebomoa muungano wa nchi za Magharibi.
-
Wasiwasi wa Russia wa kuwekwa silaha za Marekani katika anga za mbali
Jul 28, 2019 06:35Serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ambaye siku zote amekuwa akisisitiza udharura wa kuimarishwa nguvu ya jeshi la nchi hiyo, sasa inafuatilia mipango ya kuweka silaha zake tofauti katika anga za mbali, ikiwemo mifumo ya kukabiliana na makombora.
-
Idadi ya wabunge wa Marekani wanaotaka Trump auzuliwe inazidi kuongezeka
Jul 27, 2019 09:21Idadi ya wajumbe wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wanaotaka rais wa nchi hiyo Donald Trump asailiwe kwa lengo la kumuuzulu imeongezeka baada ya wajumbe wengine wanne kuunga mkono hoja hiyo.
-
Sisitizo la Pompeo kuhusu nafasi ya Saudia katika kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jul 27, 2019 06:22Katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump, Marekani imezingatia sana eneo la Ghuba ya Uajemi na nchi za kusini mwa eneo hili hususan Saudi Arabia, ambapo imetiliana nayo saini mikataba ya mauzo ya silaha ambayo ilikuwa haijawahi kushuhudiwa huko nyuma.