Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump aupiga veto muswada wa Congress wa kupiga marufuku uuzaji silaha kwa Saudia na Imarati

    Trump aupiga veto muswada wa Congress wa kupiga marufuku uuzaji silaha kwa Saudia na Imarati

    Jul 25, 2019 21:06

    Katika juhudi za kuzifanya siasa zake za nje kuwa za kibiashara zaidi, Rais Donald Trump wa Marekani amelipa kipaumbele suala la mauzo ya silaha za nchi hiyo.

  • Trump avunja rekodi ya kusema uongo

    Trump avunja rekodi ya kusema uongo

    Jul 24, 2019 07:49

    Kanali ya televisheni ya CNN imeanzisha kampeni maalumu ya kutathmini ukweli na uongo wa matamshi anayotoa rais wa Marekani Donald Trump na kuripoti kuwa katika muda wa wiki moja iliyopita kiongozi huyo amesema uongo mara 61.

  • Trump: Ni vigumu sana kufikia makubaliano na Iran

    Trump: Ni vigumu sana kufikia makubaliano na Iran

    Jul 23, 2019 00:08

    Rais Donald Trump wa Marekani ambaye baada ya nchi yake kujiondoa kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA alitaka kufanyika mazungumzo mapya na Iran, ingawa hakupata jibu chanya kutoka kwa Tehran, sasa amesema kuwa kufikiwa makubaliano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni suala gumu sana.

  • Trump: Kwa sasa hatuna mapango wa kuiwekea vikwazo Uturuki

    Trump: Kwa sasa hatuna mapango wa kuiwekea vikwazo Uturuki

    Jul 19, 2019 22:01

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, kwa sasa serikkali ya Washington haina mpango wa kuiwekea vikwazo Uturuki.

  • Congress  ya Marekani yapasisha muswada wa kupiga marufuku mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati.

    Congress ya Marekani yapasisha muswada wa kupiga marufuku mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati.

    Jul 19, 2019 21:56

    Katika juhudi za kuwaunga mkono washirika wake wa kieneo na kunufaika kifedha na mauzo ya silaha, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ilitangaza hali ya hatari bandia ya kitaifa kwa lengo la kukwepa vikwazo vya kisheria vya bunge la nchi hiyo na hivyo kupata mwanya wa kuziuzia Saudia, Imarati na Jordan silaha za thamani ya dola bilioni 8.

  • Araqchi: Labda Wamarekani wametungua droni yao wenyewe kwa kudhani ni ya Iran

    Araqchi: Labda Wamarekani wametungua droni yao wenyewe kwa kudhani ni ya Iran

    Jul 19, 2019 03:08

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amejibu madai ya rais wa Marekani ya kwamba meli ya kivita ya nchi hiyo eti imetungua ndege isiyo na rubani ya Iran katika eneo la Ghuba ya Uajemi na kusema kuwa, pengine Wamarekani wametungua droni yao wenyewe kwa kudhani ni ya Iran.

  • Kauli hasi ya Trump kwa sababu ya kupatiwa Uturuki vifaa vya mfumo wa makombora wa S-400 wa Russia

    Kauli hasi ya Trump kwa sababu ya kupatiwa Uturuki vifaa vya mfumo wa makombora wa S-400 wa Russia

    Jul 17, 2019 21:50

    Uamuzi wa Uturuki wa kununua mfumo wa kisasa wa makombora ya ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia umezusha mikwaruzano mikubwa ambayo haijawahi kushuhudiwa katika uhusiano wa Uturuki na Marekani.

  • Dunia yamlaani Trump kwa kuwatukana wabunge wanawake wa Marekani

    Dunia yamlaani Trump kwa kuwatukana wabunge wanawake wa Marekani

    Jul 16, 2019 02:54

    Viongozi na wanasiasa kote duniani wameendelea kumlaani Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuwadhalilisha na kuwatukana matusi ya kibaguzi wabunge wanawake wa chama cha Democrat katika Kongresi ya Marekani.

  • Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani: Madai ya nyuklia ya Trump dhidi ya Iran ni urongo mtupu

    Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani: Madai ya nyuklia ya Trump dhidi ya Iran ni urongo mtupu

    Jul 15, 2019 02:44

    Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani William Perry amesema, madai aliyotoa rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba Iran inaendelea kurutubisha urani kwa siri ni urongo mtupu.

  • Nyaraka: Trump aliiondoa Marekani JCPOA ili kumuudhi Obama

    Nyaraka: Trump aliiondoa Marekani JCPOA ili kumuudhi Obama

    Jul 14, 2019 02:02

    Balozi wa Uingereza mjini Washington aliyejiuzulu siku chache zilizopita baada ya kuhitalifiana na kushambuliana kwa maneno na Donald Trump amesema rais huyo wa Marekani aliiondoa nchi hiyo katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa lengo la kumuudhi mtangulizi wake, Barack Obama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS