Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • El Baradei akosoa siasa za Donald Trump dhidi ya Iran

    El Baradei akosoa siasa za Donald Trump dhidi ya Iran

    Jul 13, 2019 06:41

    Mkurugenzi mkuu wa zamani wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekosoa vikali hatua ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na vilevile sera za nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kutuma askari Syria

    Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kutuma askari Syria

    Jul 09, 2019 03:48

    Rais Donald Trump wa Marekani Disemba mwaka 2018 aliwaahidi Wamarekani kwamba ataliondoa jeshi la nchi hiyo huko Syria. Trump alitoa ahadi hiyo katika kile kinachoaminika kuwa ni sehemu ya kutekeleza kampeni yakee ya kubakia ikulu ya White House.

  • Trump awashambulia George W. Bush na John McCain wa chama chake

    Trump awashambulia George W. Bush na John McCain wa chama chake

    Jul 05, 2019 23:40

    Rais Donald Trump wa Marekani amewashambulia viongozi wa chama chake cha Republican akiwemo George W. Bush, rais wa zamani wa nchi hiyo pamoja na John McCain, kupitia mahojiano na mwandishi mmoja wa vitabu.

  • Uungaji mkono wa rais wa Misri kwa Haftar katika mazungumzo yake ya simu na Trump

    Uungaji mkono wa rais wa Misri kwa Haftar katika mazungumzo yake ya simu na Trump

    Jul 05, 2019 02:39

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Misri amesema kuwa rais wa nchi hiyo amezungumza na mwenzake wa Marekani kuhusiana na masuala ya Libya na Sudan.

  • Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wamechoshwa na mitazamo ya Donald Trump

    Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wamechoshwa na mitazamo ya Donald Trump

    Jul 04, 2019 01:50

    Uchunguzi mpya wa maoni unaonesha kuwa, wananchi wa Marekani wamechoshwa na mitazamo ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Rais Rouhani: Kama Marekani inaogopa moto basi haipaswi kuwasha muale

    Rais Rouhani: Kama Marekani inaogopa moto basi haipaswi kuwasha muale

    Jul 03, 2019 08:31

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yana manufaa kwa mataifa yote, eneo la Mashariki ya Kati na dunia nzima na kuongeza kuwa, Kama Marekani inaogopa moto haipaswi kuwasha muale na itekeleze maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Trump abadili msimamo wake kuhusiana na  Afghanistan

    Trump abadili msimamo wake kuhusiana na Afghanistan

    Jul 02, 2019 21:58

    Rais wa Marekani amebadili msimamo wake kuhusu matamshi aliyotoa katika mahojiano aliyofanyiwa huko nyuma kuhusu kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo huko Afghanistan.

  • Trump akanyaga ardhi ya Korea Kaskazini na kukutana na Kim Jon-un

    Trump akanyaga ardhi ya Korea Kaskazini na kukutana na Kim Jon-un

    Jun 30, 2019 03:20

    Rais Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini.

  • Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump

    Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump

    Jun 28, 2019 23:32

    Rais wa Marekani, Donald Trump daima alikuwa akisema katika kampeni za uchaguzi uliopita wa rais kwamba ataweka sheria kali za kuwazuia wageni kuingia Marekani. Hivi sasa maafa ya siasa hizo za kibeberu za Trump yanaonekana uwazi kabisa.

  • Zarif amjibu Trump, asema 'vita vifupi na Iran' ni njozi

    Zarif amjibu Trump, asema 'vita vifupi na Iran' ni njozi

    Jun 27, 2019 10:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja kama njozi na ndoto za alinacha matamshi ya Rais Donald Trump ambaye amedai kuwa iwapo Marekani itaingia katika vita na Iran, basi vita hivyo havitadumu kwa muda mrefu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS