-
El Baradei akosoa siasa za Donald Trump dhidi ya Iran
Jul 13, 2019 06:41Mkurugenzi mkuu wa zamani wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekosoa vikali hatua ya serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na vilevile sera za nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kutuma askari Syria
Jul 09, 2019 03:48Rais Donald Trump wa Marekani Disemba mwaka 2018 aliwaahidi Wamarekani kwamba ataliondoa jeshi la nchi hiyo huko Syria. Trump alitoa ahadi hiyo katika kile kinachoaminika kuwa ni sehemu ya kutekeleza kampeni yakee ya kubakia ikulu ya White House.
-
Trump awashambulia George W. Bush na John McCain wa chama chake
Jul 05, 2019 23:40Rais Donald Trump wa Marekani amewashambulia viongozi wa chama chake cha Republican akiwemo George W. Bush, rais wa zamani wa nchi hiyo pamoja na John McCain, kupitia mahojiano na mwandishi mmoja wa vitabu.
-
Uungaji mkono wa rais wa Misri kwa Haftar katika mazungumzo yake ya simu na Trump
Jul 05, 2019 02:39Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Misri amesema kuwa rais wa nchi hiyo amezungumza na mwenzake wa Marekani kuhusiana na masuala ya Libya na Sudan.
-
Uchunguzi wa maoni: Wamarekani wamechoshwa na mitazamo ya Donald Trump
Jul 04, 2019 01:50Uchunguzi mpya wa maoni unaonesha kuwa, wananchi wa Marekani wamechoshwa na mitazamo ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Rais Rouhani: Kama Marekani inaogopa moto basi haipaswi kuwasha muale
Jul 03, 2019 08:31Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yana manufaa kwa mataifa yote, eneo la Mashariki ya Kati na dunia nzima na kuongeza kuwa, Kama Marekani inaogopa moto haipaswi kuwasha muale na itekeleze maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Trump abadili msimamo wake kuhusiana na Afghanistan
Jul 02, 2019 21:58Rais wa Marekani amebadili msimamo wake kuhusu matamshi aliyotoa katika mahojiano aliyofanyiwa huko nyuma kuhusu kuondoa wanajeshi wa nchi hiyo huko Afghanistan.
-
Trump akanyaga ardhi ya Korea Kaskazini na kukutana na Kim Jon-un
Jun 30, 2019 03:20Rais Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini.
-
Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump
Jun 28, 2019 23:32Rais wa Marekani, Donald Trump daima alikuwa akisema katika kampeni za uchaguzi uliopita wa rais kwamba ataweka sheria kali za kuwazuia wageni kuingia Marekani. Hivi sasa maafa ya siasa hizo za kibeberu za Trump yanaonekana uwazi kabisa.
-
Zarif amjibu Trump, asema 'vita vifupi na Iran' ni njozi
Jun 27, 2019 10:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameyataja kama njozi na ndoto za alinacha matamshi ya Rais Donald Trump ambaye amedai kuwa iwapo Marekani itaingia katika vita na Iran, basi vita hivyo havitadumu kwa muda mrefu.